Kuna mahali viongozi wa nchi yetu wanatukosea Sana wananchi

Kuna mahali viongozi wa nchi yetu wanatukosea Sana wananchi

kiroka

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2018
Posts
358
Reaction score
1,887
Nawaza tu hivi Kuna umuhimu gani kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zilizopo mjini kutumia magari ya m,amia ya mamilioni,

Maeneo Mengi ya mjini miundo mbinu ni rafiki kwann mkuu wa wilaya na mkurugenzi wawe na mav8 ya nini, gharama ya kuyanunua na kuyatunza hawaoni ni kubwa saana jamani

Kuna sababu gani ya wilaya za mkoa wa dar kua na midude mikubwa hata pembezoni mwa nchi kama wilaya za songea mjini mwanza Moshi dodoma Arusha mjini, wanafanya nayo kazi gani
Kwani wakitumia ist hizi used from japan km wanavotumia wananchi kazi hazitafanyika, Kama ni Sheria tubadilishe Sheria zetu tusijiumize Bure au hamjali

pesa itakoyookolewa hapo iende kwenye miradi mingine, inawezekan tukapunguza utegemezi wa burgeti kuu ya serikali na madeni tukianza kujibana wenyewe

kinachoshangaza unaweza Kuta gari la garama limeegeshwa na limekufa kitu kidogo tu litakaa miaka na miaka likiendelea kuchakaa siku wakiamua kuliuza utalia Bei ya mauzo yake ukifananisha na Bei ya manunuzi

Nendeni ofisini kwa wakuu wa wilaya na wakurungezi na ofisi za wakuu wa mikoa mkaone magari ya serikali yaliyoegeshwa na uliza yameegeshwa kwa changamoto gani,utalia

Hakuna ofisi ya mkuu wa mkoa nchi hii au wilaya au halmashauri ambayo Haina magari yaliyotelekezwa yakiozeana bila sababu nani anajali


Tuchukulie kila mkoa uwe na gari zilizotelekezwa Kama kumi ivi tuone mara mikoa yote ya Tanzania bara,hapo bado hujataja taasisi na mashirika ya Umma.
kinachoumiza zaidi unakuta huko vijijini watoto wanakaa chini shule Haina madawati majengo chakavu na matundu ya vyoo hakuna are we serious,
Yaan umekaa kwenye gari la thamani kubwa na magari engine ya thamani yanaoza ofisini kwako.

Yaani nikiona zile gari zinazooza kwenye ofisi za Umma moyo unaniuma Sana yametelekezwa Kama Mali za marehemu zenye mgogoro wa mirathi zinasubiri uamuzi wa mahakama.
 
hakuna serikali inaingia hasara so long as wananchi wanalipa kodi kila siku.

binafsi ningekua ata katibu tawala tu wa wilaya ningekua natembelea lamborghini
 
Maeneo Mengi ya mjini miundo mbinu ni rafiki kwann mkuu wa wilaya na mkurugenzi wawe na mav8 ya nini, gharama ya kuyanunua na kuyatunza hawaoni ni kubwa saana jamani

Kuna sababu gani ya wilaya za mkoa wa dar kua na midude mikubwa hata pembezoni mwa nchi kama wilaya za songea mjini mwanza Moshi dodoma Arusha mjini, wanafanya nayo kazi gani
Kwani wakitumia ist hizi used from japan km wanavotumia wananchi kazi hazitafanyika, Kama ni Sheria tubadilishe Sheria zetu tusijiumize Bure au hamjali
Upo sahihi sana, ukweli ni kwamba viongozi wa Tanzania ni wapenda high profile na status hata maisha ya anasa na vitisho zaidi kuliko tija
 
Nawaza tu hivi Kuna umuhimu gani kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zilizopo mjini kutumia magari ya m,amia ya mamilioni,

Maeneo Mengi ya mjini miundo mbinu ni rafiki kwann mkuu wa wilaya na mkurugenzi wawe na mav8 ya nini, gharama ya kuyanunua na kuyatunza hawaoni ni kubwa saana jamani

