Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuolewa ndio final hope la kuwatoa kimaisha wanawake hapa bongo.Huwa naona kama ndoto kubwa zaidi waliyo nayo wanawake wengi wa bongo ni kuolewa.
Hata wamama wengi unakuta kwa mfano wakiwa wanawaelekeza mabinti wao wanawaambia kauli kama hujui kupika/kufanya usafi/ au na uvivu huo utaolewa na nani.
Hivi mwanamke kuolewa ndio mafanikio ya juu zaidi anayoweza kufikia?
View attachment 3161915
Cassnzoba , sweery , Gifted GirlKuolewa ndio final hope la kuwatoa kimaisha wanawake hapa bongo.
Yaani alale aamke apewe hela ya matumizi (kula bure), kulala bure na mwisho wa siku aseme mgawane mali baada ya kuachana
Wanaume ni mwanzo mwisho mchaka mchaka....
Ulaya ndo hii tabia imeshamili.Kuolewa ndio final hope la kuwatoa kimaisha wanawake hapa bongo.
Yaani alale aamke apewe hela ya matumizi (kula bure), kulala bure na mwisho wa siku aseme mgawane mali baada ya kuachana
Wanaume ni mwanzo mwisho mchaka mchaka....
Mwanamke mvunja ndoa haombi mali. Anaondoka kwa hasira. Sio haya matapeli yanafungua hadi kesi mahakamaniUlaya ndo hii tabia imeshamili.
Wanawake walio wengi hata wasome vipi, akili zao ni fupi mno, wanafikiri kuolewa ndo kilele cha mafanikio kumbe ndo mwanzo wa maisha yanaana, yanaweza kuwa mazuri au mabaya.Huwa naona kama ndoto kubwa zaidi waliyo nayo wanawake wengi wa bongo ni kuolewa.
Hata wamama wengi unakuta kwa mfano wakiwa wanawaelekeza mabinti wao wanawaambia kauli kama hujui kupika/kufanya usafi/ au na uvivu huo utaolewa na nani.
Hivi mwanamke kuolewa ndio mafanikio ya juu zaidi anayoweza kufikia?
View attachment 3161915
Unachoma
Wapi uliona wanaume wamejazana kwa manabii ili kuombewa wapate mke?Kuoa au kuolewa na kujenga familia iliyo bora ni ndoto ya kila mtu mwenye akili timamu bila kujali ww ni mwanamke au mwanaume.
Ndoa bado ni kitu chenye thamani dunia japo kuna juhudi kubwa sana ya kuishusha thamani yake.
KwaniniiUnachoma
Kaji-overrate sana ngamia huyu
Ni kweli mkuu, unaoa alafu unaanza kutesekaUpendeleo wa kisheria ni moja ya sababu zinazofanya wanaume wa kizazi cha sasa wasite kuoa.
Upo kimyaKwaninii
am available from now, c unajua unavokua majukumu yanaongezekaa🤦Upo kimya
Una watoto wangapam available from now, c unajua unavokua majukumu yanaongezekaa🤦
😂 Sina, why unauliza?Una watoto wangap
Sasa majukumu ya nn😂😂 Sina, why unauliza?
Majukumu binafsi, ndio maana umaskini upo hadi kwa wasio na watoto, yaani najijukumia mwenyewe 😂 na harakati za mtaani hapa na pale deals ndogo ndogo na refreshes hapo hapo nitafute na partnerSasa majukumu ya nn😂