Sikuweza my dear ๐ hongera sana jamaniDuh.
Ukashindwa? Mi nna 2yrs now
Polee๐๐!Sikuweza my dear ๐ hongera sana jamani
Kama mimi asee tufanye champions ship moja matata kurudi ligu kuu sasa.Duh.
Ukashindwa? Mi nna 2yrs now
[โฆโฆ.] ๐Ukaliwa sio?
Baada ya hapo ilinibidi nifidie zile siku ๐๐ผ๐๐คPolee๐๐!
Hehehehehehehehehehehehehehehehe!!!!!!!!!๐๐ sorry! sasa wewe kidume gani umri huo bado hujaonja nyapu.
Very goodNdio mkuu.....
Ndo mada zao hizi yani ujinga ujinga tuuuuu!!! ๐WanaJF wanajua kuchangamkia fursa 16mins ishafika page2 ๐
Heri ya mwaka mpya wana JF, nmewamiss maana kitambo sana sijaja jukwaani,
Nashukuru Mungu Mambo yanaenda vizuri mwaka mpya mambo mapya Alhamdullilah, ila upya huu umekuja na usingle. sasa basi kukua kwangu kote huwa nadumu sana kwenye mahusiano ila nikiachana na mtu napata moya gurudumu linaendelea ila sijawah kaa mda mrefu bila mahusiano.
Sasa mwaka huu nataka nijaribu labda nifike mwakani hivi lakin watu wananiambia ni ngumu sijui sitokuwa sawa je kuna ukweli wowote hebu wenye experience naomba mnipe muongozo kabla sijajicommit kwenye maimpossible things
sina uhakika hayo majibu, si mbadala wa majibu ya kitaaluma, nime gugu nikapata hivyo;Heri ya mwaka mpya wana JF, nmewamiss maana kitambo sana sijaja jukwaani,
Nashukuru Mungu Mambo yanaenda vizuri mwaka mpya mambo mapya Alhamdullilah, ila upya huu umekuja na usingle. sasa basi kukua kwangu kote huwa nadumu sana kwenye mahusiano ila nikiachana na mtu napata moya gurudumu linaendelea ila sijawah kaa mda mrefu bila mahusiano.
Sasa mwaka huu nataka nijaribu labda nifike mwakani hivi lakin watu wananiambia ni ngumu sijui sitokuwa sawa je kuna ukweli wowote hebu wenye experience naomba mnipe muongozo kabla sijajicommit kwenye maimpossible things
Well said well saidMkuu maisha ni zaidi ya ngono...,
Kumbuka we are free moral agents ninaweza amua nifanye hili, lile nisifanye.....
๐Unavyopenda kumwagiwa sasa
ntapambana basiUnafika hata miaka cute...
Labda uwe hujaamua
Kama hujaamua toka ndani,kesho tu wanakumwagia๐ฅด
hukui tu mkuuvijana kazi kwenu mshasafishiwa njia....