Kuna sababu gani ya wilaya za mkoa wa dar kua na midude mikubwa hata pembezoni mwa nchi kama wilaya za songea mjini mwanza Moshi dodoma Arusha mjini, wanafanya nayo kazi gani
Kwani wakitumia ist hizi used from japan km wanavotumia wananchi kazi hazitafanyika, Kama ni Sheria tubadilishe Sheria zetu tusijiumize Bure au hamjali

pesa itakoyookolewa hapo iende kwenye miradi mingine, inawezekan tukapunguza utegemezi wa burgeti kuu ya serikali na madeni tukianza kujibana wenyewe

kinachoshangaza unaweza Kuta gari la garama limeegeshwa na limekufa kitu kidogo tu litakaa miaka na miaka likiendelea kuchakaa siku wakiamua kuliuza utalia Bei ya mauzo yake ukifananisha na Bei ya manunuzi

Nendeni ofisini kwa wakuu wa wilaya na wakurungezi na ofisi za wakuu wa mikoa mkaone magari ya serikali yaliyoegeshwa na uliza yameegeshwa kwa changamoto gani,utalia

Hakuna ofisi ya mkuu wa mkoa nchi hii au wilaya au halmashauri ambayo Haina magari yaliyotelekezwa yakiozeana bila sababu nani anajali


Tuchukulie kila mkoa uwe na gari zilizotelekezwa Kama kumi ivi tuone mara mikoa yote ya Tanzania bara,hapo bado hujataja taasisi na mashirika ya Umma.
Dah uongozi mbovu ndio chanzo Cha maendeleo duni
 
Nature ya binaadamu ni kuongea tu kwasababu hauna. Ukiingia kwenye system hamna anayesema magari ni gharama sana. Ni hivyo tu mpo nje ya system.
Tatizo naliona Mimi ni bajeti kutokuwa sahihi au actual figure.
Iweje unapanga bajeti kwa kutegemea estimated income ambayo sio realized.
Mtu analipa matumizi kibao toka nje wakati mazao ya wakulima yanaoza.
Iweje Leo mazao ya mkakati yaachwe yaharibike kwa kukosa soko.
Iweje Zanzibar apewe 10% ya mapato ya kila mwezi,tukikusanya trillioni 3, 10% kiasi hicho madhara yake kwenye uchumi ni makubwa,Kaliakoo sasa hivi ukienda bei hazishishiki na wanunuzi sio wengi aggrey unaona mita mia mbele sababu watu ni wachache,ukienda ruaha kilombero nako hivyo hivyo watu hawana uwezo wa shopping wengi wanavaa jersey za Aziz Ki,na ukienda Mwanjelwa hakuna vibe sokoni,sasa semeni hiyo pesa ya kununua na kugharimia midude ya wakubwa na maving'ora mnatoa wapi,mnajenga uchumi wa kupiga na wa kidalali na kifisadi,inakuwaje hapa.
 
Watu wanatoka Mwanza, Tabora, Shinyanga, kuja Dar kufanyiwa vipimo vya rufaa kutoka Bugando.

Nikauliza, ndugu zangu yani ni mashine-tiba gani hiyo ambayo kanda ya ziwa yote hakuna kuanzia Bukoba, Kahama kwenye ma gold huko, Mwanza, Shinyanga, Musoma kwenye ma export ya samaki, Tarime kwenye ma gold mines, hakuna, na ni shiing ngapi hiyo Mashine ukilinganisha na Land Cruiser VX ya Mkurugenzi ????

Sijawahi kupata majibu
 
Hizi ni akili za kufirika tu; Tanzania kuna maeneo wakuu wa wilaya, zaidi wakuu wa mikoa wanahitaji hizo luxury 4x4 kufanya kazi zao.

Utunzaji wa hayo magari for their longevity na namna serikari inavyo recoup scrap (residual) value ya manunuzi huo ni ufisadi mwengine.

