Kuna maombi ulimwenguni kote kuliombea taifa la Israel (pray for Israel)

Ni sawa! Wengine tumeshaanza dua zetu kitambo sana kwa Palestina 🇵🇸 Tunamuomba Allah amalize vita wala sio kuua mtu.
 
Kwani we inakuuma nini? au ni akili ya msikitini ndo inakupa shida mbona mnaabudu kwa lugha ya kiarabu na wala hatushangai
 
Mkuu hawa binadamu wakuitwa wakristo ni special group inabidi wapimwe mkoj,o maana siamini kama wanatumia akili zao aise.

Yaani utakuta hadi makanisani kuna bendera ya Israel unajiuliza hawa viumbe wamerogwa na nani kwa kiwango hiki?
Kwani wewe unaumia nini wakristo kuiombea Israel ngedere wewe ulitaka waombee mashoga wa iran
 
Hauoni aibu kutamka "Mungu wa Israel" Hali ya kuwa wewe ni mgaigai wa ileje!

Jews hawana muda nanyi mnajipendekeza na hiyo ndio kawaida yao kutumia wajinga kujinufaisha!
 
Aise tunaposema wakristo ni janga la kidunia inabidi iwe inaeleweka.

Sasa unamuombea mtu ambaye hata hakuthamini wala kukujua unaishi vipi na wapi.

Ile nchi ni ya Wayahudi na waislamu acheni shobo nyie wakiristo kujipendekeza.
We shoga unaumiaje wakristo kuiombea wa Israel taifa teule linalomaliza ugaidi
 
wakristo mnajipendekeza kwa waisraeli na waisrael hawawataki wala kuwatambua nachowashauri acheni kusoma biblia kwani mnalishwa magimbi pori kutoka kwenye kitabu hicho kilichoandikwa na wazungu kimkakati
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…