DOKEZO Kuna Mama anauza gongo na bangi wazi kata ya Moshono mtaa wa Mtoni, karibu na chuo cha uhasibu Arusha. OCD Arusha Mjini tusaidie

DOKEZO Kuna Mama anauza gongo na bangi wazi kata ya Moshono mtaa wa Mtoni, karibu na chuo cha uhasibu Arusha. OCD Arusha Mjini tusaidie

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Cha muhimu hapo Gongo ifanywe rasmi, packaging iwe safi tuuze soko la nje, Russia na China zitakua masoko yetu ya kipekee sana
 
Charity starts at home.
Watoto wadogo wanauzia bangi na gongo wewe unataka kuona hili ni sawa.una matatizo wewe.au ni ndugu yake na. Huyo mama
Enhe, vikikomeshwa hapo kitaa, maeneo mengine nayo wataacha?

Nimesema mfumo wa sheria hiyo ufumuliwe na kutizamwa upya.
Unielewe nilichomaanisha, sinywi gongo na sitetei gongo.
 
Ikiwa watawala wanakwiba mali za umma.....matrafiki wanakula rushwa hadharani......na mama Abdul anagawa fedha kununua magoli badala ya kuboresha maisha ya walipa kodi......waache wananchi wajipambanie wenyewe......uadirifu unatakiwa uanze na watawala kama mfano......
Nakazia
 
Habari wana JamiiForums.

Kuna mama mmoja anaishi kaya ya MOSHONO mtaa wa MTONI,KARIBU na chuo Cha Uhasibu anauza gongo na bangi nyumbani kwake wazi wazi kama vile ana leseni.Pale kwake ni maarifu kama Kigamboni.

Vijana wote wa mtaani pamoja na wanafunzi wa chuo cha Uhasibu wameharibika Kwa kunywa gongo na kuvuta bangi bila kificho.

Cha ajabu viongozi wa serikali ya mtaa wapo lakini hawachukui hatua yoyote.Wananchi walishalalamika kwenye mikutano ya mtaa lakini wapi!!!

CHA KUSHANGAZA ZAIDI MME WAKE NA HUYU MAMA NI ASKARI POLISI,SUREEE!! Lakini bangi na gongo inauzwa kwake lakini yeye akitoka nyambani anaenda kukukamata vijana anauza mkaa na vitu vidogo vidogo.

Kuna kipindi alikatamatwa na polisi akatoka ndani ya nusu Saa.Aliporudi alikuja na speed mpya huku akidai hakuna mtu wa kumfanya kitu.

OCD okoa vijana wanaangamia.na huyo polisi ambaye bangi na gongo vinauziwa kwake,analizalilisha jeshi la polisi
Hakuna tofauti wa gongo na Spirit vijana wanakunywa Kwa kununua dukani ,na bangi imethibitika Haina madhara kama sigara ,Bora wavute hiyo
 
Sio wivu mkuu.mbona kuna watu kibao wanafanya kazi halali sijawaongelea humu?
Vijana wakaharibika mabaya.mwaka jana wanafunzi watatu wa bachelor Uhasibu wali_disco Kwa kuendekeza hizo bangi na gongo
Hivi unajua kuna wasomi wamesomeshwa Kwa wazazi wao kuuza gongo! Sasa hao waliosomeshwa kwa gongo wanatakiwa kurudi kuwasaidia ili waache kuuza gongo
 
Habari wana JamiiForums.

Kuna mama mmoja anaishi kaya ya MOSHONO mtaa wa MTONI,KARIBU na chuo Cha Uhasibu anauza gongo na bangi nyumbani kwake wazi wazi kama vile ana leseni.Pale kwake ni maarifu kama Kigamboni.

Vijana wote wa mtaani pamoja na wanafunzi wa chuo cha Uhasibu wameharibika Kwa kunywa gongo na kuvuta bangi bila kificho.

Cha ajabu viongozi wa serikali ya mtaa wapo lakini hawachukui hatua yoyote.Wananchi walishalalamika kwenye mikutano ya mtaa lakini wapi!!!

CHA KUSHANGAZA ZAIDI MME WAKE NA HUYU MAMA NI ASKARI POLISI,SUREEE!! Lakini bangi na gongo inauzwa kwake lakini yeye akitoka nyambani anaenda kukukamata vijana anauza mkaa na vitu vidogo vidogo.

Kuna kipindi alikatamatwa na polisi akatoka ndani ya nusu Saa.Aliporudi alikuja na speed mpya huku akidai hakuna mtu wa kumfanya kitu.

OCD okoa vijana wanaangamia.na huyo polisi ambaye bangi na gongo vinauziwa kwake,analizalilisha jeshi la polisi
Huyo Mama anapaswa kupewa hati, itoshe, tuzo za Ujasiriliamali.

Kafulila amsaidie huyu Mama ajenge kiwanda chake kidogo cha Wiskey.

KIpindi cha kuwatia umasikini Waafrika Ukome.

Gongo=Whiskey
Bangi=CBD

Vyote hivo hapo juu vinawaingizia Mabilioni ya $ wenzetu huko.

Mama huyo mjasirimali asaidiwe.

Nje ya Mada:Wewe mamako alikuwa anauza nini kukulisha, kukusomesha, kukuvika nguo??
 
Back
Top Bottom