Kuna mambo nilikuwa nafanya wakati wa ujana yananitesa

Kuna mambo nilikuwa nafanya wakati wa ujana yananitesa

Muhimu umeshajua ulikua unafanya kosa,
Usijali iwe ulitoa uhai wa mtu au uliingiliwa nyuma.

Kama mama yupo hai mfate umueleze hilo tqtizo lako, Usiogope! yeye ndo mtu anayeweza kukusaidia bila kukusimanga

Kama unaogopa kumwambia ana kwa ana basi mpigie hata siku.

Usijisikie vibaya wala kuishi kwa wasiwasi kukosea kupo. Mama ako ndo mtu unayeweza kumpa siri na akaibeba bila kumwambia yeyote.

Humu tutakuvunja tu moyo!
Hapana asimwambie Mama yake. Anaweza kufa kihoro. Aseme humu humu tu!
 
Umri wangu sasa hivi ni miaka 32.
Kwa sasa una miaka 29.

I hope umepitia hali fulani ya kutamani wanaume wenzio na huwenda hali hiyo ilikupelekea kufanya jambo baya.

Kama unajuta ni jambo zuri na ni hatua njema ya mabadiliko unatakiwa kumove on wewe ni mwanaume mwenzetu.

Kuua
Ushoga.
Kudhulumu hizo ndio dhambi ambazo huwa zinawatia watendaji simanzi lakini still zinafutika na maisha mengine yanaweza kuendelea vizuri.
 
Ngoja nisome pages zote...

Kumne kuna raia katoa uwemba...

Watu sio wazuri
 

Watu sio wazuri

Kwisha habari yake..
 
Kwanza,napenda kuwashukuru wote ambao wamekuwa tayari kunipa msaada no matter what nimekumbana nacho.
Pia kwa wale ambao mnanikejeli asanteni pia,lakini tambua mna watoto pia kama mimi nilivyo mtoto wa mwanaume au mwanamke mwenzio hujui pia anapitia condition ipi.
Mtu akininiona hivi tu hawez jua kwamba ninashida kubwa katika akili na moyo wangu ila tu ndo hivyo.I know hadi nipo hapa for a reason,sijapenda nipitie situation kama hii ila tu ni Mungu karuhusu itokee because i know he has a purpose with me.Nitajitahidi kwa uwezo wangu kwa kumshirikisha Mungu zaidi anisaidie katika hili,nikishindwa basi but i know nimelia kwake na kumuomba sana.
Nilichogundua binadamu hawez kukusaidia bali kukusimanga na kukubeza ila wanasahau no body wanted to be in such situation. Have a nice life
Mkuu ni kitu Gani kinakusibu kiongozi mpaka unatamka hivi, humu hatujuani piga moyo unaweza kumtafuta ata kiongozi wako wa kanisa kama roman unaweza kumuona Padri au paroko mkuu ni hayo tu yote ni maisha, pole sana kama una changamoto unayopitia MWENYEZI MUNGU ATASAIDIA
 
Kwanza,napenda kuwashukuru wote ambao wamekuwa tayari kunipa msaada no matter what nimekumbana nacho.
Pia kwa wale ambao mnanikejeli asanteni pia,lakini tambua mna watoto pia kama mimi nilivyo mtoto wa mwanaume au mwanamke mwenzio hujui pia anapitia condition ipi.
Mtu akininiona hivi tu hawez jua kwamba ninashida kubwa katika akili na moyo wangu ila tu ndo hivyo.I know hadi nipo hapa for a reason,sijapenda nipitie situation kama hii ila tu ni Mungu karuhusu itokee because i know he has a purpose with me.Nitajitahidi kwa uwezo wangu kwa kumshirikisha Mungu zaidi anisaidie katika hili,nikishindwa basi but i know nimelia kwake na kumuomba sana.
Nilichogundua binadamu hawez kukusaidia bali kukusimanga na kukubeza ila wanasahau no body wanted to be in such situation. Have a nice life
Dalili Za Kutaka Kujiua. Huyu awahiwe.
 
Hawa wanafanya research za mapenzi JF hakuna la maana...ukute upinde na bhangi shisha asituchoshe....tufikirie mambo makubwa ya nchi....aendelee kupiga puri na wajinga wenzie
 
Hongera Sana ndugu,ukiendelea kuteseka itakuwa Safi.
Umetueleza ili tujue unateseka,komaa hivohivo.
Yakizidi jinyonge kabisa ukiona yafaa.Sijatoa ushauri bali nionavyo mm kwamba yakufaa
 
Mkuu ulikuwa unafumuliwa rinda au?

Sis mbona tumeshafanya mambo ya kifala gala Sana na this time tupo famalia and we don't regret it

No matter how u feel wather you Lough or cry life must goes on
 
Back
Top Bottom