DOKEZO Kuna Mama anauza gongo na bangi wazi kata ya Moshono mtaa wa Mtoni, karibu na chuo cha uhasibu Arusha. OCD Arusha Mjini tusaidie

DOKEZO Kuna Mama anauza gongo na bangi wazi kata ya Moshono mtaa wa Mtoni, karibu na chuo cha uhasibu Arusha. OCD Arusha Mjini tusaidie

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Moshi nyumbani nina wk 2 tangu nitoke kule ila tamaduni za moshi/arusha ni zile zile dungu linauza gongo bangi na jioni mirungi
na watu wanatumia kama wapo seblen kwao.

Saa moja asbh mtu yupo tilalila kwa gongo madogo wa 90 kuja 2000 ndio wazee kwa muonekano wa sura unakutana na mtu utafikiria analia kumbe gongo duh.
 
Habari wana JamiiForums.

Kuna mama mmoja anaishi kaya ya MOSHONO mtaa wa MTONI,KARIBU na chuo Cha Uhasibu anauza gongo na bangi nyumbani kwake wazi wazi kama vile ana leseni.Pale kwake ni maarifu kama Kigamboni.

Vijana wote wa mtaani pamoja na wanafunzi wa chuo cha Uhasibu wameharibika Kwa kunywa gongo na kuvuta bangi bila kificho.

Cha ajabu viongozi wa serikali ya mtaa wapo lakini hawachukui hatua yoyote.Wananchi walishalalamika kwenye mikutano ya mtaa lakini wapi!!!

CHA KUSHANGAZA ZAIDI MME WAKE NA HUYU MAMA NI ASKARI POLISI,SUREEE!! Lakini bangi na gongo inauzwa kwake lakini yeye akitoka nyambani anaenda kukukamata vijana anauza mkaa na vitu vidogo vidogo.

Kuna kipindi alikatamatwa na polisi akatoka ndani ya nusu Saa.Aliporudi alikuja na speed mpya huku akidai hakuna mtu wa kumfanya kitu.

OCD okoa vijana wanaangamia.na huyo polisi ambaye bangi na gongo vinauziwa kwake,analizalilisha jeshi la polisi
Muache ale kwa urefu wa kamba yake, hao wateja wake hawapelekwi kwa mtutu wa bunduki bali huenda kuburudika kwa utashi wao wenyewe. Acha unoko.
 
Habari wana JamiiForums.

Kuna mama mmoja anaishi kaya ya MOSHONO mtaa wa MTONI,KARIBU na chuo Cha Uhasibu anauza gongo na bangi nyumbani kwake wazi wazi kama vile ana leseni.Pale kwake ni maarifu kama Kigamboni.

Vijana wote wa mtaani pamoja na wanafunzi wa chuo cha Uhasibu wameharibika Kwa kunywa gongo na kuvuta bangi bila kificho.

Cha ajabu viongozi wa serikali ya mtaa wapo lakini hawachukui hatua yoyote.Wananchi walishalalamika kwenye mikutano ya mtaa lakini wapi!!!

CHA KUSHANGAZA ZAIDI MME WAKE NA HUYU MAMA NI ASKARI POLISI,SUREEE!! Lakini bangi na gongo inauzwa kwake lakini yeye akitoka nyambani anaenda kukukamata vijana anauza mkaa na vitu vidogo vidogo.

Kuna kipindi alikatamatwa na polisi akatoka ndani ya nusu Saa.Aliporudi alikuja na speed mpya huku akidai hakuna mtu wa kumfanya kitu.

OCD okoa vijana wanaangamia.na huyo polisi ambaye bangi na gongo vinauziwa kwake,analizalilisha jeshi la polisi
Sidhani kama ni sahihi kutaja mahali anapouzia kama wamnaftia wateja

Kuna mteja wangu alishakuwa na kesi kama hiyo lakini wengi wana tumia ushirikina ili wasikamatwe.
 
Hivi IAA ipo Moshono au ipo Njiro?
Black poison The Factor Twilumba
Screenshot_20250115-104526_Maps.jpg


toughlendon_1
 
Wale vijana wanaojiita wadudu itakuwa hawakosekani katika hiyo mitaa
 
Dah ndio maana wewe ni masikini,una roho Mbaya.
Kwani umelazimishwa kununua!
 
kibaya hapo ni hajalipa kodi ila tofauti na k vant ni tbs na tra,kikubwa maokoto ukishindwa kushindana nae ungana nae.
 
Habari wana JamiiForums.

Kuna mama mmoja anaishi kaya ya MOSHONO mtaa wa MTONI,KARIBU na chuo Cha Uhasibu anauza gongo na bangi nyumbani kwake wazi wazi kama vile ana leseni.Pale kwake ni maarifu kama Kigamboni.

Vijana wote wa mtaani pamoja na wanafunzi wa chuo cha Uhasibu wameharibika Kwa kunywa gongo na kuvuta bangi bila kificho.

Cha ajabu viongozi wa serikali ya mtaa wapo lakini hawachukui hatua yoyote.Wananchi walishalalamika kwenye mikutano ya mtaa lakini wapi!!!

CHA KUSHANGAZA ZAIDI MME WAKE NA HUYU MAMA NI ASKARI POLISI,SUREEE!! Lakini bangi na gongo inauzwa kwake lakini yeye akitoka nyambani anaenda kukukamata vijana anauza mkaa na vitu vidogo vidogo.

Kuna kipindi alikatamatwa na polisi akatoka ndani ya nusu Saa.Aliporudi alikuja na speed mpya huku akidai hakuna mtu wa kumfanya kitu.

