Kuna mahusiano kati ya ndoto na maisha ya kawaida?

Kuna mahusiano kati ya ndoto na maisha ya kawaida?

kamagetac

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
2,479
Reaction score
643
Habari wanaJF,

Naomba niwashirikishe ndoto yangu;

Nikiwa chuo mwaka wa pili semister ya kwanza tulikuwa katika chumba cha mtihani mchana, tulikuwa tunafanya Financial Accounting kiukweli yale maswali nilikuwa nayafahamu ajabu wakati naanza kufanya ule mtihani ilinitokea hali ya tofauti.

Nilifanikiwa kufanya swali moja tena ilikuwa ni nusu tu swali na nikashangaa masaa 3 yameisha bila kumaliza maswali ya mtihani. Wakati natafakari cha kuandika nilishtuka hali ya kujisikia kufika kileleni kama vile nilikuwa nafanya mapenzi ili hali nimekaa kwenye kili tena chumba cha mtihani. Nilifanikiwa kupata supplimentary na Mungu alisaidia nikaclear.

Tokea hapo nimekuwa nikiota nafanya mtihani ila mtihani wenyewe unakuwa ni mgumu kupita maelezo na huwa sifanikiwa kujibu swali hata moja, halafu nashtuka najisikia kama nilikuwa nafanya mapenzi basi nachukia najikagua kama nimechafuka lakini hamna kitu.

Hii ndoto imekuwa ikinisumbua sana mambo ya kufanya mtihani ndotono kwa kweli sipendi

Je, hii ndoto ina mahusiano gani na maisha ya kawaida kwa wale wanaofahamu?
 
ni sehemu pekee unapoongea na Mungu moja kwa moja,kama manabii walipoongea nae kupitia ndoto, mathayo mtakatifu sura ya 27 mstari wa 19-25 baada ya mama huyo kuonjeshwa joto ya jiwe soma alivykulupuka kubadili mambo ukibisha basi
 
Naongea vipi sasa na Mungu mwibamwiba ina maana Mungu mwenyewe ndio hunipatia hio mitihani ndotoni? maana ni migumu na haifanyiki
 
Last edited by a moderator:
Ninachoamini ni yeye ndio aandaae ndoto kwa kila binadamu,na kuongea nae ndotoni ninaamini ni yeye anaweza kukuonesha mambo mengi tu,ila nakuhakikishia wapo watu wanazungumza nae na kusikia sauti rejea nafsi tatu za roma,baba roho mwana na roho mtakatifu,live huongea nae akiwa ktk roho mtakatifu ndani ya moyo wako kifupi its a mimarcle but believe me roma is correct and perfect
 
Habari wana jf

Naomba niwashirikishe ndoto yangu

Nikiwa chuo mwaka wa pili semister ya kwanza tulikuwa katika chumba cha mtihani mchana,tulikuwa tunafanya Financial Accounting kiukweli yale maswali nilikuwa nayafahamu ajabu wakati naanza kufanya ule mtihani ilinitokea hali ya tofauti,nilifanikiwa kufanya swali moja tena ilikuwa ni nusu tu swali na nikashangaa masaa 3 yameisha bila kumaliza maswali ya mtihani.Wakati natafakari cha kuandika nilishtuka hali ya kujisikia kufika kileleni kama vile nilikuwa nafanya mapenzi ili hali nimekaa kwenye kili tena chumba cha mtihani.Nilifanikiwa kupata supplimentary na Mungu alisaidia nikaclear.

Tokea hapo nimekuwa nikiota nafanya mtihani ila mtihani wenyewe unakuwa ni mgumu kupita maelezo na huwa sifanikiwa kujibu swali hata moja,halafu nashtuka najisikia kama nilikuwa nafanya mapenzi basi nachukia najikagua kama nimechafuka lakini hamna kitu.

Hii ndoto imekuwa ikinisumbua sana mambo ya kufanya mtihani ndotono kwa kweli sipendi

Je hii ndoto ina mahusiano gani na maisha ya kawaida kwa wale wanaofahamu

Achana na mambo ya NDOTO mkubwa......hizo ni roho zinakuchezea, muombe Mungu kwa dhati yatakwisha, chapa kazi, ndio maisha yenyewe.
 
Achana na mambo ya NDOTO mkubwa......hizo ni roho zinakuchezea, muombe Mungu kwa dhati yatakwisha, chapa kazi, ndio maisha yenyewe.


