Kuna mahali viongozi wa nchi yetu wanatukosea Sana wananchi

Kuna mahali viongozi wa nchi yetu wanatukosea Sana wananchi

Sijui unatembea vipi ndani ya gari na kwa urefu gani. Lakini kuendesha masaa matatu tu njia ya lami safi unabadili kila mkao kama dereva.

Sasa kukaa ndani ya gari kwa masaa sita njia ya mabonde kama mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya sehemu zingine. Huko ni kutafuta kutengeuna viuno.

Better still kuna durability ya hayo magari, jamaa wanazunguka na hayo magari sio mzaha hasa mawaziri (kwakweli wanastahili hizo gari). Kuna sehemu hawa watu wanaenda njia zake sio mzaha.

Sikubaliani na matumizi mengi ya hovyo ya serikali ya Tanzania, Ila sio kwenye luxury 4x4 za viongozi, jamaa wanazunguka.

Unadhani kwanini IST zipo mijini tu sio vijijini.
LandCruiser Hardtop 4X4 tena ina mkonga nje ingependeza sana !
Bei nafuu ya kununulia na ni imara zaidi na maintainance yake ni rahisi sana !

Kila ndege huruka kwa ubawa wake !
Kama Nchi ni masikini tuende hivyo hivyo kwa umasikini wetu !

Wapo Viongozi waliokuwa wakitembelea LandRover 109 na hawakutenguka viuno !

Kupanga ni kuchagua !
Naona tumechagua Kazi na Bata !
Kazi kidogo Bata mingi 🤣👍🙏
 
Taratibu za serikali ni standardisation. Sehemu nyingi zaidi zinahitaji hayo magari kwa hivyo hiyo ndio inakuwa standard ya meritocracy.

Nakumbuka zama za JK alikuwa na ziara kama sijakosea ilikuwa Lindi, kuna sehemu kufika mvua imenyesha balaa magari yao ayapitiki.

Ikawa kuvuka kwa mtumbwi halafu magari yafuate. JK alikuwa ameongozana na marehemu Membe kwenye ile ziara.

Kabla JK ajavuka akamwambia Membe atangulie kwenye mtumbwi., Alivyoona mtumbwi wenyewe hivyo na njia ya mbele aieleweki mbona safari yenyewe alighairi hapo hapo; mada yenyewe himo humu JF kulikuwa na kelele mingi.

Hawa mawaziri jamaa kuna maeneo wanaenda wanakwama kabisa na hizo 4x4 zao inabidi matairi wafunge chain na kuanza kuvutana.

Sasa ndio IST itapita huko, hayo magari kwa serikali sio luxury ni necessary kwa nchi yetu.
LandCruiser Hardtop’s white colour 4X4 inapita popote pale ambapo hata mavieite hayawezi kupita !
Kupanga ni kuchagua !
Sema tu tumechagua hivyo !
 
Sijui unatembea vipi ndani ya gari na kwa urefu gani. Lakini kuendesha masaa matatu tu njia ya lami safi unabadili kila mkao kama dereva.

Sasa kukaa ndani ya gari kwa masaa sita njia ya mabonde kama mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya sehemu zingine. Huko ni kutafuta kutengeuna viuno.

Better still kuna durability ya hayo magari, jamaa wanazunguka na hayo magari sio mzaha hasa mawaziri (kwakweli wanastahili hizo gari). Kuna sehemu hawa watu wanaenda njia zake sio mzaha.

Sikubaliani na matumizi mengi ya hovyo ya serikali ya Tanzania, Ila sio kwenye luxury 4x4 za viongozi, jamaa wanazunguka.

Unadhani kwanini IST zipo mijini tu sio vijijini.
jikuma wewe hao mawaziri wanazunguka kwa issue gani zaidi ya kumsifia mama abdul na kukata mauno stejini wanazunguka sababu wana mafuta ya walipa kodi si kutatua shda za watz wanazunguka kulipana maposho hakuna jipya no maji, no ajira, no walimu, no madawa, no madawati nk
 
LandCruiser Hardtop’s white colour 4X4 inapita popote pale ambapo hata mavieite hayawezi kupita !
Kupanga ni kuchagua !
Sema tu tumechagua hivyo !
Ukienda kijijini kwetu, kufika kwanza hakuna lami ni changarawe tu, mvua ikinnyesha ni kasheshe kwa (4x4) RAV4.

Ukishamaliza hiyo njia ya changarawe hata siku nzuri unaingia mabondeni, hata hiyo RAV4 aiendi inabidi mshuke muanze kutembea kwa miguu kama mita 500 hivi ndio mfike.

Sasa hawa mawaziri na wakuu wa mikoa maeneo mengine iwe mvua au jua ndio ziara zao za kila siku na njia zingine hata hiyo barabara ya changarawe hakuna.
 
jikuma wewe hao mawaziri wanazunguka kwa issue gani zaidi ya kumsifia mama abdul na kukata mauno stejini wanazunguka sababu wana mafuta ya walipa kodi si kutatua shda za watz wanazunguka kulipana maposho hakuna jipya no maji, no ajira, no walimu, no madawa, no madawati nk
Ukitaka kuona una matatizo soma mada uone, mpaka sasa watu wanapingana kwa hoja kwenye ku-justify ni haki au la ya viongozi kuwa na magari wanayopewa.

Sasa wewe huna hoja zaidi ya kutukana watu, unafaidika na nini kutukana watu; kwenye mjadala.
 
Ukienda kijijini kwetu, kufika kwanza hakuna lami ni changarawe tu, mvua ni ikinnyesha ni kasheshe kwa (4x4) RAV4.

Ukishamaliza hiyo njia ya changarawe hata siku nzuri unaingia mabondeni, hata hiyo RAV4 aiendi inabidi mshuke muanze kutembea kwa miguu kama mita 500 hivi ndio mfike.

Sasa hawa mawaziri na wakuu wa mikoa maeneo mengine iwe mvua au jua ndio ziara zao za kila siku na njia zingine hata hiyo barabara ya changarawe hakuna.
Ndio maana nikawachagulia LandCruiser Hardtops rangi nyeupe tena zina mikonga ya kupumulia nje ili hata kwenye mito na mabwawa au maronga ipite bila kuvuta maji kwenye Injini !
Tena ni 4X4 ya Ukweli ikiwa na injini ya One HZ !
😅 Kupanga ni kuchagua !
 
Ukienda kijijini kwetu, kufika kwanza hakuna lami ni changarawe tu, mvua ni ikinnyesha ni kasheshe kwa (4x4) RAV4.

Ukishamaliza hiyo njia ya changarawe hata siku nzuri unaingia mabondeni, hata hiyo RAV4 aiendi inabidi mshuke muanze kutembea kwa miguu kama mita 500 hivi ndio mfike.

Sasa hawa mawaziri na wakuu wa mikoa maeneo mengine iwe mvua au jua ndio ziara zao za kila siku na njia zingine hata hiyo barabara ya changarawe hakuna.
Sasa hapo solution nikujenga barabara za lami au kununua hayo maV8 ?
 
Back
Top Bottom