Kuna mambo nilikuwa nafanya wakati wa ujana yananitesa

Kuna mambo nilikuwa nafanya wakati wa ujana yananitesa

Mzee umefukua kaburi pazuri sana
 
Muhimu umeshajua ulikua unafanya kosa,
Usijali iwe ulitoa uhai wa mtu au uliingiliwa nyuma.

Kama mama yupo hai mfate umueleze hilo tqtizo lako, Usiogope! yeye ndo mtu anayeweza kukusaidia bila kukusimanga

Kama unaogopa kumwambia ana kwa ana basi mpigie hata siku.

Usijisikie vibaya wala kuishi kwa wasiwasi kukosea kupo. Mama ako ndo mtu unayeweza kumpa siri na akaibeba bila kumwambia yeyote.

Humu tutakuvunja tu moyo!
 
🤣🤣🤣🤣 Angalia thread ya 2019 utaambulia jambo flan huyu ni subscriber wa cocastic
Nimeiona jamaa wanamsugua kitambo kidogo sasa anatafuta namna ya kutoka ukuni sio mchezo..
Yeye aende hospital wayanyonye/wayavute hayo madude yatoke la sivyo yataendelea kumuwasha na Tiba pekee ni ukuni tu kwaiyo atakua mtumwa tu wa ukuni mpaka mwisho.
 
Muhimu umeshajua ulikua unafanya kosa,
Usijali iwe ulitoa uhai wa mtu au uliingiliwa nyuma.

Kama mama yupo hai mfate umueleze hilo tqtizo lako, Usiogope! yeye ndo mtu anayeweza kukusaidia bila kukusimanga

Kama unaogopa kumwambia ana kwa ana basi mpigie hata siku.

Usijisikie vibaya wala kuishi kwa wasiwasi kukosea kupo. Mama ako ndo mtu unayeweza kumpa siri na akaibeba bila kumwambia yeyote.

Humu tutakuvunja tu moyo!
Mkuu LIKUD nimekubaliana na wewe kwamba watoto wa kike hawa tuzae tu ila tuhesabu maumivu.

Hiv tofaut ya mama na baba linapokuja kwenye suala la affairs za mtoto wao wa kumzaa ni nini? Kwamba akina baba hawawapendi kabisa watoto wao si ndio ephen_ ?
 
Tafuta mafundisho yoyote ya mtumishi wa Mungu unayemuamini then sikiliza, yanaweza kukusaidia kukutoa kwenye hiko kifungo na kujihukumu. Kama huna unayemjua, I recommend pastor Tony Kapola.
 
Mkuu LIKUD nimekubaliana na wewe kwamba watoto wa kike hawa tuzae tu ila tuhesabu maumivu.

Hiv tofaut ya mama na baba linapokuja kwenye suala la affairs za mtoto wao wa kumzaa ni nini? Kwamba akina baba hawawapendi kabisa watoto wao si ndio ephen_ ?
Wanaume ni watu wema! Mpo tayari kueka mahitaji yenu nyuma na kutanguliza ya watoto na wenza wenu. Hata kulala njaa ili watoto wenu wapate chakula pia mpo tayari.

Tofauti yenu na mama ni kwamba nyie mnapenda mazuri ya mtoto tu lakini mapungufu hamuwezi kuyavumilia mpaka mwisho.
Watoto na mapungufu yetu mama zetu wanatupenda hivyohivyo ila nyie mna tabia za kususa watoto wanaoenda kinyume na nyie.
 
Wanaume ni watu wema! Mpo tayari kueka mahitaji yenu nyuma na kutanguliza ya watoto na wenza wenu. Hata kulala njaa ili watoto wenu wapate chakula pia mpo tayari.

Tofauti yenu na mama ni kwamba nyie mnapenda mazuri ya mtoto tu lakini mapungufu hamuwezi kuyavumilia mpaka mwisho.
Watoto na mapungufu yetu mama zetu wanatupenda hivyohivyo ila nyie mna tabia za kususa watoto wanaoenda kinyume na nyie.
Ni kwel ephen_ hapa nimekuelewa. Ni sahihi kabisaa inabid tubadilike.
 
Habarini za humu wadau,mimi ni kijana naishi hapa jijini Dar, nina kazi na ninaishi katika harakati zangu za kila siku.

Sasa kuna mambo ya ujana nilikuwa nafanya sasa hivi yananifikirisha sana, ninawaza sana sina amani nakuwa mnyonge pia
Ulikuwa unalika vipi?
 
Back
Top Bottom