DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Asiachane amnyooshe tuYani huyo demu, ana njaa sana ila anataka kujifanya anakuletea ujeuri wa kitoto kabisa.
Achana nae haraka sana mana hata kichwani inaonesha wazi kabisa ni patupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asiachane amnyooshe tuYani huyo demu, ana njaa sana ila anataka kujifanya anakuletea ujeuri wa kitoto kabisa.
Achana nae haraka sana mana hata kichwani inaonesha wazi kabisa ni patupu
Sasa kwani uwongo....wee ulionaga wapi mechi inaanza 1-0Wee jamaa akili zako bhana[emoji4]
Ajsee jamani sasa mbona mnawaonea masuperwoman wanapambana kusoma nyie mnasema degree ya chupi tena kha!Elimu zetu kina dada wanabebwa bebwa sana
Ndo Wazazi Hawa watoto wakichapwa fimbo 2 maandamano Hadi kwa RCAnasema hawez mpeleka kwa bib yake kwa maana ni mkali[emoji23][emoji23]
Kabisa daktari...umeongea pwenti tuuu yaniiDr Restart mi natofautiana na wewe.
1. Mtoto wa miaka 7 kujikojolea sio sahihi, unless ana tatizo la kiafya. Mimi nilimchapa wakwangu akiwa na 5 ama 6 kama siokosei....na aliacha immediately maana katabia kenyewe kaliibuka out of nowhere. Watoto wana tendency yakujaribu watu kwakufanya makosa kwa makusudi pale wanapoamini they'll get away with it. Kuna mtoto wa dada yangu (12 yrs old), huwa anakojoa kitandani, tena sometimes asubuhi kushakucha. Nimeshasafiri nae mara mbili, biti analopigwa kuhusu kujikojolea ugenini huwa lina matokeo chanya, which proves nyumbani huwa anafanya makusudi maana anaeishia kugombezwa ni dada wa kazi na sio yeye.
2. Kama nimeelewa sahihi Tuta Absoluta Kantangaze alikua na malengo na mpenzi wake, so jambo la kuruhusu/taka mtoto awe sehemu ya muda wao pamoja halina ubaya wowote. Ilikua vizuri ili watengeneze bond, lakini pia imemsaidia kujua huyo dada ni mama wa aina gani. Angekuja kugundua miaka miwili/mitatu baadae wameshaongeza wakwao ingekua mbaya zaidi.
3. Jamaa haonyeshi kutokumpenda mtoto, nnachoona ni kwamba analazimishwa kumkubali na tabia zake hata ambazo sio nzuri pamoja na aina ya malezi anayopewa. Kitu ambacho sio sahihi. If we are being honest, huyo mwanamke anaweza kuona kama anamsaidia mwanae kwakumuendekeza (sio kumpenda) ila anamuharibu.
All in all, the guy is right. Kupitia maongezi yao inaonekana kabisa he's done his best, ila single mother hana shukrani wala hataki hata ku-acknowledge juhudi za jamaa. Amuache akachoshane na mtu mwingine mbele ya safari.
Hayo ndo malezi Sasa tumelelewa na mababu zetu, Sio unalea litoto hata kubrash viatu haliweziMiaka 7 ni mwanangu wa pil huyo yuko darasa la 3 sasa. Anaamka saa 11 na Nusu asubuh kkla siku za shule. Anajiandaa na kumuandaa mdogo ake kwenda shule. Anajipikia ugali wake mwenyewe.
Huyu nafikir mi angeniona ni zaidi ya mnyanyasaji maana mtoto haend shule bila kufanya kaz zinazomuhus nyumbani.
Viboko pia vipo wakizingua.
Huyo single maza angenikimbia siku ya kwanza tuu maana huwa sivungi
JobTrueTrueNi jambo baya ila naweka pia na wengine wajifunze. Wakati mwingine usitake sana kumridhisha au kumfurahisha mwenzio. Usitake kuvumilia sana tabia ambazo unajua si sawa kwa kigezo cha mapenzi.
