ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Kumbe ulikuwa mlenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eeeee Mungu yuko wapi mwanamke wa aina hii aje awe tulizo na faraja maishani mwangu ?Nilijua sie wanawake ndo tunaongoza kwa roho mbaya na chafu,kumbe hata wanaume?Hivi fikiria huyu angekua nduguyo mngempa maneno makali namna hii?
Kijana pole sana nenda kanisani kaombe toba ya kumaanisha Mungu ni wakwetu sote atakurehemu na kukupa amani mara dufu.Achana na hawa binadam watakatifu wa jf.
Kwa msaada zaidi karibu PM.
Sa si unge kausha tu??Naogopa hata kusema hapa, yananitesa sana
Dah sheikh umepiga kwenye mshonoNahitaji Masada
Habari za humu...Mimi ni kijana wa kiume umri wangu ni miaka 24 ni mwanafunzi katika moja ya vyuo vikuu hapa Dar es Salaam....Dhumuni la kuja humu ni kuhusu hali yangu kimapenzi ambapo inanitia hofu sana...kiasi kwamba nahitaji msaada wenu najua humu kuna watu wengi na ushauri tofauti.Shida...www.jamiiforums.com
Kwanza,napenda kuwashukuru wote ambao wamekuwa tayari kunipa msaada no matter what nimekumbana nacho.
Pia kwa wale ambao mnanikejeli asanteni pia,lakini tambua mna watoto pia kama mimi nilivyo mtoto wa mwanaume au mwanamke mwenzio hujui pia anapitia condition ipi.
Mtu akininiona hivi tu hawez jua kwamba ninashida kubwa katika akili na moyo wangu ila tu ndo hivyo.I know hadi nipo hapa for a reason,sijapenda nipitie situation kama hii ila tu ni Mungu karuhusu itokee because i know he has a purpose with me.Nitajitahidi kwa uwezo wangu kwa kumshirikisha Mungu zaidi anisaidie katika hili,nikishindwa basi but i know nimelia kwake na kumuomba sana.
Nilichogundua binadamu hawez kukusaidia bali kukusimanga na kukubeza ila wanasahau no body wanted to be in such situation. Have a nice life
Mi nakuelewa sana ... I wish nikujue zaidiBado kidogo tu mkuu,nikishasema ndiyo bas imeenda hiyo mkuu
Haya yote umeyataka wewe ungefunguka kinachokusibu watu wasingehangaika kutafuta makaburi ya kufukua, kama husemi tatizo lako watu watakushauri nini? Kama ni kitu cha aibu huwezi kumueleza mtu endelea kulia na Mungu wako hakika atakusaidia, have a nice life too bro.Kwanza,napenda kuwashukuru wote ambao wamekuwa tayari kunipa msaada no matter what nimekumbana nacho.
Pia kwa wale ambao mnanikejeli asanteni pia,lakini tambua mna watoto pia kama mimi nilivyo mtoto wa mwanaume au mwanamke mwenzio hujui pia anapitia condition ipi.
Mtu akininiona hivi tu hawez jua kwamba ninashida kubwa katika akili na moyo wangu ila tu ndo hivyo.I know hadi nipo hapa for a reason,sijapenda nipitie situation kama hii ila tu ni Mungu karuhusu itokee because i know he has a purpose with me.Nitajitahidi kwa uwezo wangu kwa kumshirikisha Mungu zaidi anisaidie katika hili,nikishindwa basi but i know nimelia kwake na kumuomba sana.
Nilichogundua binadamu hawez kukusaidia bali kukusimanga na kukubeza ila wanasahau no body wanted to be in such situation. Have a nice life
Mkuu sikukejeli ila punguza kutafuta huruma kwa watu kumbuka hakuna haki bila wajibu, ujaeleza shida zako unakaa unalalamika na kulaani tu kama we ni Mungu. Kama hukujipanga kuyaweka bayana ili upate ushauri usingekuja na uzi. Pole kwa unayopitia.Kwanza,napenda kuwashukuru wote ambao wamekuwa tayari kunipa msaada no matter what nimekumbana nacho.
Pia kwa wale ambao mnanikejeli asanteni pia,lakini tambua mna watoto pia kama mimi nilivyo mtoto wa mwanaume au mwanamke mwenzio hujui pia anapitia condition ipi.
Mtu akininiona hivi tu hawez jua kwamba ninashida kubwa katika akili na moyo wangu ila tu ndo hivyo.I know hadi nipo hapa for a reason,sijapenda nipitie situation kama hii ila tu ni Mungu karuhusu itokee because i know he has a purpose with me.Nitajitahidi kwa uwezo wangu kwa kumshirikisha Mungu zaidi anisaidie katika hili,nikishindwa basi but i know nimelia kwake na kumuomba sana.
Nilichogundua binadamu hawez kukusaidia bali kukusimanga na kukubeza ila wanasahau no body wanted to be in such situation. Have a nice life
Sasa kama sijaeleza shida yangu kwanini mtu uje na mambo yasiyokuwepoMkuu sikukejeli ila punguza kutafuta huruma kwa watu kumbuka hakuna haki bila wajibu, ujaeleza shida zako unakaa unalalamika na kulaani tu kama we ni Mungu. Kama hukujipanga kuyaweka bayana ili upate ushauri usingekuja na uzi. Pole kwa unayopitia.
Sasa kuna mambo ya ujana nilikuwa nafanya sasa hivi yananifikirisha sana, ninawaza sana sina amani nakuwa mnyonge pia.
Watu washafukua kaburi....kuna possibility kubwa sana alitoa "zuchu" ila sasa anajutia na hapendiKama hauwezi kuandika uzi bora uwe msomaji tu...
Sasa unaandika kitu ambacho hakipo kamili na unaita uzi...
Tafuta wimbo wa dsimond ....unasema kugongewa ni siri ya ndani ....kama ulipigwa miti we kausha tu ...maana icho ndiyo kitu pekee kinacho weza kumsumbua mtu ukubwani kama ulifanyiwa tena uliofanyanao wapo hai ni hadi wakifa wote ndiyo utakuwa huruHabarini za humu wadau,
Mimi ni kijana naishi hapa jijini Dar, nina kazi na ninaishi katika harakati zangu za kila siku.
Sasa kuna mambo ya ujana nilikuwa nafanya sasa hivi yananifikirisha sana, ninawaza sana sina amani nakuwa mnyonge pia.
Watu washafukua kaburi....kuna possibility kubwa sana alitoa "zuchu" ila sasa anajutia na hapendi
Itakuwa ni mambo ya sodoma na gomoraSasa Mkuu, hayo mambo yako ya ujana umeshindwa kutueleza sisi tutakusaidiaje?
Ulifanya nini ujanani?
Mimi nimejua tayari kwa sababu majiniusi tupo very active [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] hao jamaa watakapo kufa uliofanya nao utajisikia free ni swala la muda tu.Naogopa hata kusema hapa, yananitesa sana