Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

Kuna mambo ukifanya watu hawafikirii mara mbili kujichukulia sheria mkononi

You are missing the point mtibeli.

Ninakubali kuwa umefanyiwa uonevu, je ni nani aliekufanyia huo uonevu?

Ni mimi nilielala na mkeo au ni huyo mkeo alieshindwa kukuheshimu na kutambua umuhimu wako?

Mkeo nimekutana nae Sumbawanga, amesema hana mume, kwa nini nisimkamue?

Mimi kosa langu ni lipi?

Umekutana na Mwanamke àmbaye umemtaka kimapenzi. Alafu akakuambia yeye siô Mke wa Mtu.
Ulitumia njia gàni kujiridhisha kuwa yeye siô Mke wa Mtu?

Bora unambie umemkuta kwèñye makasino ya kujiuzia Huko angalau utakuwa na hoja na Mimi Watu watakutetea.
Hata mwenye Mke atakutetea.

Mwanamke yeyote unayemuona anapita barabarani na siô Mkeo wal nduguyo hauna Haki naye Bila kujiridhisha

Mwanamke àmbaye unahaki naye kufanya mapenzi NI Mkeo au kahaba àmbao Wanamaeneo Yao ya kufanya shughuli hizô.
 
Unatumia Sheria au Kanuni Ipi kusema Hakuna Mume WA Mtu?
Je maonî yako Binafsi?
Je NI Imani yako binafsi?
Je NI Mila na desturi za kabîlà lako?
Au Dini yako?

Au je unatumia Kigezo cha Upendo na HAKI kuzungumza ulichozungumza?
Hivi unajua Mila na tamaduni zetu zinaruhusu mke zaidi ya mmoja na je wajua mwanzo wa mapenzi ni urafiki na kutongozana!?
Mke wa mtu sawa ila mme wa mtu hayupo anaweza kuwa mme wa watu (means wanawake wengi ,kwa waislam hadi wanne na kwa wasukuma no limit hata kumi unaenda)
 
Hii hapana, maana siku hizi watu wanasafiri mikoa yote na nchi yote.

Ndio maana kuna vitu kama pete ya ndoa na mavazi (waislamu) lakini vyote sio fool proof kumjua mwenza wa mtu.

Kwa unaoishi nao mtaani sawa itakuwa ujinga lakini napo sio wote

Mke wa Mtu na Mume WA mtu wanajulikana Kabisa Wala huo siô mjadala.

Wanaosema hawajulikani Basi hawajawahi kuwa kwèñye Ndoa na hawajawahi kuitwa Mume au Mke.
 
Kwa nini ukiibiwa gari usitafute jingine Kwa nini unaenda Polisi?
Mke sio gari..
It’s not healthy to stay with someone who makes you feel insecure because you’re not wanted for yourself. Relationships can’t thrive without trust so instead of trying to salvage what’s left, it’s best to let your unfaithful significant other go. There’s no going back from this. You deserve more and never settle for less.
 
Moja kati ya mada za hovyo kabisa kuwahi kuandikwa na mtibeli.

Huyu anatetea uvunjivu wa sheria za nchi, uharifu na mauaji eti kwa kisingizio cha uchungu wa mume sijui mke! Rubbish.

Hapa sasa kinachotokea ni kinyume chake.

Huwezi kumfanyia unyama mtu eti kisa katembea na mumeo au mkeo, Utafia gerezani na huyo mkeo jamaa atamuoa kabisa.

Na walivyo wajinga huwa wanarekodi kabisa ili kusaidia ushahidi, mahakama huwa hazihangaiki sana na kesi za namna hii, maana ushahidi unakuwepo tayari.

Alietembea na mumeo au mkeo hana kosa lolote, mwenye kosa ni huyo mkeo au mumeo, Ongea nae, kama haelewi achana nae.

Kujifanya una uchungu sana na mtu mliekutana ukubwani ni ushamba tu, utaozea Segerea ndugu yangu.
Mimi na wewe hatuwezi kusupport aina ya adhabu zinazotolewa kwa waanga mbali mbali wa hayo matukio

Ila niamini mimi ikija kukutokea wewe au mimi mtazamo utabadilika.
 
