Kuna madhara yoyote kukaa single muda mrefu?

Kuna madhara yoyote kukaa single muda mrefu?

Hakuna madhara kabisa na kama unavitu vya kukushughulisha kama kazi basi unaweza toboa hata miaka kadhaa
Heri ya mwaka mpya wana JF, nmewamiss maana kitambo sana sijaja jukwaani,

Nashukuru Mungu Mambo yanaenda vizuri mwaka mpya mambo mapya Alhamdullilah, ila upya huu umekuja na usingle. sasa basi kukua kwangu kote huwa nadumu sana kwenye mahusiano ila nikiachana na mtu napata moya gurudumu linaendelea ila sijawah kaa mda mrefu bila mahusiano.

Sasa mwaka huu nataka nijaribu labda nifike mwakani hivi lakin watu wananiambia ni ngumu sijui sitokuwa sawa je kuna ukweli wowote hebu wenye experience naomba mnipe muongozo kabla sijajicommit kwenye maimpossible things
 
Heri ya mwaka mpya wana JF, nmewamiss maana kitambo sana sijaja jukwaani,

Nashukuru Mungu Mambo yanaenda vizuri mwaka mpya mambo mapya Alhamdullilah, ila upya huu umekuja na usingle. sasa basi kukua kwangu kote huwa nadumu sana kwenye mahusiano ila nikiachana na mtu napata moya gurudumu linaendelea ila sijawah kaa mda mrefu bila mahusiano.

Sasa mwaka huu nataka nijaribu labda nifike mwakani hivi lakin watu wananiambia ni ngumu sijui sitokuwa sawa je kuna ukweli wowote hebu wenye experience naomba mnipe muongozo kabla sijajicommit kwenye maimpossible things
sina uhakika hayo majibu, si mbadala wa majibu ya kitaaluma, nime gugu nikapata hivyo;

What Happens When You Stop Having Sex
  1. You Might Feel More Anxious.
  2. Your Heart May Not Work as Well.😕
  3. You Might Get Less Exercise.
  4. You May Lose Your Keys More Often 😀
  5. Your Immune System May Get Weaker. ...(eh CD4 zinashuka?)
  6. Your Relationship Changes. 😕
  7. Your Prostate May Be Less Healthy. (Tezi dume 😎)
  8. You Might Sleep Less.
 
2fe766fca9591c2f13f4ccf13eabf14e.jpg
 
Kwa experience yangu ndogo, nadhani madhara ni kubadilika badilika kwa moods hovyo na kupata hasira za kila mara kiasi cha kufanya overeaction.

Pia kuna upweke mzito na kama utajilinganisha na watu wengine ama la utapitia situations ngumu za kimaisha. Kupata depression ni rahisi

Zaidi ya hayo sidhani kama kuna athari za kiafya
 
Back
Top Bottom