Huwasijali ndoto sana ila hii ya kufanya mtihani ndotoni tena isiyo kuwa na majibu ndio kwangu maajabu
 
Ninachoamini ni yeye ndio aandaae ndoto kwa kila binadamu,na kuongea nae ndotoni ninaamini ni yeye anaweza kukuonesha mambo mengi tu,ila nakuhakikishia wapo watu wanazungumza nae na kusikia sauti rejea nafsi tatu za roma,baba roho mwana na roho mtakatifu,live huongea nae akiwa ktk roho mtakatifu ndani ya moyo wako kifupi its a mimarcle but believe me roma is correct and perfect


Asante sana mkuu inabidi nianze kusoma biblia
 
Ninachoamini ni yeye ndio aandaae ndoto kwa kila binadamu,na kuongea nae ndotoni ninaamini ni yeye anaweza kukuonesha mambo mengi tu,ila nakuhakikishia wapo watu wanazungumza nae na kusikia sauti rejea nafsi tatu za roma,baba roho mwana na roho mtakatifu,live huongea nae akiwa ktk roho mtakatifu ndani ya moyo wako kifupi its a mimarcle but believe me roma is correct and perfect


Asante sana mkuu inabidi nianze kusoma biblia
 
Mkuu Kamagetac, yawezekana kuna changamoto fulani katika maisha; maana ndoto yako hiyo inaonesha kuwa wewe binafsi hujiamini katika maisha yako na kuna uwalakini katika kubadilisha maisha yako.Vilevile yawezekana kuna kitu unataka kufanya lakini unaogopa kufanya kutokana na sababu unazozijua mwenyewe na pia yawezekana kuna rafiki zako ambao wamefanikiwa kimaisha na unawatamani na unataka uwe kama wao lakini unashindwa.
 
Ukipata mtaalam unistue na Mimi , kuna ndoto inanitesa sana na lazima nikiota masomo iwe ni maudhui hayo hayo.
 
Spiritually, ndoto yoyote ya aina moja inayokujia mara kwa mara ina maana, au ndoto unayoota mara moja hlafu inakusumbua siku nzima kuiwaza, ina maana. Muhimu omba Mungu akuonyeshe.
I once had a dream navuka mahali kwenda upande mwingine, nilipofika ng'ambo ya pili sikuwa na direction niende kulia au kushoto na nilikuwa na watu wkt navuka ila wakaniacha nahangaika mwenyewe after kufika other side. Ndoto ilinijia mara 3, sikutilia maanani kusali ingawa ilinisumbua rohoni,miaka mitano baada ya mimi kuwa na changes kubwa sana za maisha, direction ikakosekana ghafla and was left alone just like i was shown in my dream. Right after things happened flashback ya ndoto ikanijia akilini kuwa nilionyeshwa hili jambo mwaka flani mara kadhaa ndotoni.
So do not ignore inaeza isiwe good sign ya future yako u need to pray for God's guidance.
 
Spiritually, ndoto yoyote ya aina moja inayokujia mara kwa mara ina maana, au ndoto unayoota mara moja hlafu inakusumbua siku nzima kuiwaza, ina maana. Muhimu omba Mungu akuonyeshe.
I once had a dream navuka mahali kwenda upande mwingine, nilipofika ng'ambo ya pili sikuwa na direction niende kulia au kushoto na nilikuwa na watu wkt navuka ila wakaniacha nahangaika mwenyewe after kufika other side. Ndoto ilinijia mara 3, sikutilia maanani kusali ingawa ilinisumbua rohoni,miaka mitano baada ya mimi kuwa na changes kubwa sana za maisha, direction ikakosekana ghafla and was left alone just like i was shown in my dream. Right after things happened flashback ya ndoto ikanijia akilini kuwa nilionyeshwa hili jambo mwaka flani mara kadhaa ndotoni.
So do not ignore inaeza isiwe good sign ya future yako u need to pray for God's guidance.


Asante sana mpendwa kwa maelezo yako
Yawezekana na mimi nitakuja kuwa na maisha magumu na nisipate njia ya kutatua!!! kweli kabisa naona ndio maana ya ndoto yangu ee Mungu nisaidie
 
Mkuu Kamagetac, yawezekana kuna changamoto fulani katika maisha; maana ndoto yako hiyo inaonesha kuwa wewe binafsi hujiamini katika maisha yako na kuna uwalakini katika kubadilisha maisha yako.Vilevile yawezekana kuna kitu unataka kufanya lakini unaogopa kufanya kutokana na sababu unazozijua mwenyewe na pia yawezekana kuna rafiki zako ambao wamefanikiwa kimaisha na unawatama
ni na unataka uwe kama wao lakini unashindwa.

Mkuu inaweza ikawa ni kweli
 
Back
Top Bottom