Umekutana na Mwanamke àmbaye umemtaka kimapenzi. Alafu akakuambia yeye siô Mke wa Mtu.
Ulitumia njia gàni kujiridhisha kuwa yeye siô Mke wa Mtu?

Bora unambie umemkuta kwèñye makasino ya kujiuzia Huko angalau utakuwa na hoja na Mimi Watu watakutetea.
Hata mwenye Mke atakutetea.

Mwanamke yeyote unayemuona anapita barabarani na siô Mkeo wal nduguyo hauna Haki naye Bila kujiridhisha

Mwanamke àmbaye unahaki naye kufanya mapenzi NI Mkeo au kahaba àmbao Wanamaeneo Yao ya kufanya shughuli hizô.
Mtibeli, ninaamini kabisa kuwa uwezo wako wa kufikiri uko sawa.

Ninachokiona hapa, ni kwamba unajaribu kujenga hoja tu ili kuendeleza mjadala.

Na log out!
 
Mke sio gari..
It’s not healthy to stay with someone who makes you feel insecure because you’re not wanted for yourself. Relationships can’t thrive without trust so instead of trying to salvage what’s left, it’s best to let your unfaithful significant other go. There’s no going back from this. You deserve more and never settle for less.
Haya unayoyaandika hayatofanya kazi siku utakayofumaniwa na mke wa mtu,

Binafsi nlishajifunza na kufahamu kwamba watu tunatofautiana sana kwenye kuchukua maamuzi hivyo kivyovyote vile ntajizuia kwa maisha yangu yote kufanya jambo ambalo litanifanya niweke maisha yangu rehani
 
Mke sio gari..
It’s not healthy to stay with someone who makes you feel insecure because you’re not wanted for yourself. Relationships can’t thrive without trust so instead of trying to salvage what’s left, it’s best to let your unfaithful significant other go. There’s no going back from this. You deserve more and never settle for less.

Nafikiri huelewi hata Mada inahusu Jambo gàni. Tunazungumzia HAKI.
Hatuzungumzii uwezo wa kumuacha Mtu msaliti aende ili wewe uendelee na Maisha yako na upate kilichobora.

Tunazungumzia Haki za Mahusiano, hasa mahusiano ya Mume na Mke.
Nitakupa mfano wa Haki za Mahusiano ya Watu kama Wachezaji na Club ya Mpira.
Mchezaji anapokuwa CHINI ya Club Fulani Kwa mkataba hasa WA Milele alafu ikabainika NI msaliti yàani amevunja Moja ya makubaliano Kwa kwenda kinyemela katika club ñyiñgine, ili kutenda Haki Mchezaji Yule lazima apewe adhabu, tenà adhabu Kali. Hizô NI taratibu za kimahusiano.

Halikadhalika, mahusiano tunazungumzia makubaliano ya Mtu na Mtu, Mtu na Watu au kikundi cha Watu na kikundi kingine.
Mfano Kampuni ya Madini imeingia mkataba na serikali Ikatoka suala la kuchimba Madini. Lakini ikatokea mmojawapo akakiuka makubaliano lazima adhabu itolewe ili Haki ionekana.

Hayo ya kuendelea na mahusiano au kutoendelea NI ishu nyingine àmbayo nayo ni Haki ya wahusika kuamua kama wanaendelea ama Laah.

Kwèñye Mahusiano ya mapenzi Hapa tunazungumzia HISIA za ndàni Kabisa Zenye Ñguvu kuliko zote Kwa binadamu.
MTU anaposalitiwa kimapenzi alafu Hakuna Sheria yoyote ya maana katika makosa ya namna hiyo hupelekea Mtu Husika Kutoa adhabu atakayoona itamfaa.

Wewe Unazungumzia mambo àmbayo Kwa makusudi au kutokujua huyaelewi
 
NASISITIZA, YAPO MAKOSA UKIFANYA KAMA KUTOKA NA MUME AU MKE WA MTU UTAFANYIWA UHUNI AU UKATILI BILA KUJALI SHERIA ZÎPO AU HAZIPO. MBINGUNI AU DUNIANI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Usidanganywe na porojo zisizo na kichwa Wala miguu kuhusu kile kinachoitwa Haki za binadamu, sijui Serikali, sijui Sheria Kali, sijui uwèpo wa Mungu. Usije ukadanganywa.

