Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Basi uendelee kujionea matunda yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuepusha hilo eleza shida yako vinginevyo watafukua makaburi na kila mtu atakuja na lake mwisho wa siku unazidi changanyikiwa badala ya kusaidika.Sasa kama sijaeleza shida yangu kwanini mtu uje na mambo yasiyokuwepo
Lile kaburi lililofukuliwa ndio limemnyima nguvu yakuelezea kinachomsibu.Kuepusha hilo eleza shida yako vinginevyo watafukua makaburi na kila mtu atakuja na lake mwisho wa siku unazidi changanyikiwa badala ya kusaidika.
Aweke mambo wazi kwani kuna anaemjua humu?Lile kaburi lililofukuliwa ndio limemnyima nguvu yakuelezea kinachomsibu.
Inawezekana hana lengo la kuhitaji msaada.Aweke mambo wazi kwani kuna anaemjua humu?
Inawezekana ni hivyo maana sijaona ulazima wa kuleta bandiko nusu nusu.Inawezekana hana lengo la kuhitaji msaada.
Binafsi nimeshangaa sana, ni jambo gani hilo kubwa mpaka ashindwe kulisema kwa id feki??Huwezi jikubali kwa kupingana na nature. Never! Sema kwa nje wanajidanganya.
Ukitaka kujua hawajikubali na wapo kwenye mateso makali. Asilimia 90% hutumia madawa au pombe kama sehemu ya kudhibiti hisia mbaya na kujifariji.
Kwa mwanaume jambo kubwa ambalo atashindwa na kuogopa kulisema ni hilo wadau wanalolihisi.
Sasa mtu anatumia ID fake, Hakuna anayemjua nini kinamshinda kusema anachokabiliwa nacho?
Kama ni mambo uliyoyafanya mwenyewe kwa utashi wako usimsingizie Mungu, kama ni mambo ya kuhusu hisia basi Mungu muweke kando maana hahusiki.Kwanza,napenda kuwashukuru wote ambao wamekuwa tayari kunipa msaada no matter what nimekumbana nacho.
Pia kwa wale ambao mnanikejeli asanteni pia,lakini tambua mna watoto pia kama mimi nilivyo mtoto wa mwanaume au mwanamke mwenzio hujui pia anapitia condition ipi.
Mtu akininiona hivi tu hawez jua kwamba ninashida kubwa katika akili na moyo wangu ila tu ndo hivyo.I know hadi nipo hapa for a reason,sijapenda nipitie situation kama hii ila tu ni Mungu karuhusu itokee because i know he has a purpose with me.Nitajitahidi kwa uwezo wangu kwa kumshirikisha Mungu zaidi anisaidie katika hili,nikishindwa basi but i know nimelia kwake na kumuomba sana.
Nilichogundua binadamu hawez kukusaidia bali kukusimanga na kukubeza ila wanasahau no body wanted to be in such situation. Have a nice life
[emoji1787]Ulipanga mwaka huu upate hela hadi uchanganyikiwe, sasa umeshachanganyikiwa bado hela sasa.
2019 wakati ukisema unapenda wanaume wenzio ulikuwa na miaka 24 leo hii 32!Umri wangu sasa hivi ni miaka 32.
mbona kaburi limefukuliwa design ni mgawa samvu.Mi niliwahi kuiba spika za kanisani siku nilivyoenda kutubu hawakunisamehe waliniitia polisi kwahiyo mkuu komaa hivyo hivyo usiseme ulifanya nini.
Abaki na shida zakeAnataka tutabiri labda
Kama haukuwa tayari kuyataja ni bora ungeendelea kutunza siri yako. Hapa hakuna ulichofanya na huwezi kupata msaada wowote!!Naogopa hata kusema hapa, yananitesa sana
Alikuwa mfiraji huyoSasa Mkuu, hayo mambo yako ya ujana umeshindwa kutueleza sisi tutakusaidiaje?
Ulifanya nini ujanani?
Hapo kwenye kugawa hazina yake uko sahihiUlikuwa unagawa tigo au ulikuwa unafanya ujambazi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787]Mi niliwahi kuiba spika za kanisani siku nilivyoenda kutubu hawakunisamehe waliniitia polisi kwahiyo mkuu komaa hivyo hivyo usiseme ulifanya nini.