Kuna madhara yoyote kukaa single muda mrefu?

Kuna madhara yoyote kukaa single muda mrefu?

Hakuna madhara yoyote Tena unajikuta unaweka umuhimu sana kwenye mambo yako unajijali muda wote unajiwazia wewe
Labda kama huwez uvumilivu
Mbaya ni pale utapoingia tena kwenye mahusiano serious. Unaanza kuona kama huwezi toa muda na attention yako tena kwa sababu umezoea kujipa mwenyewe.
Ni kama unakuwa selfish sana na inahitaji mtu mvumilivu kukuelewa

Japo binafsi naona ni maisha mazuri zaidi maana kuwategemea watu kihisia na kiakili ndio hufanya watu wajiue mtu akiondoka.
 
Mbaya ni pale utapoingia tena kwenye mahusiano serious. Unaanza kuona kama huwezi toa muda na attention yako tena kwa sababu umezoea kujipa mwenyewe.
Ni kama unakuwa selfish sana na inahitaji mtu mvumilivu kukuelewa

Japo binafsi naona ni maisha mazuri zaidi maana kuwategemea watu kihisia na kiakili ndio hufanya watu wajiue mtu akiondoka.
sasa which is which? kuathirika nmeshaanza maana mtu akiniambia ananipenda naona anaongea upuuzi
 
Inawezekana sana... nina 27 yrs na sijawahi kuwa kwenye mahusiano.....
1000000613.jpg
 
Inawezekana mimi nimewahi kukaa mwaka mzima ila sio kwamba niliamua tu nilipigwa tukio zito 😀tatizo litakuja ukiamua kuja kwenye mahusiano Tena utaona kama kila mtu anakudanganya tu unaweza jikuta unarudi tena kuna single 😅
 
Heri ya mwaka mpya wana JF, nmewamiss maana kitambo sana sijaja jukwaani,

Nashukuru Mungu Mambo yanaenda vizuri mwaka mpya mambo mapya Alhamdullilah, ila upya huu umekuja na usingle. sasa basi kukua kwangu kote huwa nadumu sana kwenye mahusiano ila nikiachana na mtu napata moya gurudumu linaendelea ila sijawah kaa mda mrefu bila mahusiano.

Sasa mwaka huu nataka nijaribu labda nifike mwakani hivi lakin watu wananiambia ni ngumu sijui sitokuwa sawa je kuna ukweli wowote hebu wenye experience naomba mnipe muongozo kabla sijajicommit kwenye maimpossible things
Mahusiano Siyo lazima, unaweza jiuza siku mojamoja na ukadumu kuwa single muda mrefu tuu.
 
Back
Top Bottom