Hivyo vyote nilivyovitaja hazitazungatiwa endapo utamfanyia Mtu Baadhi ya Makosa.

Huwezi toka na Mume au Mke wa Mtu alafu ukaleta mambo ya Haki za binadamu, sijui Sheria za serikali, sijui Mungu kasemaje, ndugu yàngu, utaumia, utasagika, utakandwa na kma haitoshi watakuua.

Ukiona Mtu umemuibia Mkewe ya Mumewe alafu kakuacha tuu usije ukadhani anabusara nyingi Sana, Jua NI Hana uwezo wa kukufanya chochote. NI Ile ya kumuachia Mungu tuu.

Lakini Mtu mwenye uwezo, mamlaka, nguvu Huwezi mfanyia Makosa ya namna hiyo alafu utegemee akuache salama. Utaumia ndugu yàngu.

Vijana lazima waambie ukweli na jamii ijulikane hivyo. Kuwa Yapo Makosa ukifanya lazima ukutane na Moto.

Jamii Zenye Sifa za kichawi au ushirikina mfano mbona inakua ngumu Mtu aende Pemba atoke na Mke au Mume WA Mtu, wengi tunajua nini kitatokea hata kama ni nadharia.

Unàtaka Haki z binadamu ufanyiwe Linda heshima yako, Linda heshima ya Watu Wengine full stop.

Ukitumia utashi wako kufanya uhalifu kuchukua wake au waume za Watu usilaumu hao utakaowachukulia Wakitumia utashi waô kukushughulikia.

Serikali haijui uchungu wa Mtu kuubiwa mume au Mke. Ndîo maana hata sheria Zake NI nyepesi.
Yàani Sheria za Ugoni.

Atleast Sheria za mîungu zîpo wazi Mtu akichukua Mke au Mume WA Mtu adhabu zake zote huwa na Kali, mpaka kuua Kabisa.

Hizô Asasi sijui mashirika ya kiraia huenda hazijui au hazina uzoefu WA kutendawa Makosa ya namna hiyo

Au Tuseme NI kizazi cha Làana, kizazi cha nyoka, kizazi cha Kataa Ndoa.

Wanawake wàpo wangapi mpaka ufuate Mke wa Mtu? Kama siô dharau, kiburi na Uhuni.
Madanguro yapo kibao ya kununua makahaba, Huko telegram wapo Malaya kibao why Utoke na Mke WA Mtu.
Hakika, Sisi Watibeli tunajua n kutambua Haki za waliooa na kuolewa, Haki za Mume na Haki za Mke. Hatutalaumu Mtu yeyote atakayetenda na kulipa kisasi cha aina yoyote Kwa Mtu àmbaye amemuibia Mke au Mume Kwa ku-cheat.

Hatutaki jamii za kionevu, dhulma, jamii ya zinaa.

Wanaume wàpo wangapi mpaka uende Kwa Mume WA Mtu bhana kama siô kiburi na dharau.

Viongozi wôte wakiwemo Marais, Mawaziri, Wakuu WA Vyombo vya Dola, viongozi wa Dini, matajiri najua ninyi mnaelewa nimeandika kitu gàni.
Najua miongoni mwenu Hakuna hata Kiongozi mmoja àmbaye yupo tayari kuona Mkewe au Mumewe akiibiwa na najua wengi wenu maamuzi gàni huwa mnachukua.

Sasa nashauri ziwekwe Sheria za HAKI za Mahusiano ya wanandoa.
Haiwezeniki Mtu akifumaniwa na Mtu Mwingine adhabu yake haieleweki. Huko ni kuhalalisha zinaa Kwa wanandoa na baadhi ya wanandoa kuonewa na kuumizwa
Wekeni Sheria Kali ili Watu wasione sababu ya kulipa Visasi vikali ili kuridhisha Nafsi zào.

MTU kama amechoka Ndoa aombe Talaka ili akafanye Kile anachotaka.

Nawajua mabinti wengi walioharibu Ndoa za Watu na kuacha Wake na Watoto waliokuwa ndoani kuumia na kuharibu future yao.

Nawajua Wanaume wengi tuu àmbao Wake zào wamekuwa wakilala na wanaume wengine na hawana cha kufanya wala Hakuna wakuwatetea. Hiyo NI dhulma, hiyo siô Sawa.