OCD okoa vijana wanaangamia.na huyo polisi ambaye bangi na gongo vinauziwa kwake,analizalilisha jeshi la polisi
 

Attachments

  • 5929282-43d7e58f930fba84b8de7085be6f9086.mp4
    19.9 MB
Ukisikia kusagiwa kunguni ndiyo huku sasa.

Lingekuwa ni suala la nia njema kuwatakia heri vijana wa huo mtaa, ungejumuisha na mitaa mingine yote nchini Tz.

Namaanisha hivii?: mtaa huo wakifungiwa kupika gongo, walevi wa mtaa huo watahamia mtaa mwingine kwenda kunywea na kuvutia huko.

Gongo na bhangi yamekuwa ni mapato haramu ya Polisi tangu enzi za Nyerere.

Huyo Polisi uliyemchomea utambi hapo akiacha kupika yeye, ataenda kukamata iliyopikwa mitaa mingine, ataendelea kula haramu za gongo na bhangi vile vile.

Kikubwa hapo ni kushauri sheria inayoharamisha matumizi ya gongo zaidi ya miaka 50, huku gongo hiyo ikiendelea kupikwa na kunywewa iangaliwe upya ama ifutwe.

Imekuwa ikiwanufaisha Polisi kwa mlango wa nyuma tangia itungwe.
Charity starts at home.
Watoto wadogo wanauzia bangi na gongo wewe unataka kuona hili ni sawa.una matatizo wewe.au ni ndugu yake na. Huyo mama
 
Moshi nyumbani nina wk 2 tangu nitoke kule ila tamaduni za moshi/arusha ni zile zile dungu linauza gongo bangi na jioni mirungi
na watu wanatumia kama wapo seblen kwao.

Saa moja asbh mtu yupo tilalila kwa gongo madogo wa 90 kuja 2000 ndio wazee kwa muonekano wa sura unakutana na mtu utafikiria analia kumbe gongo duh.
Mbaya sana serikali inayaona haya lakini imekaa kimya. Watu wenye awareness tupaze sauti Mimi nimeanzia humu na kila mtu Kwa nafasi yake apinge
 
M
Habari wana JamiiForums.

Kuna mama mmoja anaishi kaya ya MOSHONO mtaa wa MTONI,KARIBU na chuo Cha Uhasibu anauza gongo na bangi nyumbani kwake wazi wazi kama vile ana leseni.Pale kwake ni maarifu kama Kigamboni.

Vijana wote wa mtaani pamoja na wanafunzi wa chuo cha Uhasibu wameharibika Kwa kunywa gongo na kuvuta bangi bila kificho.

Cha ajabu viongozi wa serikali ya mtaa wapo lakini hawachukui hatua yoyote.Wananchi walishalalamika kwenye mikutano ya mtaa lakini wapi!!!

CHA KUSHANGAZA ZAIDI MME WAKE NA HUYU MAMA NI ASKARI POLISI,SUREEE!! Lakini bangi na gongo inauzwa kwake lakini yeye akitoka nyambani anaenda kukukamata vijana anauza mkaa na vitu vidogo vidogo.

Kuna kipindi alikatamatwa na polisi akatoka ndani ya nusu Saa.Aliporudi alikuja na speed mpya huku akidai hakuna mtu wa kumfanya kitu.

OCD okoa vijana wanaangamia.na huyo polisi ambaye bangi na gongo vinauziwa kwake,analizalilisha jeshi la polisi
ongeza Pato la Taifa kwa kumchangia hata tuglasi tuwili vya gongo kwanza kitu halisia hiyo kibo
 
Habari wana JamiiForums.

Kuna mama mmoja anaishi kaya ya MOSHONO mtaa wa MTONI,KARIBU na chuo Cha Uhasibu anauza gongo na bangi nyumbani kwake wazi wazi kama vile ana leseni.Pale kwake ni maarifu kama Kigamboni.

Vijana wote wa mtaani pamoja na wanafunzi wa chuo cha Uhasibu wameharibika Kwa kunywa gongo na kuvuta bangi bila kificho.

Cha ajabu viongozi wa serikali ya mtaa wapo lakini hawachukui hatua yoyote.Wananchi walishalalamika kwenye mikutano ya mtaa lakini wapi!!!

CHA KUSHANGAZA ZAIDI MME WAKE NA HUYU MAMA NI ASKARI POLISI,SUREEE!! Lakini bangi na gongo inauzwa kwake lakini yeye akitoka nyambani anaenda kukukamata vijana anauza mkaa na vitu vidogo vidogo.

Kuna kipindi alikatamatwa na polisi akatoka ndani ya nusu Saa.Aliporudi alikuja na speed mpya huku akidai hakuna mtu wa kumfanya kitu.

OCD okoa vijana wanaangamia.na huyo polisi ambaye bangi na gongo vinauziwa kwake,analizalilisha jeshi la polisi
Punguza Ny.ege!.... Unataka watu watu wapatie wapi stimu!...

Chimbo unakuta limetulia...kunguni moja kama wewe inayowashwa!... inawaharibia wana chimbo la kula vitu vyao!
 
Sio wivu mkuu.mbona kuna watu kibao wanafanya kazi halali sijawaongelea humu?
Vijana wakaharibika mabaya.mwaka jana wanafunzi watatu wa bachelor Uhasibu wali_disco Kwa kuendekeza hizo bangi na gongo
Wazazi nao wa play part yao, kuna wazazi ni wanywaji wa pombe lakini watoto wao hawanywi, embu mpenzi mama huyo mtaji abadilishwe biashara
 
Back
Top Bottom