Kuna mambo nilikuwa nafanya wakati wa ujana yananitesa

Kuna mambo nilikuwa nafanya wakati wa ujana yananitesa

Na kwanza unaweza kuta ndio coca mwenyewe. Ushoga /usagaji haunaga raha hata siku 1. We ishia tu kuwaona wanajifanya kufurahi na kujikubali kwamba they are happy , walaaaah!! Rhey are so guilty deep in their souls, wana majuto makali sanaa na hawa akina cocastic , Dr. Mariposa ,Culture Me , toplemon and rest of the company. Wanajiona kabisa vile hawana thamani , wanatia sana huruma ndio maana hawa hapa sasa Godwin peter wana express how torturous the thing is
Ukishatoroka nature bn ni ngumu sana kua na amani humu wanatafuta faraja tu
 
Na kwanza unaweza kuta ndio coca mwenyewe. Ushoga /usagaji haunaga raha hata siku 1. We ishia tu kuwaona wanajifanya kufurahi na kujikubali kwamba they are happy , walaaaah!! Rhey are so guilty deep in their souls, wana majuto makali sanaa na hawa akina cocastic , Dr. Mariposa ,Culture Me , toplemon and rest of the company. Wanajiona kabisa vile hawana thamani , wanatia sana huruma ndio maana hawa hapa sasa Godwin peter wana express how torturous the thing is
Wala hata. Si wamejikubali wenyewe?

Huyu jamaa sidhani kama ni shoga, huyu ana mashaka kuhusu jinsia yake, hajui aegemee wapi

Pale kwenye LGBTQ yupo kwenye 'Q' queer/questioning

AU ana issue nyingine labda alipigwa tukio zito akapoteza network kabisa, mambo ni mengi

Sasa sijui hapo anasaidiwa vipi, aende kwa psychologist
 
Habarini za humu wadau,mimi ni kijana naishi hapa jijini Dar, nina kazi na ninaishi katika harakati zangu za kila siku.

Sasa kuna mambo ya ujana nilikuwa nafanya sasa hivi yananifikirisha sana, ninawaza sana sina amani nakuwa mnyonge pia
Sasa ndo umeandika nini hatujui nini kinakutesa tukushauri .....BASI ENDELEA TU KUTESEKA HADI UFE
 
Nilijua sie wanawake ndo tunaongoza kwa roho mbaya na chafu,kumbe hata wanaume?Hivi fikiria huyu angekua nduguyo mngempa maneno makali namna hii?
Kijana pole sana nenda kanisani kaombe toba ya kumaanisha Mungu ni wakwetu sote atakurehemu na kukupa amani mara dufu.Achana na hawa binadam watakatifu wa jf.
Kwa msaada zaidi karibu PM.
 
Back
Top Bottom