Iwekwe Sheria kuwa Kutoka na Mke au Mume WA Mtu NI jinai na adhabu yake íwe Kali angalau jela Miaka 30.
Aliyetoka nje ya Ndoa na hiyo aliyetoka naye wôte wafungwe miaka 30.

Iwekwe Sheria, Ikiwa MTU ataomba talaka bila sababu ya msingi Kwa lengo la Kuoa au kuolewa na Mtu Mwingine ataacha Nusu ya Haki ya vile anavyomiliki (alichochuma)katika Ndoa ya Kwanza.

Itolewe Sheria kuwa, Ndoa ya Wake wengi NI ruhusa lakini lazima iwepo sehemu àmbayo Mke WA Kwanza ataweka saini na kuridhia. Yàani kukubali.

Lakini Sheria za kihuni, kitapeli, zisizoangalia maumivu ya Watu Wengine Kwa sababu labda siô jinsia yako, siô Dini au kabîlà lako, au Kisa hamfanani hiyo ni dhulma.

Ni jukumu la Mume kumshawishi Mkewe kama kûna ulazima WA kuongeza Mke Mwingine. Na Mke anahiyari ya kukubali au kukataa shauri Hilo Ikiwa Hana Imani na Àkili na Upendo WA Mumewe.

Yawepo Makubaliano tangu awali Ikiwa Mwanaume anampango wa Kuoa Wake wengi.

Hata hivyo aina ya Ndoa inayofungwa NI makubaliano tosha mfano Mwanamke yeyote àmbaye Kwa hiyari Yake alikubali kuolewa Kwa Ndoa ya Kimila au kiislam hakutakuwa na ulazima WA kumuuliza kuhusu kuoa Wake wengi kwani tayari Sheria na Kanuni za Mila za kiafrika na Dini ya kiislam zîpo wazi kuhusu suala Hilo.

Kwa Watibeli Mwanaume Hana ruhusa ya kuuliza Wala kuomba Kuoa Mke Mwingine Kwa Mkewe isipokuwa Mkewe ndiye mwenye hiyo HAKI ya kutaka kuongezewa Mke mwenza Ikiwa ataona kûna uhitaji.
Kama ilivyo Kwa Mwanaume WA kitibeli anayohaki ya kumruhusu Mkewe aolewe au Kulala na Mwanaume Mwingine Kutokana na sababu kuu Mbili, Mosi, Ugonjwa, kama Mwanaume ameumwa Kwa kipindi kirefu kinachozidi Miaka 10 anaweza kumruhusu Mkewe aidha aolewe na Mwanaume Mwingine au alale na Mwanaume Mwingine lakini huyo mwanaume hapaswi kuwa mume wa mtu.

Pili, Ugumba, Ikiwa Mwanaume ikabainika kuwa anaugumba úwe wa kuzaliwa au ugonjwa au ajali au Ugumba uliosababishwa na Jambo lolote. Atakuwa na ruhusa Kwa hiyari Yake kumruhusu Mkewe ambaye sio tasa yaani mwenye uwezo wa kuzaa akazae na Mtu Mwingine Ikiwa ameona Mkewe asiondoke Duniani Bila Mtoto Kwa sababu Yake. Au akaolewe na Mwanaume Mwingine.

Kwa Watibeli inaruhusiwa Mwanaume mgumba kuchagua Mwanaume Mwingine wa kumpatia uzao. Lakini hiyo íwe kimaandishi na íwe Kisheria.

Tukio la kugawa uzao litafanyika Mpaka pale Mimba itakapotungwa. Kisha Mwanaume aliyeiweka hiyo Mimba hataruhusiwa tena kuwa na uhûsiano na Mwanamke huyo. Wala kuwasiliana Kwa namna yoyote inayohusu mapenzi au Mtoto atakapozaliwa.

Itakuwa NI jinai Ikiwa Mwanaume aliyetoa uzao kujihusisha tena kimapenzi au kujihusisha na Mtoto.
Itakuwa pia ni jinai Kwa Mke ikiwa atajihusisha na Mwanaume aliyeombwa na Mumewe Kutoa uzao.

Mimi Acha nipumzike

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa, Kibidula, Mafinga
Kama haya ndio mawazo ya watibeli basi ni watu wajinga sana, wajima ambao bado hawajaingia kwenye civilization.
 
