Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Uone Nini na wewe🤣!Hebu nione!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uone Nini na wewe🤣!Hebu nione!
Heri ya mwaka mpya wana JF, nmewamiss maana kitambo sana sijaja jukwaani,
Nashukuru Mungu Mambo yanaenda vizuri mwaka mpya mambo mapya Alhamdullilah, ila upya huu umekuja na usingle. sasa basi kukua kwangu kote huwa nadumu sana kwenye mahusiano ila nikiachana na mtu napata moya gurudumu linaendelea ila sijawah kaa mda mrefu bila mahusiano.
Sasa mwaka huu nataka nijaribu labda nifike mwakani hivi lakin watu wananiambia ni ngumu sijui sitokuwa sawa je kuna ukweli wowote hebu wenye experience naomba mnipe muongozo kabla sijajicommit kwenye maimpossible things
Kweli hajawahi?Uone Nini na wewe🤣!
Mkuu maisha ni zaidi ya ngono...,... sorry! sasa wewe kidume gani umri huo bado hujaonja nyapu.
Daaah 🫢🫢🤣😂😂 sorry! sasa wewe kidume gani umri huo bado hujaonja nyapu.
Hakuna madhara yoyote Tena unajikuta unaweka umuhimu sana kwenye mambo yako unajijali muda wote unajiwazia wewe
Labda kama huwez uvumilivu
Weeeeeeee acha uongoooHakuna madhara yoyote Tena unajikuta unaweka umuhimu sana kwenye mambo yako unajijali muda wote unajiwazia wewe
Labda kama huwez uvumilivu
Hahahahahahhhahahahahahahahahhah🤣🤣🤣🫢Tangazo la kimkakati kijana maskini kuna pisi kali huku utoke milimani maombi yamejibiwa.
Safi mkuu ndo inavotakiwaMkuu maisha ni zaidi ya ngono...,
Kumbuka we are free moral agents ninaweza amua nifanye hili, lile nisifanye.....
Mimi ntajuwaje sasa?Tuko wengi mkuu sio yeye peke yake
Unavyopenda kumwagiwa sasaKama hujaamua toka ndani,kesho tu wanakumwagia🥴
Duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!!Inawezekana sana... nina 27 yrs na sijawahi kuwa kwenye mahusiano.....
Duh.Mimi nilijaribu miezi mitano tu 😜
Ukaliwa sio?Mimi nilijaribu miezi mitano tu 😜
Em fafanua vizuri.
Kwa umri huo si dhan kama utakua sawa mentally, physically and psychologically.Mkuu maisha ni zaidi ya ngono...,
Kumbuka we are free moral agents ninaweza amua nifanye hili, lile nisifanye.....