Lakini mawaziri, wakuu wa wilaya na mikoa wanahitaji hayo magari kwa majukumu yao, vinginevyo mtihani.
 
Nawaza tu hivi Kuna umuhimu gani kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zilizopo mjini kutumia magari ya m,amia ya mamilioni,

Maeneo Mengi ya mjini miundo mbinu ni rafiki kwann mkuu wa wilaya na mkurugenzi wawe na mav8 ya nini, gharama ya kuyanunua na kuyatunza hawaoni ni kubwa saana jamani

Kuna sababu gani ya wilaya za mkoa wa dar kua na midude mikubwa hata pembezoni mwa nchi kama wilaya za songea mjini mwanza Moshi dodoma Arusha mjini, wanafanya nayo kazi gani
Kwani wakitumia ist hizi used from japan km wanavotumia wananchi kazi hazitafanyika, Kama ni Sheria tubadilishe Sheria zetu tusijiumize Bure au hamjali

pesa itakoyookolewa hapo iende kwenye miradi mingine, inawezekan tukapunguza utegemezi wa burgeti kuu ya serikali na madeni tukianza kujibana wenyewe

kinachoshangaza unaweza Kuta gari la garama limeegeshwa na limekufa kitu kidogo tu litakaa miaka na miaka likiendelea kuchakaa siku wakiamua kuliuza utalia Bei ya mauzo yake ukifananisha na Bei ya manunuzi

Nendeni ofisini kwa wakuu wa wilaya na wakurungezi na ofisi za wakuu wa mikoa mkaone magari ya serikali yaliyoegeshwa na uliza yameegeshwa kwa changamoto gani,utalia

Hakuna ofisi ya mkuu wa mkoa nchi hii au wilaya au halmashauri ambayo Haina magari yaliyotelekezwa yakiozeana bila sababu nani anajali


Tuchukulie kila mkoa uwe na gari zilizotelekezwa Kama kumi ivi tuone mara mikoa yote ya Tanzania bara,hapo bado hujataja taasisi na mashirika ya Umma.
Hivyo vyeo ndio nguzo kuu wa cxm na watoto wao
 
Nawaza tu hivi Kuna umuhimu gani kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zilizopo mjini kutumia magari ya m,amia ya mamilioni,

Maeneo Mengi ya mjini miundo mbinu ni rafiki kwann mkuu wa wilaya na mkurugenzi wawe na mav8 ya nini, gharama ya kuyanunua na kuyatunza hawaoni ni kubwa saana jamani

Kuna sababu gani ya wilaya za mkoa wa dar kua na midude mikubwa hata pembezoni mwa nchi kama wilaya za songea mjini mwanza Moshi dodoma Arusha mjini, wanafanya nayo kazi gani
Kwani wakitumia ist hizi used from japan km wanavotumia wananchi kazi hazitafanyika, Kama ni Sheria tubadilishe Sheria zetu tusijiumize Bure au hamjali

pesa itakoyookolewa hapo iende kwenye miradi mingine, inawezekan tukapunguza utegemezi wa burgeti kuu ya serikali na madeni tukianza kujibana wenyewe

kinachoshangaza unaweza Kuta gari la garama limeegeshwa na limekufa kitu kidogo tu litakaa miaka na miaka likiendelea kuchakaa siku wakiamua kuliuza utalia Bei ya mauzo yake ukifananisha na Bei ya manunuzi

Nendeni ofisini kwa wakuu wa wilaya na wakurungezi na ofisi za wakuu wa mikoa mkaone magari ya serikali yaliyoegeshwa na uliza yameegeshwa kwa changamoto gani,utalia

Hakuna ofisi ya mkuu wa mkoa nchi hii au wilaya au halmashauri ambayo Haina magari yaliyotelekezwa yakiozeana bila sababu nani anajali


Tuchukulie kila mkoa uwe na gari zilizotelekezwa Kama kumi ivi tuone mara mikoa yote ya Tanzania bara,hapo bado hujataja taasisi na mashirika ya Umma.
Wanasemaga Eti ni Kazi na Bata ! 😳 !
 