Huyu dada nilimkuta na mtoto nikamwambia haina shida nitamlea mtoto. Mumewe alifariki. Lakini kama ambavyo nliandika uzi jana. Sisemi single mothers wote wapo hivi ila huyu wangu ni kilaza. Nlimuamini sababu ana degree alimaliza CBE na ni dada mzuri wa sura , umbo na rangi. Nlidhani pia kwa kufiwa na kuwa na mtoto angekuwa matured. Bado ana upumbavu mwingi kichwani.
View attachment 2866044View attachment 2866046View attachment 2866048View attachment 2866049
Single mama hata aliyefiwa ni majanga matupu. Kuna mmoja nilimpata ila akawa ananiboa sana kumpost marehemu baba watoto wake na kuandika captions za kumkumbuka. Pia kumpost mwanae na kuandika mara "my bundle of joy" na captions zingine kama hizo. Mimi nilitoka nduki bila kutazama nyuma. SAY NO TO SINGLE MOTHERS.
Shida sana mkuu.. mimi kwakifupi na paste malez niliokulia mimi na madogo nawapitisha humo humo..modification chache chache tu..Hayo ndo malezi Sasa tumelelewa na mababu zetu, Sio unalea litoto hata kubrash viatu haliwezi
single mama ambae hajitambui ni mzigo sana,... 😀 😀 😀 unakuwa na mizigo miwili..yeye na mwanae[emoji23][emoji23][emoji23]ety depression
Ni ujinga tu mkuu na usomi uchwara ndio umetufikisha hapa... wanaposema elimu ya leo ni ya kipumbavu bas huna hata haja ya kuumiza kichwa kujua maana yake nini, tazama tu jinsi wasomi wanavyo behave hata kwenye mambo basic kabisaa kama malezi ndio utaona kwel tumepoteanaNdo Wazazi Hawa watoto wakichapwa fimbo 2 maandamano Hadi kwa RC
Mf: mamaJSijui ni kitu gani mkuu ila madem wazuri wengi hawana akili sijui kwanini!!
Unaweza kut hata ana masters ila ukij kua na mahusiano nae mpaka utajiuliz huyu hii masters kaipataje mbona mweupe hivi!!
Na hapo atakusumbua kinoma, wao hudhani kwa kua ni binti mzuri basi utapaparika kwa kila atachosema.
Bahati inakua kwake akipata kibabu chenye ukwasi maana haviulizagi na sio kijana mwenye malengo hamtafika mbali.
Usikute jamaa anapata 500k ila anaipangilia vyedi kenyewe kanaona kama jamaa anapata mamilioni.
Hata huyu hawezi kumuacha,wanawake wanaojilipuaga hivi Huwa mnawapenda sana...imagine anamwambia una roho mbaya halafu hapohapo anamwambia nipangie nyumba ya laki tatu🤣🤣🤣Ndio utajua hujuiMi nishakubaliana na ule msalaba wangu[emoji4]
Wanawake was hivi tunakutanaga nao Sana tu sema tunajiaminishaga watabadilikaDISGUSTING!
hakiii mi ningekuwa mwanaume hata sijui ka ningeweza date this kind of a woman!
Kuna namna tu mtu mwenye uwezo wa kufikiri na kupambanua mambo is sexy!
kinyume chake mtu anakuwa so flat, hata hanogi!
🤣🤣🤣🤣🤣Unaniachaga hoi sana na mama J wakoMf: mamaJ
Kichwani Ni empty set
Ha ha ha .....yaan uyu ke Ni pacha wake mamaJ kabisa, nafurah nmepata mwenzangu akaribie tuteseke[emoji3]Hata huyu hawezi kumuacha,wanawake wanaojilipuaga hivi Huwa mnawapenda sana...imagine anamwambia una roho mbaya halafu hapohapo anamwambia nipangie nyumba ya laki tatu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio utajua hujui
Kwanza mlishasema tuje tu bila akili, akili tutazikuta hukohuko 😁Wanawake was hivi tunakutanaga nao Sana tu sema tunajiaminishaga watabadilika
Uyu mwanamke nishamchukuliaga Kama psychopath [emoji4][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaniachaga hoi sana na mama J wako