Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Israel kuna waislam wengi kuliko wakristo,iran kuna wayahudi wengi pia,ni afrika tu ndio tunajiaminisha kwa upumbavu wetu hii vita ni ya kidinipoor mind set! Asilimia kubwa wa israel sio wa kristo lkn waskristo walivyolishwa matango pori na wazungu ndo umefikia hatua hii
Palestina na lebanon kuna wakristo wengi zaidi ya ya waliopo israellakini waislam wakioombea palestina au iran ni sawa kabisa sio?
Uchawa isiokuwa na manufaa huu.View attachment 3116170
Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱
Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel
Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱.
Nini maana yake? Israel ni taifa ni teule la Mungu. Mungu hapo zamani alijitambulisha kwamba ni Mungu wa Israel🇮🇱
HAPA KUNA SIRI!
Kwahyo jibu la swali langu ni ndyo qu hapana?Palestina na lebanon kuna wakristo wengi zaidi ya ya waliopo israel
wayahudi na waarabu ni mabedui.Unqfiki wa kiroho. Ombea wote na wanaoteswa na Israel pia
Wanristo na wayahudi wanaamini katika Mungu mmoja Yahwe.View attachment 3116170
Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱
Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel
Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱.
Nini maana yake? Israel ni taifa ni teule la Mungu. Mungu hapo zamani alijitambulisha kwamba ni Mungu wa Israel🇮🇱
HAPA KUNA SIRI!
Acha kujitoa fahamu wewe,, au kama hujui kitu kaa kimya,, wakristo wengi hasa Africa huvi kwanini mnapenda kujipendekeza kwa wayahudi??Wanristo na wayahudi wanaamini katika Mungu mmoja Yahwe.
Wala usione ajabu.
Ala ni shetani
Baada ya kupigwa.Ni sawa! Wengine tumeshaanza dua zetu kitambo sana kwa Palestina 🇵🇸 Tunamuomba Allah amalize vita wala sio kuua mtu.
72 virgins.Mateja WA dini hao,
Ubongo wao umekua congested kias kwamba haiwezi Tena kudigest mahubiri wanayolishwa
Hivi wanafahamu kuwa islael sio wakristo wenzao? Ni bora kuombea isitokee vita ya tatu ya dunia..sio kuiombea islaelView attachment 3116170
Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱
Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel
Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱.
Nini maana yake? Israel ni taifa ni teule la Mungu. Mungu hapo zamani alijitambulisha kwamba ni Mungu wa Israel🇮🇱
HAPA KUNA SIRI!
Hao waisrael hawatutambui sisi wakristo infact wanatuona takataka.ni mtu mjinga tu atatoa hayo maombi lakini wenye akili wanamambo muhimu katika nchi zao za kuziombea.View attachment 3116170
Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱
Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel
Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱.
Nini maana yake? Israel ni taifa ni teule la Mungu. Mungu hapo zamani alijitambulisha kwamba ni Mungu wa Israel🇮🇱
HAPA KUNA SIRI!
Sisi wakristo tunaiombea Israel taifa teule lishinde vita Kwa kuwamaliza magaidi
Sisi wakristo tunaiunga mkono Israel dhidi ya magaidi kama imekuuma chomoaNi Wakristo wajinga tu wanaoweza kufanya hivyo
Siwezi kufanya huu upuuzi. Bora niiombee CongoView attachment 3116170
Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱
Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel
Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱.
Nini maana yake? Israel ni taifa ni teule la Mungu. Mungu hapo zamani alijitambulisha kwamba ni Mungu wa Israel🇮🇱
HAPA KUNA SIRI!
Kwani Israeli watu wake dini gani? Na wewe unayewaombea ni dini gani?View attachment 3116170
Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱
Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel
Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱.
Nini maana yake? Israel ni taifa ni teule la Mungu. Mungu hapo zamani alijitambulisha kwamba ni Mungu wa Israel🇮🇱
HAPA KUNA SIRI!
Sasa mbona mnayewaombea hawamtambui Yesu?Lazime tuliombee Taifa la BWANA WETU YESU KRISTO hata utukane, na kwa uwezo wa YEHOVA Israel itashinda hao magaidi
Irani ushoga marufuku Lakini Israeli selikari imeruhusuKwani wewe unaumia nini wakristo kuiombea Israel ngedere wewe ulitaka waombee mashoga wa iran
Badala ya kuombea nchi Yako ukawaombee mashoga ww sio mzimaView attachment 3116170
Wakristo ma million ulimwenguni kote wako kwenye maombi ya kuliombea taifa LA Israel🇮🇱
Kuna vikundi vingine vimeenda mbali na kutangaza Mifungo ya siku kadhaa na kuomba kwa ajili ya Israel
Cha ajabu hadi huko Iran, wakristo Wanaliombea taifa LA Israel🇮🇱.
Nini maana yake? Israel ni taifa ni teule la Mungu. Mungu hapo zamani alijitambulisha kwamba ni Mungu wa Israel🇮🇱
HAPA KUNA SIRI!