dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabuli limefukuliwa,dogo ameliwa tigoNahitaji Masada
Habari za humu...Mimi ni kijana wa kiume umri wangu ni miaka 24 ni mwanafunzi katika moja ya vyuo vikuu hapa Dar es Salaam....Dhumuni la kuja humu ni kuhusu hali yangu kimapenzi ambapo inanitia hofu sana...kiasi kwamba nahitaji msaada wenu najua humu kuna watu wengi na ushauri tofauti.Shida...www.jamiiforums.com
Uzi wake ume wekwa hapa, una sema havutiwi na Wana wake😂🤣darasa moja na toplemon kumbe ?
akamilizia anavutiwa na MEUzi wake ume wekwa hapa, una sema havutiwi na Wana wake😂🤣
Kazi kwenu kizazi cha nyokaKabuli limefukuliwa,dogo ameliwa tigo
Huku ni kuchoranaHabarini za humu wadau,mimi ni kijana naishi hapa jijini dar,nina kazi na ninaishi katika harakati zangu za kila siku.Sasa kuna mambo ya ujana nilikuwa nafanya sasa hivi yananifikirisha sana,ninawaza sana sina amani nakuwa mnyonge pia
sasa,Hakuna mambo ya ki afya, ana Uzi ana sema havutiwi na Wana wake
Wapi sehemu sahihi,nahisi sina mtu sahihi wa kuongea nae na kumwambia yanayonisibuHuku ni kuchorana
Sometimes ndo maana watu wanawaza mambo mabaya sanaUsijihukumu maisha yanaendelea
aise...We Godwin peter huu Uzi unao sema huvutuwi na Wanawake vipi tena??
Nachozungumzia ni kwamba thread yako haijakamilika, unahitaji msaada wa kimawazo lakini hujazungumza kinachokusumbua inakuwa ngumu ata mtu aanzie wapiWapi sehemu sahihi,nahisi sina mtu sahihi wa kuongea nae na kumwambia yanayonisibu
Tumia kutokuwa na amani kama fursa ya kufanya meditationHabarini za humu wadau,mimi ni kijana naishi hapa jijini dar,nina kazi na ninaishi katika harakati zangu za kila siku.Sasa kuna mambo ya ujana nilikuwa nafanya sasa hivi yananifikirisha sana,ninawaza sana sina amani nakuwa mnyonge pia
Bahati Mbaya sana tumeshapoteza Mwanaume mwingine..huyu jamaa na vithread vyake anatangaza na ku promote ushenzi sio kwamba anataka ushuauriNahitaji Masada
Habari za humu...Mimi ni kijana wa kiume umri wangu ni miaka 24 ni mwanafunzi katika moja ya vyuo vikuu hapa Dar es Salaam....Dhumuni la kuja humu ni kuhusu hali yangu kimapenzi ambapo inanitia hofu sana...kiasi kwamba nahitaji msaada wenu najua humu kuna watu wengi na ushauri tofauti.Shida...www.jamiiforums.com