Kuna mafanikio makubwa kwa mwanamke wa kibongo zaidi ya kuolewa?

Kuna mafanikio makubwa kwa mwanamke wa kibongo zaidi ya kuolewa?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Huwa naona kama ndoto kubwa zaidi waliyo nayo wanawake wengi wa bongo ni kuolewa.

Hata wamama wengi unakuta kwa mfano wakiwa wanawaelekeza mabinti wao wanawaambia kauli kama hujui kupika/kufanya usafi/ au na uvivu huo utaolewa na nani.

Hivi mwanamke kuolewa ndio mafanikio ya juu zaidi anayoweza kufikia?

Screenshot_20241126-094812_YouTube.jpg
 
Huwa naona kama ndoto kubwa zaidi waliyo nayo wanawake wengi wa bongo ni kuolewa.

Hata wamama wengi unakuta kwa mfano wakiwa wanawaelekeza mabinti wao wanawaambia kauli kama hujui kupika/kufanya usafi/ au na uvivu huo utaolewa na nani.

Hivi mwanamke kuolewa ndio mafanikio ya juu zaidi anayoweza kufikia?

View attachment 3161915
Daaah aisee ila mada zako Yoda huwa zinanifurahisha sana

Hivi ulikuwa unawaza nini mkuu kiandikanmada kama hii
Nb: sijasema ni mbaya hapana
Ila naona umewaza vitu ambavyo siviwazagii😅

Mchango wa Rayns ni wa maana hapa
 
Duniani kote, mafanikio makubwa kuliko yote kwa mwanamke ni kuolewa na kuwa na familia stable.

Lakini, in case familia ikiwa unstable sheria za ndoa za dunia zinampa upendeleo mkubwa mwanamke.

Summarily; mwanamke ni mnufaika mkubwa wa ndoa.
Upendeleo wa kisheria ni moja ya sababu zinazofanya wanaume wa kizazi cha sasa wasite kuoa.
 
Huwa naona kama ndoto kubwa zaidi waliyo nayo wanawake wengi wa bongo ni kuolewa.

Hata wamama wengi unakuta kwa mfano wakiwa wanawaelekeza mabinti wao wanawaambia kauli kama hujui kupika/kufanya usafi/ au na uvivu huo utaolewa na nani.

Hivi mwanamke kuolewa ndio mafanikio ya juu zaidi anayoweza kufikia?

View attachment 3161915
Muulize dada yako mafanikio yake yalikuwa nini? Au kuzaa zaa na akina Rama boy mitaa ya kanisani?
 
Back
Top Bottom