DOKEZO Kuna Mama anauza gongo na bangi wazi kata ya Moshono mtaa wa Mtoni, karibu na chuo cha uhasibu Arusha. OCD Arusha Mjini tusaidie

DOKEZO Kuna Mama anauza gongo na bangi wazi kata ya Moshono mtaa wa Mtoni, karibu na chuo cha uhasibu Arusha. OCD Arusha Mjini tusaidie

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

mkukuri

Member
Joined
Nov 23, 2024
Posts
77
Reaction score
83
Habari wana JamiiForums.

Kuna mama mmoja anaishi kaya ya MOSHONO mtaa wa MTONI,KARIBU na chuo Cha Uhasibu anauza gongo na bangi nyumbani kwake wazi wazi kama vile ana leseni.Pale kwake ni maarifu kama Kigamboni.

Vijana wote wa mtaani pamoja na wanafunzi wa chuo cha Uhasibu wameharibika Kwa kunywa gongo na kuvuta bangi bila kificho.

Cha ajabu viongozi wa serikali ya mtaa wapo lakini hawachukui hatua yoyote.Wananchi walishalalamika kwenye mikutano ya mtaa lakini wapi!!!

CHA KUSHANGAZA ZAIDI MME WAKE NA HUYU MAMA NI ASKARI POLISI,SUREEE!! Lakini bangi na gongo inauzwa kwake lakini yeye akitoka nyambani anaenda kukukamata vijana anauza mkaa na vitu vidogo vidogo.

Kuna kipindi alikatamatwa na polisi akatoka ndani ya nusu Saa.Aliporudi alikuja na speed mpya huku akidai hakuna mtu wa kumfanya kitu.

OCD okoa vijana wanaangamia.na huyo polisi ambaye bangi na gongo vinauziwa kwake,analizalilisha jeshi la polisi
 
Acha auze mkuu wangu, wewe fanya mambo yako tu, yeye mwache tu atakamatwa na askari siku yake ikifika.

Ukiona anauza bangi na gongo ujue kwamba kuna wateja wa hivo vitu. Na sidhani pia kwamba yeye ndo kawafundisha kuvuta bangi na kunywa gongo, yeye ni ameangalia tu fursa akawasogezea mahitaji wateja.

Sio kwamba hivo vitu ni vibaya kiasi hicho.
 
Habari wana JamiiForums.

Kuna mama mmoja anaishi kaya ya MOSHONO mtaa wa MTONI,KARIBU na chuo Cha Uhasibu anauza gongo na bangi nyumbani kwake wazi wazi kama vile ana leseni.Pale kwake ni maarifu kama Kigamboni.

Vijana wote wa mtaani pamoja na wanafunzi wa chuo cha Uhasibu wameharibika Kwa kunywa gongo na kuvuta bangi bila kificho.

Cha ajabu viongozi wa serikali ya mtaa wapo lakini hawachukui hatua yoyote.Wananchi walishalalamika kwenye mikutano ya mtaa lakini wapi!!!

CHA KUSHANGAZA ZAIDI MME WAKE NA HUYU MAMA NI ASKARI POLISI,SUREEE!! Lakini bangi na gongo inauzwa kwake lakini yeye akitoka nyambani anaenda kukukamata vijana anauza mkaa na vitu vidogo vidogo.

Kuna kipindi alikatamatwa na polisi akatoka ndani ya nusu Saa.Aliporudi alikuja na speed mpya huku akidai hakuna mtu wa kumfanya kitu.

OCD okoa vijana wanaangamia.na huyo polisi ambaye bangi na gongo vinauziwa kwake,analizalilisha jeshi la polisi
Kuna mawaziri huwa wanasema wemesomeshwa Kwa mama zao kuuza gongo.

Sema naamini kabisa kuwa utakuwa mgogoro binafsi na huyo mama kama anakudai mlipe tu
 
Back
Top Bottom