Nimependa hiyo Haujambo ilivyokuja ghafla.🤣🤣🤣Narudia tena; Mimi baada ya kuandikiwa muandiko huu nikajifanya mpolee,falaa nikamdukua kwa mara ya mwisho kisha nikakaa kimyaa maana nishaambiwa mbaya sana🤔
View attachment 2866066
🤣🤣tatizo alikuwa anabwabwaja sana afu mimi sio mtu wa kupenda maugomvi.Nimependa hiyo Haujambo ilivyokuja ghafla.🤣🤣🤣
Ila wanawake kuna muda tunazingua sana!!!😬
Aende Palestine au awaulize wakinga wa makete walijileaje kipindi wazazi wao walipomalizwa na janga la ukimwi“Mtoto amepoteza baba analala peke yake?😂😂”
Kuna yatima wa miaka 5 huko duniani anakoroma kabisa anasema nini huyu😂😂
Kujikojolea sio jambo la hiari ni jukumu la mzazi kumuamsha mtoto hata mara tatu usiku akojoe na sio kumchapa kuna athiri saikolojia ya mtoto.Dr. Unakubaliana mtoto wa miaka Saba kujikojolea?mtoto kuacha kukojoa kitandani wengi kuanzia miaka 3 wenye akili shape ni 2.8....huyo dada analea vibaya mtoto uongo ni dhambi,
Fake muamala umtumie screenshot uone kama hajajibu fasta! 😁😁🤣🤣tatizo alikuwa anabwabwaja sana afu mimi sio mtu wa kupenda maugomvi.
Na mnazingua haswa, mtu unqjitoa unampeenda lakini bado atakuona mbaya kwa kuwa mkweli tuu
Ila mpaka leo hajaniblock lakin msg hajibu
Naunga mkono, well said DrDr Restart mi natofautiana na wewe.
1. Mtoto wa miaka 7 kujikojolea sio sahihi, unless ana tatizo la kiafya. Mimi nilimchapa wakwangu akiwa na 5 ama 6 kama siokosei....na aliacha immediately maana katabia kenyewe kaliibuka out of nowhere. Watoto wana tendency yakujaribu watu kwakufanya makosa kwa makusudi pale wanapoamini they'll get away with it. Kuna mtoto wa dada yangu (12 yrs old), huwa anakojoa kitandani, tena sometimes asubuhi kushakucha. Nimeshasafiri nae mara mbili, biti analopigwa kuhusu kujikojolea ugenini huwa lina matokeo chanya, which proves nyumbani huwa anafanya makusudi maana anaeishia kugombezwa ni dada wa kazi na sio yeye.
2. Kama nimeelewa sahihi Tuta Absoluta Kantangaze alikua na malengo na mpenzi wake, so jambo la kuruhusu/taka mtoto awe sehemu ya muda wao pamoja halina ubaya wowote. Ilikua vizuri ili watengeneze bond, lakini pia imemsaidia kujua huyo dada ni mama wa aina gani. Angekuja kugundua miaka miwili/mitatu baadae wameshaongeza wakwao ingekua mbaya zaidi.
3. Jamaa haonyeshi kutokumpenda mtoto, nnachoona ni kwamba analazimishwa kumkubali na tabia zake hata ambazo sio nzuri pamoja na aina ya malezi anayopewa. Kitu ambacho sio sahihi. If we are being honest, huyo mwanamke anaweza kuona kama anamsaidia mwanae kwakumuendekeza (sio kumpenda) ila anamuharibu.
All in all, the guy is right. Kupitia maongezi yao inaonekana kabisa he's done his best, ila single mother hana shukrani wala hataki hata ku-acknowledge juhudi za jamaa. Amuache akachoshane na mtu mwingine mbele ya safari.
Wee dr hawa watu tulishatoaga ushauri kuwa hamnaga mechi inaanza 1-0 sasa kama wao wanajiona ni wajanja wacha waendelee na ujinga wao
Milio ya nini tena?ndio maana tunasema watoto huharibikia mikononi mwa mama zao.
ona huyu hataki mwanaye achapwe na alale peke yake miaka 7😃😃😃.
anaamini kabisa kwamba mtoto wa miaka 7 atasikia milio ya paa paa,halafu asijue kinachoendelea😆😆😆
Kisungura au mizaha yako ya kila siku ?Kumbe dr wee ni single maza....aisee basi utakuwa mtamu....@national anthem anafaidi
🤣🤣🤣Sema nataka kumuudhi baba J anavyompenda kipenzi chakeUnataka kugombanisha watu😅😅
Kwani kiba100 hakisababishi milio😁😁😁😜😜😜?Milio ya nini tena?
😂😂Ndugu yangu waonee huruma wenzio wakija kuwaka apo moto wake kuuzima ni gharama🤣🤣🤣Sema nataka kumuudhi baba J anavyompenda kipenzi chake