Tetesi: Kuna mashaka Bandarini. Serikali itoe tamko ya kinachoendelea ili kama yanayoripotiwa ni tetesi yasilete taharuki

Tetesi: Kuna mashaka Bandarini. Serikali itoe tamko ya kinachoendelea ili kama yanayoripotiwa ni tetesi yasilete taharuki

Watanzania washenzi na wapumbavu sana! Zaidi ya ngono na mipira kwao hakuna mambo mengine ya msingi zaidi ya hayo. Huyo anayeomba asaidiwe kupiga kelele yeye hana mdomo? Au sauti yake imeumbwa kubishania mambo ya akina Pacome hadi wanachomana visu? STUPID!!!
 
Siku UZALENDO ukiingia DAMUNI kama ambayo wawekezaji ni wazalendo wa nchi yao...nakuamua kuadhirili wenyeji..JUA TATIZO LITAAMBATANA na GARIKA. tabia ya mtu kusababisha tatizo alafu akistaafu au kupumzika tunashau mabaya yake kwa JAMII. Basi tuwachukie Sana WATU WANAFAIKI wanao Sifia UNAFIKI ..Hivi TAIFA halina wazee? .
 
Watanzania washenzi na wapumbavu sana! Zaidi ya ngono na mipira kwao hakuna mambo mengine ya msingi zaidi ya hayo. Huyo anayeomba asaidiwe kupiga kelele yeye hana mdomo? Au sauti yake imeumbwa kubishania mambo ya akina Pacome hadi wanachomana visu? STUPID!!!
Na mimi nawaunga mkono DP world wawafukuze wote pale bandarini….
Watu walivyopinga huu mkataba kuna watu waliingiza dini na uninga 😂😂
 
Nimepitia mtandao wa X na kukuta mjadala kwenye kurasa wa Martin Maranja M asese almaarufu MMM kuhusu DP World kusitisha mikataba ya wafanyakazi ili kuleta wafanyakazi wao.

View attachment 2923488

View attachment 2923489

Serikali ambayo ni sehemu ya huu mkataba uliopigiwa kelele na wananchi, itoe maelezo kukanusha ama kufafanua kinachoendelea Bandarini kwa sasa.
Mambo Ya IGA😂😂
 
Watanzania washenzi na wapumbavu sana! Zaidi ya ngono na mipira kwao hakuna mambo mengine ya msingi zaidi ya hayo. Huyo anayeomba asaidiwe kupiga kelele yeye hana mdomo? Au sauti yake imeumbwa kubishania mambo ya akina Pacome hadi wanachomana visu? STUPID!!!
Ndio faida ya ccm watu kuwa wajinga wajinga
 
Back
Top Bottom