Mke wako sio mali yako hadi uanze kuua na kulawati watu waliyefanya naye mapenzi
 
Nilichogundua wewe ni dhaifu sana kwenye mapenzi, kugongewa kunakuuma sana, hili andiko lako linaonyesha ulishawai kupigwa tukio na haukua na kufanya
 
Haki za binadamu haziwezi kuona hayo Kwa sababu hawajui Haki NI nini
Sio hata suala la haki za binadamu, ni suala la kustaarabika na kutoka katika unyani na ujima wa mapenzi.

Nyani, sokwe na tumbling ndio wanapigania majike, binadamu wengi waliofikia kiwango cha juu cha evolution wameachana na hayo mambo.
 
Kama haya ndio mawazo ya watibeli basi ni watu wajinga sana, wajima ambao bado hawajaingia kwenye civilization

Huko tulishatoka miaka mingi.

Kwako civilization NI kuchukua Mke au Mume WA Mtu?
Au kuona Mke au Mume WA Mtu anachukuliwa alafu Yule aliyeonewa asitendewe HAKI yake
 
NASISITIZA, YAPO MAKOSA UKIFANYA KAMA KUTOKA NA MUME AU MKE WA MTU UTAFANYIWA UHUNI AU UKATILI BILA KUJALI SHERIA ZÎPO AU HAZIPO. MBINGUNI AU DUNIANI.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Usidanganywe na porojo zisizo na kichwa Wala miguu kuhusu kile kinachoitwa Haki za binadamu, sijui Serikali, sijui Sheria Kali, sijui uwèpo wa Mungu. Usije ukadanganywa.

Hivyo vyote nilivyovitaja hazitazungatiwa endapo utamfanyia Mtu Baadhi ya Makosa.

Huwezi toka na Mume au Mke wa Mtu alafu ukaleta mambo ya Haki za binadamu, sijui Sheria za serikali, sijui Mungu kasemaje, ndugu yàngu, utaumia, utasagika, utakandwa na kma haitoshi watakuua.

Ukiona Mtu umemuibia Mkewe ya Mumewe alafu kakuacha tuu usije ukadhani anabusara nyingi Sana, Jua NI Hana uwezo wa kukufanya chochote. NI Ile ya kumuachia Mungu tuu.

Lakini Mtu mwenye uwezo, mamlaka, nguvu Huwezi mfanyia Makosa ya namna hiyo alafu utegemee akuache salama. Utaumia ndugu yàngu.

Vijana lazima waambie ukweli na jamii ijulikane hivyo. Kuwa Yapo Makosa ukifanya lazima ukutane na Moto.

Jamii Zenye Sifa za kichawi au ushirikina mfano mbona inakua ngumu Mtu aende Pemba atoke na Mke au Mume WA Mtu, wengi tunajua nini kitatokea hata kama ni nadharia.

Unàtaka Haki z binadamu ufanyiwe Linda heshima yako, Linda heshima ya Watu Wengine full stop.

Ukitumia utashi wako kufanya uhalifu kuchukua wake au waume za Watu usilaumu hao utakaowachukulia Wakitumia utashi waô kukushughulikia.

Serikali haijui uchungu wa Mtu kuubiwa mume au Mke. Ndîo maana hata sheria Zake NI nyepesi.
Yàani Sheria za Ugoni.

Atleast Sheria za mîungu zîpo wazi Mtu akichukua Mke au Mume WA Mtu adhabu zake zote huwa na Kali, mpaka kuua Kabisa.

Hizô Asasi sijui mashirika ya kiraia huenda hazijui au hazina uzoefu WA kutendawa Makosa ya namna hiyo

Au Tuseme NI kizazi cha Làana, kizazi cha nyoka, kizazi cha Kataa Ndoa.

Wanawake wàpo wangapi mpaka ufuate Mke wa Mtu? Kama siô dharau, kiburi na Uhuni.
Madanguro yapo kibao ya kununua makahaba, Huko telegram wapo Malaya kibao why Utoke na Mke WA Mtu.
Hakika, Sisi Watibeli tunajua n kutambua Haki za waliooa na kuolewa, Haki za Mume na Haki za Mke. Hatutalaumu Mtu yeyote atakayetenda na kulipa kisasi cha aina yoyote Kwa Mtu àmbaye amemuibia Mke au Mume Kwa ku-cheat.

