FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ukiwa unashuka mlima na ukaweka D si RPM sawa na ukiweka N, N ni kwamba engine inaenda kwenye Idle kabisa, kuna tofauti kubwa sana; na ukisema inakata mafuta maana yake inazima? Si kweli huwa haizimi, au unamaanisha inaounguza RPM? Sasa ikipunguza RPM na ikiwa iko connected na gear box (ipo kwenye D) maana yake engine ina act kama brake na kupunguza speed, solution ni kuweka N ili upate maximum speed with minimum RPM (idle)Kumbuka drivetrain speed ina influence engine speed. Modern cars ukiwa kwenye gear na unashuka mlima ECU inakata fuel automatically kwahiyo hata kama RPM ziko juu mafuta hayatumiki.
Mkuu, ECU inakata input ya mafuta kwenye engine lakini engine inaendelea kuzungushwa na drive train.Ukiwa unashuka mlima na ukaweka D si RPM sawa na ukiweka N, N ni kwamba engine inaenda kwenye Idle kabisa, kuna tofauti kubwa sana; na ukisema inakata mafuta maana yake inazima? Si kweli huwa haizimi, au unamaanisha inaounguza RPM? Sasa ikipunguza RPM na ikiwa iko connected na gear box (ipo kwenye D) maana yake engine ina act kama brake na kupunguza speed, solution ni kuweka N ili upate maximum speed with minimum RPM (idle)
Hata kama mafuta yana kata, bado engine ina act kama brake na itapunguza distance utakayo-cover kwa momentum ile ile iliyo nayo gari, tofauti nanukaiweka free (neutral).Mkuu, ECU inakata input ya mafuta kwenye engine lakini engine inaendelea kuzungushwa na drive train.
View attachment 725980
Ndio, hili ni jambo zuri. Unapunguza kuisha kwa breki. Kama unataka kushuka kwa spidi mlimani, hukutakiwa kuweka neutral in the first place.Hata kama mafuta yana kata, bado engine ina act kama brake na itapunguza distance utakayo-cover kwa momentum ile ile iliyo nayo gari
Inasaidia vipi breki kutokuisha wakati sina intention ya kukanyaga breki in the first place, lengo langu ni ku-cover maximum distance with the available momentum, sasa kwanini nikanyage breki tena? Kama ni kukanyaga breki basi itakuwa kama nimekutana na gari mbele inwhich case hata ungekuwa kwenye drive gear bado utakanyaga brake.Ndio, hili ni jambo zuri. Unapunguza kuisha kwa breki. Kama unataka kushuka kwa spidi mlimani, hukutakiwa kuweka neutral in the first place.
Ukiweka neutral gari inakuwa unbalanced/unstable na kuwa kama jiwe linaloroll mlimani na ni rahisi kupoteza control hasa ukitakiwa kuswerve.
Kama unataka kushuka mlima kwa spidi kanyaga mafuta na acha gari ichague gia kubwa zaidi ishuke nayo. Kama unataka kushuka mdogo mdogo achia mafuta na acha gari ifanye engine braking na kupunguza kuisha kwa breki zako.
Kwa lengo hilo basi ni vema usiweke neutral bali ukanyage mafuta.Inasaidia vipi breki kutokuisha wakati sina intention ya kukanyaga breki in the first place, lengo langu ni ku-cover maximum distance with the available momentum, sasa kwanini nikanyage breki tena?
Kwanini nikanyage mafuta wakati lengo langu ni kuokoa mafuta kwa kutumia available potential energy ya slope iliyopo badala ya kuunguza mafuta yangu unnecessarily?Kwa lengo hilo basi ni vema usiweke neutral bali ukanyage mafuta.
Moja kwasababu ni unsafe kuweka neutral. Ukiwa kwenye neutral hauna full control ya gari, kwamba huwezi kuaccelerate ghafla kwenye emergency.Kwanini nikanyage mafuta wakati lengo langu ni kuokoa mafuta kwa kutumia available potential energy ya slope iliyopo badala ya kuunguza mafuta yangu unnecessarily?
1.)Hiyo risk unayoiongelea kwa kushindwa ku-accelerate practically haipo kwenye slopes, if any danger exists at all kwenye slope, basi ni itatokana na kushindwa ku-brake suddenly na wala sio ku-accelerate kwa sababu gravity is already working in our favor.Moja kwasababu ni unsafe kuweka neutral. Ukiwa kwenye neutral hauna full control ya gari, kwamba huwezi kuaccelerate ghafla kwenye emergency.
Pili ni kwamba practically ukicoast kwenye neutral unatumia mafuta (to maintain idld rev) lakini ukiiacha ishuke na high gear bila kukanyaga mafuta fuel cut-off inasababisha usile mafuta kabisa. Yes there is a speed penalty to that.
Tatu, you can mess things up ukiwa unarudi kwenye D, kwa mfano ukapitiliza mpaka 2 na kufuck up transmission.
