- Nenda kamwone daktal..
- Pia fanya kama nivokuandikia hko mwanzo..
- Acha hofu ya kufa, utakufa kwel au kukonda. Ahsubh tafuna punje tano za vitunguu saumu meza kwa maji vuguvugu au maziwa, pia mda wa kulala hvohvo per one week.
~ Huua fangas na bakiteria.
~ huongeza ngvu za kiume na mwil kiujumla(damu hukimbia kila kona ya mwil) na hutibu magonjwa meng
~ maziwa huondoa sumu mwiln.
AU
- saga mkaa unga wake koroga kwa maji robo rita kunywa mara 2 per day. Fanya hvo per mwez.
~ huondoa sumu na takataka zote mwilin za vidonge.
~ Hutibu madonda ya tumbo na tumbo likiuma tafuna mkaa litapoa.
MUNGU AKUJARIE kaz kwako sasa