Hatutaki jamii za kionevu, dhulma, jamii ya zinaa.

Wanaume wàpo wangapi mpaka uende Kwa Mume WA Mtu bhana kama siô kiburi na dharau.

Viongozi wôte wakiwemo Marais, Mawaziri, Wakuu WA Vyombo vya Dola, viongozi wa Dini, matajiri najua ninyi mnaelewa nimeandika kitu gàni.
Najua miongoni mwenu Hakuna hata Kiongozi mmoja àmbaye yupo tayari kuona Mkewe au Mumewe akiibiwa na najua wengi wenu maamuzi gàni huwa mnachukua.

Sasa nashauri ziwekwe Sheria za HAKI za Mahusiano ya wanandoa.
Haiwezeniki Mtu akifumaniwa na Mtu Mwingine adhabu yake haieleweki. Huko ni kuhalalisha zinaa Kwa wanandoa na baadhi ya wanandoa kuonewa na kuumizwa
Wekeni Sheria Kali ili Watu wasione sababu ya kulipa Visasi vikali ili kuridhisha Nafsi zào.

MTU kama amechoka Ndoa aombe Talaka ili akafanye Kile anachotaka.

Nawajua mabinti wengi walioharibu Ndoa za Watu na kuacha Wake na Watoto waliokuwa ndoani kuumia na kuharibu future yao.

Nawajua Wanaume wengi tuu àmbao Wake zào wamekuwa wakilala na wanaume wengine na hawana cha kufanya wala Hakuna wakuwatetea. Hiyo NI dhulma, hiyo siô Sawa.

Iwekwe Sheria kuwa Kutoka na Mke au Mume WA Mtu NI jinai na adhabu yake íwe Kali angalau jela Miaka 30.
Aliyetoka nje ya Ndoa na hiyo aliyetoka naye wôte wafungwe miaka 30.

Iwekwe Sheria, Ikiwa MTU ataomba talaka bila sababu ya msingi Kwa lengo la Kuoa au kuolewa na Mtu Mwingine ataacha Nusu ya Haki ya vile anavyomiliki (alichochuma)katika Ndoa ya Kwanza.

Itolewe Sheria kuwa, Ndoa ya Wake wengi NI ruhusa lakini lazima iwepo sehemu àmbayo Mke WA Kwanza ataweka saini na kuridhia. Yàani kukubali.

Lakini Sheria za kihuni, kitapeli, zisizoangalia maumivu ya Watu Wengine Kwa sababu labda siô jinsia yako, siô Dini au kabîlà lako, au Kisa hamfanani hiyo ni dhulma.

Ni jukumu la Mume kumshawishi Mkewe kama kûna ulazima WA kuongeza Mke Mwingine. Na Mke anahiyari ya kukubali au kukataa shauri Hilo Ikiwa Hana Imani na Àkili na Upendo WA Mumewe.

Yawepo Makubaliano tangu awali Ikiwa Mwanaume anampango wa Kuoa Wake wengi.

Hata hivyo aina ya Ndoa inayofungwa NI makubaliano tosha mfano Mwanamke yeyote àmbaye Kwa hiyari Yake alikubali kuolewa Kwa Ndoa ya Kimila au kiislam hakutakuwa na ulazima WA kumuuliza kuhusu kuoa Wake wengi kwani tayari Sheria na Kanuni za Mila za kiafrika na Dini ya kiislam zîpo wazi kuhusu suala Hilo.

Kwa Watibeli Mwanaume Hana ruhusa ya kuuliza Wala kuomba Kuoa Mke Mwingine Kwa Mkewe isipokuwa Mkewe ndiye mwenye hiyo HAKI ya kutaka kuongezewa Mke mwenza Ikiwa ataona kûna uhitaji.
Kama ilivyo Kwa Mwanaume WA kitibeli anayohaki ya kumruhusu Mkewe aolewe au Kulala na Mwanaume Mwingine Kutokana na sababu kuu Mbili, Mosi, Ugonjwa, kama Mwanaume ameumwa Kwa kipindi kirefu kinachozidi Miaka 10 anaweza kumruhusu Mkewe aidha aolewe na Mwanaume Mwingine au alale na Mwanaume Mwingine lakini huyo mwanaume hapaswi kuwa mume wa mtu.