Nawaza tu hivi Kuna umuhimu gani kwa wakuu wa wilaya na wakurugenzi wa halmashauri zilizopo mjini kutumia magari ya m,amia ya mamilioni,

Maeneo Mengi ya mjini miundo mbinu ni rafiki kwann mkuu wa wilaya na mkurugenzi wawe na mav8 ya nini, gharama ya kuyanunua na kuyatunza hawaoni ni kubwa saana jamani

Kuna sababu gani ya wilaya za mkoa wa dar kua na midude mikubwa hata pembezoni mwa nchi kama wilaya za songea mjini mwanza Moshi dodoma Arusha mjini, wanafanya nayo kazi gani
Kwani wakitumia ist hizi used from japan km wanavotumia wananchi kazi hazitafanyika, Kama ni Sheria tubadilishe Sheria zetu tusijiumize Bure au hamjali

pesa itakoyookolewa hapo iende kwenye miradi mingine, inawezekan tukapunguza utegemezi wa burgeti kuu ya serikali na madeni tukianza kujibana wenyewe

kinachoshangaza unaweza Kuta gari la garama limeegeshwa na limekufa kitu kidogo tu litakaa miaka na miaka likiendelea kuchakaa siku wakiamua kuliuza utalia Bei ya mauzo yake ukifananisha na Bei ya manunuzi

Nendeni ofisini kwa wakuu wa wilaya na wakurungezi na ofisi za wakuu wa mikoa mkaone magari ya serikali yaliyoegeshwa na uliza yameegeshwa kwa changamoto gani,utalia

Hakuna ofisi ya mkuu wa mkoa nchi hii au wilaya au halmashauri ambayo Haina magari yaliyotelekezwa yakiozeana bila sababu nani anajali


Tuchukulie kila mkoa uwe na gari zilizotelekezwa Kama kumi ivi tuone mara mikoa yote ya Tanzania bara,hapo bado hujataja taasisi na mashirika ya Umma.
Mie wala siwalaumu hao viongozi, nalaumu sana wananchi ambao wamewaweka hao viongozi madarakani
 
Hizi ni akili za kufirika tu; Tanzania kuna maeneo wakuu wa wilaya, zaidi wakuu wa mikoa wanahitaji hizo luxury 4x4 kufanya kazi zao.

Utunzaji wa hayo magari for their longevity na namna serikari inavyo recoup scrap (residual) value ya manunuzi huo ni ufisadi mwengine.

Lakini wakuu wa wilaya na mikoa wanahitaji hayo magari kwa majukumu yao,
4x4 yanahitajika sana Kwakweli kwa majukumu yao , it’s true But even Land Cruiser Hardtop is also. 4X4 !
Kwanini mavieite ! 😳 !
 
4x4 yanahitajika sana Kwakweli kwa majukumu yao , it’s true But even Land Cruiser Hardtop is also. 4X4 !
Kwanini mavieite ! 😳 !
Sijui unatembea vipi ndani ya gari na kwa urefu gani. Lakini kuendesha masaa matatu tu njia ya lami safi unabadili kila mkao kama dereva.

Sasa kukaa ndani ya gari kwa masaa sita njia ya mabonde kama mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya sehemu zingine. Huko ni kutafuta kutengeuna viuno.

Better still kuna durability ya hayo magari, jamaa wanazunguka na hayo magari sio mzaha hasa mawaziri (kwakweli wanastahili hizo gari). Kuna sehemu hawa watu wanaenda njia zake sio mzaha.

Sikubaliani na matumizi mengi ya hovyo ya serikali ya Tanzania, Ila sio kwenye luxury 4x4 za viongozi, jamaa wanazunguka.

Unadhani kwanini IST zipo mijini tu sio vijijini.
 
