Kuna mambo nilikuwa nafanya wakati wa ujana yananitesa

Kuna mambo nilikuwa nafanya wakati wa ujana yananitesa

Habarini za humu wadau,mimi ni kijana naishi hapa jijini Dar, nina kazi na ninaishi katika harakati zangu za kila siku.

Sasa kuna mambo ya ujana nilikuwa nafanya sasa hivi yananifikirisha sana, ninawaza sana sina amani nakuwa mnyonge pia
Vipimo vya Daktari vimethibitisha sehemu ya nyuma iko wazi[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hapana..Kwangu mimi ni sawa sawaaa. Nafikiri tulilelewa vizuri. Sionagi tofaut ya baba na mama japo taarifa ngumu zinazotakiwa kufika kwa mzee mpaka leo nazipitishia kwa maza ila kuhusu kuwajali, hakuna upendeleo
Hata mimi nawapenda sawa! Ila taarifa nzuri nampa baba cz ndo anazopenda kusikia, zenye ukakasi mama
 
🤣🤣🤣🤣 Angalia thread ya 2019 utaambulia jambo flan huyu ni subscriber wa cocastic
Na kwanza unaweza kuta ndio coca mwenyewe. Ushoga /usagaji haunaga raha hata siku 1. We ishia tu kuwaona wanajifanya kufurahi na kujikubali kwamba they are happy , walaaaah!! Rhey are so guilty deep in their souls, wana majuto makali sanaa na hawa akina cocastic , Dr. Mariposa ,Culture Me , toplemon and rest of the company. Wanajiona kabisa vile hawana thamani , wanatia sana huruma ndio maana hawa hapa sasa Godwin peter wana express how torturous the thing is
 
Habarini za humu wadau,mimi ni kijana naishi hapa jijini Dar, nina kazi na ninaishi katika harakati zangu za kila siku.

Sasa kuna mambo ya ujana nilikuwa nafanya sasa hivi yananifikirisha sana, ninawaza sana sina amani nakuwa mnyonge pia
Sasa hapa ndo umeeleza nin kiongozi au ulikuwa hujamalizia ikajipost kwa bahati mbaya?
 
Na kwanza unaweza kuta ndio coca mwenyewe. Ushoga /usagaji haunaga raha hata siku 1. We ishia tu kuwaona wanajifanya kufurahi na kujikubali kwamba they are happy , walaaaah!! Rhey are so guilty deep in their souls, wana majuto makali sanaa na hawa akina cocastic , Dr. Mariposa ,Culture Me , toplemon and rest of the company. Wanajiona kabisa vile hawana thamani , wanatia sana huruma ndio maana hawa hapa sasa Godwin peter wana express how torturous the thing is
Nimegundua wewe ni shabiki wangu namba moja, usiponiona huna raha, sasa ni hiviiii weka akaunti namba nikuingizie japo ka laki kakusukume siku mbili tatu family yako ikushukuru, lol

I mean it tho
 
Back
Top Bottom