Pili, Ugumba, Ikiwa Mwanaume ikabainika kuwa anaugumba úwe wa kuzaliwa au ugonjwa au ajali au Ugumba uliosababishwa na Jambo lolote. Atakuwa na ruhusa Kwa hiyari Yake kumruhusu Mkewe ambaye sio tasa yaani mwenye uwezo wa kuzaa akazae na Mtu Mwingine Ikiwa ameona Mkewe asiondoke Duniani Bila Mtoto Kwa sababu Yake. Au akaolewe na Mwanaume Mwingine.

Kwa Watibeli inaruhusiwa Mwanaume mgumba kuchagua Mwanaume Mwingine wa kumpatia uzao. Lakini hiyo íwe kimaandishi na íwe Kisheria.

Tukio la kugawa uzao litafanyika Mpaka pale Mimba itakapotungwa. Kisha Mwanaume aliyeiweka hiyo Mimba hataruhusiwa tena kuwa na uhûsiano na Mwanamke huyo. Wala kuwasiliana Kwa namna yoyote inayohusu mapenzi au Mtoto atakapozaliwa.

Itakuwa NI jinai Ikiwa Mwanaume aliyetoa uzao kujihusisha tena kimapenzi au kujihusisha na Mtoto.
Itakuwa pia ni jinai Kwa Mke ikiwa atajihusisha na Mwanaume aliyeombwa na Mumewe Kutoa uzao.

Mimi Acha nipumzike

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa, Kibidula, Mafinga
Umeongea ukweli mtupu
 
Nafikiri huelewi hata Mada inahusu Jambo gàni. Tunazungumzia HAKI.
Hatuzungumzii uwezo wa kumuacha Mtu msaliti aende ili wewe uendelee na Maisha yako na upate kilichobora.

Tunazungumzia Haki za Mahusiano, hasa mahusiano ya Mume na Mke.
Nitakupa mfano wa Haki za Mahusiano ya Watu kama Wachezaji na Club ya Mpira.
Mchezaji anapokuwa CHINI ya Club Fulani Kwa mkataba hasa WA Milele alafu ikabainika NI msaliti yàani amevunja Moja ya makubaliano Kwa kwenda kinyemela katika club ñyiñgine, ili kutenda Haki Mchezaji Yule lazima apewe adhabu, tenà adhabu Kali. Hizô NI taratibu za kimahusiano.

Halikadhalika, mahusiano tunazungumzia makubaliano ya Mtu na Mtu, Mtu na Watu au kikundi cha Watu na kikundi kingine.
Mfano Kampuni ya Madini imeingia mkataba na serikali Ikatoka suala la kuchimba Madini. Lakini ikatokea mmojawapo akakiuka makubaliano lazima adhabu itolewe ili Haki ionekana.

Hayo ya kuendelea na mahusiano au kutoendelea NI ishu nyingine àmbayo nayo ni Haki ya wahusika kuamua kama wanaendelea ama Laah.

Kwèñye Mahusiano ya mapenzi Hapa tunazungumzia HISIA za ndàni Kabisa Zenye Ñguvu kuliko zote Kwa binadamu.
MTU anaposalitiwa kimapenzi alafu Hakuna Sheria yoyote ya maana katika makosa ya namna hiyo hupelekea Mtu Husika Kutoa adhabu atakayoona itamfaa.

Wewe Unazungumzia mambo àmbayo Kwa makusudi au kutokujua huyaelewi
Haki ya kuua? Kujeruhi? Kubaka? Basi watibeli ni jamii ya wajinga..
Ww ni mshamba wa mapenzi na hujiamini..
 
Haya unayoyaandika hayatofanya kazi siku utakayofumaniwa na mke wa mtu,

Binafsi nlishajifunza na kufahamu kwamba watu tunatofautiana sana kwenye kuchukua maamuzi hivyo kivyovyote vile ntajizuia kwa maisha yangu yote kufanya jambo ambalo litanifanya niweke maisha yangu rehani
Ni bora mkaachana, majuto yanakuwa ni makubwa baada ya kutenda tukio..
 
Back
Top Bottom