Unless unataka gari iaccelerate like crazy, na ishuke mlima kama haina dereva, which is unsafe, hakuna haja wala faida ya kuweka neutral.
Point ya kwanza uliyoicrash ifikirie tena. You are not in control of the vehicle while in neutral. Your engine can accelerate you much faster in an emergency on a slope than just gravity alone and you never know what kind of danger you will get in and what you would need to do to react.1.)Hiyo risk unayoiongelea kwa kushindwa ku-accelerate practically haipo kwenye slopes, if any danger exists at all kwenye slope, basi ni itatokana na kushindwa ku-brake suddenly na wala sio ku-accelerate kwa sababu gravity is already working in our favor.
2.) Kuhusu kwamba ukiweka neutral bado unakula mafuta kwenye idle compared na ukiweka D na ECU inakata mafuta hivyo ulaji wa mafuta ni zero; ni hivi, utakapoweka neutral utakula mafuta ya 650 RPM lakini utapata speeds equivalent to an engine reving at up to 3500 RPM or more, thats around seven folds, i am willing to trade 1 for 7 any time of the day!
3.) Kuhusu hiyo kurudisha gear vibaya na kumess things up is still very theoretical, in practice modern gear shift layouts zimekuwa designed kwamba ni vigumu sana lets say kuweka P accidentally, hii ni kutokana na zile.kona kona, pia unaporudisha D at the wrong RPM zile sensors zikisaidiana na onboard computer na 'Torque converter' zita even out hizo driving errors kuepusha any harm to the transmission.
VemaKitaalam haishauriwi kutumia neutral gear gari linapokuwa kwenye mwendo ...tumia neutral unapokuwa uko kwenye silence au uko kwenye foleni na umesimama... Juu ya ulaji wa mafuta ni kuwa factors zinazo determine ni kiasi gani cha mafuta kiende ndani ya cylinders si gari liko kwenye gear gani tu bali zipo sensors nyingi ambazo hupeleka habari kwenye Electronic Control Unit (ECU -ubongo) wa engine ili kujua ni kiasi gani cha mafuta kiende kwenye cylinder, japo na gear gani ni mojawapo!! Baadhi ya Sensors hizo ni: crankshaft sensor, knock sensor, temperature sensor. Lambda sensor load/ throtle sensor nk ... Hivyo kuweka neutral siyo kutazuia mafuta yasiende kwenye cylinder kwani sensors zingine zitahitaji mafuta kama kawaida. By teacher
Nafikiri hujamuelewa huyo mkuu. Nadhani anasema hivi; akiwa anajua kuwa sensor nyingi zinakuwa powered na 12VDC kwenye gari, sensor zinazoamuru mafuta yaende kiasi gani na wakati gani ndo kama hizo alizokutajia, Mathani, kwa gari zenye Turbocharger, ukimaliza kukanyaga accelerator yako mpaka mwisho, kuna sensor itasema Turbo fungua kuongeza hewa safi kwenye mchanganyiko wa mafuta na hewa. Kuna sensor itaiambia ECU, torque zaidi inahitajika hapa, kisha ecu ataamuru wanaohusika kuongeza mafuta ili kupata hiyo torque n.kSasa gear ndio biggest factor, na hizo sensor zote zina react to which gear umeweka, ukiwa kwenye mteremko mkali na uko speed unaweza kuta ukiwa 'D' na umeachia kabisa pedal ya mafuta engine RPM zinasoma lets say 3500 na speed ni 50kph, ila ukiweka tu neutral utakuta RPM zinashuka hadi 650, na speed.inapanda hadi 70kph, hapo lazima uokoe mafuta, hii ni from my daily experience, sio theory. Labda utuambie ni kwanini haishauriwi kitaalam kuweka neutral. Pia umetudanganya kwamba kuna sensors zingine zinahitaji mafuta, sensors hutumia umeme.
Sio salama kabisa!tena kama Gari INA mzigo ndio mbaya zaidi Ki ujumla ni hatari,kwani Gari itakua nyepesi hiyo kukosa balanceHabari
Wajuzi ni wengi humu hivyo naomba tuhabarishane
1. Je, kuna madhara yeyote yataweza kuikumbuka Gear Box ama Engine kwa ujumla kama ukiwa unaweka "N"/Neutral Gear wakati unaendesha sehemu yenye mteremko?
2. Je kuna uhalisia wa kusave mafuta kwa kuweka Neutral Gear? Na kama kweli inasaidia je ni kiasi gani cha mafuta hupunguzwa wakati wa gari ikiwa kwenye gear hiyo?
Ahsanteni.
Hapa ndo mnanichanganya kabisa, hiv unatokaje N unavuka R mpaka P??haina shida ila sasa ukiweka uwe na kumbukumbu nzuri usije ukajisahau ukapeleka kwenye "P" mzee baba yatakua mengine