Sijui unatembea vipi ndani ya gari na kwa urefu gani. Lakini kuendesha masaa matatu tu njia ya lami safi unabadili kila mkao kama dereva.

Sasa kukaa ndani ya gari kwa masaa sita njia ya mabonde kama mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya sehemu zingine. Huko ni kutafuta kutengeuna viuno.

Better still kuna durability ya hayo magari, jamaa wanazunguka na hayo magari sio mzaha hasa mawaziri (kwakweli wanastahili hizo gari). Kuna sehemu hawa watu wanaenda njia zake sio mzaha.

Sikubaliani na matumizi mengi ya hovyo ya serikali ya Tanzania, Ila sio kwenye luxury 4x4 za viongozi, jamaa wanazunguka.

Unadhani kwanini IST zipo mijini tu sio vijijini.
mawaziri sawa, wakuu wa wilaya zilizopo vijijini 4*4 zinawafaa ila Hawa wa mjini za nini mkuu wa wilaya ya ilala kinondon na nyingn zenye miundombinu Kama hizi v8 la nni
 
Hizi ni akili za kufirika tu; Tanzania kuna maeneo wakuu wa wilaya, zaidi wakuu wa mikoa wanahitaji hizo luxury 4x4 kufanya kazi zao.

Utunzaji wa hayo magari for their longevity na namna serikari inavyo recoup scrap (residual) value ya manunuzi huo ni ufisadi mwengine.

Lakini mawaziri, wakuu wa wilaya na mikoa wanahitaji hayo magari kwa majukumu yao, vinginevyo mtihani.
Mkuu wa wilaya na mkurugenzi wa Kinondoni anatumia V8 kwa ajili ya shughuli gani? Kutoka nyumbani kwake hadi ofisini wanakimbia speed chini ya 60. Mwisho kabisa wakitaka kuindoka madarakani yanayaangusha makusudi then wanauziana.
 
mawaziri sawa, wakuu wa wilaya zilizopo vijijini 4*4 zinawafaa ila Hawa wa mjini za nini mkuu wa wilaya ya ilala kinondon na nyingn zenye miundombinu Kama hizi v8 la nni
Taratibu za serikali ni standardisation. Sehemu nyingi zaidi zinahitaji hayo magari kwa hivyo hiyo ndio inakuwa standard ya meritocracy.

Nakumbuka zama za JK alikuwa na ziara kama sijakosea ilikuwa Lindi, kuna sehemu kufika mvua imenyesha balaa magari yao ayapitiki, Iła kuna daraja la dharura.

Ikawa viongozi wavuke kwa mtumbwi halafu magari yafuate. JK alikuwa ameongozana na marehemu Membe kwenye ile ziara.

Kabla JK ajavuka akamwambia Membe atangulie kwenye mtumbwi., Alivyoona mtumbwi wenyewe hovyo na njia ya mbele aieleweki. Akawaambia huo mtumbwi sina imani nao na mie kuogelea sijui na safari yenyewe alighairi hapo hapo wakageuza njia kurudi Dar.

Mada yenyewe himo humu JF kulikuwa na kelele mingi sana.

Hawa mawaziri jamaa kuna maeneo wanaenda wanakwama kabisa na hizo 4x4 zao inabidi matairi wafunge chain na kuanza kuvutana.

Sasa ndio IST itapita huko, hayo magari kwa serikali sio luxury ni necessary kwa nchi yetu.
 
Mkuu wa wilaya na mkurugenzi wa Kinondoni anatumia V8 kwa ajili ya shughuli gani? Kutoka nyumbani kwake hadi ofisini wanakimbia speed chini ya 60. Mwisho kabisa wakitaka kuindoka madarakani yanayaangusha makusudi then wanauziana.
Ghafla anapigiwa simu ruka Dodoma raisi anataka kuongea na wewe, au yuko Pwani kwenye mkutano unahitajika. Wanahitaji hayo magari.
 
Back
Top Bottom