Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,289
- 9,748
Pole mdogo wangu uje PM uungame na mimi sitakutangaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa mchokozi😁😁Nahitaji Masada
Habari za humu...Mimi ni kijana wa kiume umri wangu ni miaka 24 ni mwanafunzi katika moja ya vyuo vikuu hapa Dar es Salaam....Dhumuni la kuja humu ni kuhusu hali yangu kimapenzi ambapo inanitia hofu sana...kiasi kwamba nahitaji msaada wenu najua humu kuna watu wengi na ushauri tofauti.Shida...www.jamiiforums.com
Umenikumbusha tuliwai iba divai na rafiki yangu tukiwa seminariMi niliwahi kuiba spika za kanisani siku nilivyoenda kutubu hawakunisamehe waliniitia polisi kwahiyo mkuu komaa hivyo hivyo usiseme ulifanya nini.
Huyo Boya ungemkataaUmenikumbusha tuliwai iba divai na rafiki yangu tukiwa seminari
After one year jamaa yangu si akaenda kuungama kwamba mimi na yeye (sisi) ndio tuliiba mvinyo last year
Saa ngapi wasitutimue on spot japo ilikua kwenye kitubio 😂
hii itakua ni punyeto tu mkuuNaogopa hata kusema hapa, yananitesa sana
Nyeto sio tatizo kabisa, huyu ni hajijui kama ni upinde au mshale.hii itakua ni punyeto tu mkuu
Wamempalamia huyosema matatizo yako
Nilijua Tu 😂 hii 👆 comments ya kugawa tigo itakuwepoUlikuwa unagawa tigo au ulikuwa unafanya ujambazi?
MasikiniiNahitaji Masada
Habari za humu...Mimi ni kijana wa kiume umri wangu ni miaka 24 ni mwanafunzi katika moja ya vyuo vikuu hapa Dar es Salaam....Dhumuni la kuja humu ni kuhusu hali yangu kimapenzi ambapo inanitia hofu sana...kiasi kwamba nahitaji msaada wenu najua humu kuna watu wengi na ushauri tofauti.Shida...www.jamiiforums.com
Eleza details ili usaidiwe, sasa unaongea kwa mafumbo na kutuchosa sisi kuanza kukuuliza uliza nini kilikupata na kutuzungusha ya kazi gani hiyo?Habarini za humu wadau,mimi ni kijana naishi hapa jijini Dar, nina kazi na ninaishi katika harakati zangu za kila siku.
Sasa kuna mambo ya ujana nilikuwa nafanya sasa hivi yananifikirisha sana, ninawaza sana sina amani nakuwa mnyonge pia
Bado kidogo, tuite rescue team sojaOne man down
Nyie munawaza mavi Tu 😂Wamempalamia huyo
Shemeji kauza kanzu😀😂Masikinii
Ulikuwa unatatuliwa marinda?Habarini za humu wadau,mimi ni kijana naishi hapa jijini Dar, nina kazi na ninaishi katika harakati zangu za kila siku.
Sasa kuna mambo ya ujana nilikuwa nafanya sasa hivi yananifikirisha sana, ninawaza sana sina amani nakuwa mnyonge pia
Nenda kasukumeUjasiri wa kuchat naye mnautoa wapi? Mwenzenu anataka vitendo,,,
Kumuuliza ni kama mnachelewa kumkata kiu,. Anataka msukumio wa chapati
2019 ulikua na miaka 24 afu 2024 una 32Umri wangu sasa hivi ni miaka 32.
Kawaachia mbususu zote hiziShemeji kauza kanzu😀😂