Tetesi: Kuna mashaka Bandarini. Serikali itoe tamko ya kinachoendelea ili kama yanayoripotiwa ni tetesi yasilete taharuki

Tetesi: Kuna mashaka Bandarini. Serikali itoe tamko ya kinachoendelea ili kama yanayoripotiwa ni tetesi yasilete taharuki

Wewe ungekuwa DP world ungekubali kubaki na hawa wafanyakazi wa kitanzania? Labda kama wataweka adhabu ya viboko kwa wafanyakazi…….,,,😂😂😂😂😂
ninavyokumbuka, ni kama wakati wa majadiliano kwa ajili ya ule mkataba ilikubalika kwamba wafanyakazi hawataachishwa kazi. ndicho nilichosema. pili, kupunguza kazi au kufukuza huwa kuna taaratibu, we hope atazifuata. kila kitu kipo kwenye sheria.
 
Nimepitia mtandao wa X na kukuta mjadala kwenye kurasa wa Martin Maranja M asese almaarufu MMM kuhusu DP World kusitisha mikataba ya wafanyakazi ili kuleta wafanyakazi wao.

View attachment 2923488

View attachment 2923489

Serikali ambayo ni sehemu ya huu mkataba uliopigiwa kelele na wananchi, itoe maelezo kukanusha ama kufafanua kinachoendelea Bandarini kwa sasa.
Hawa DP ni mpango wa kibeberu tu. Hawataki watanzania kwa kazi sasa faida gani kama hata ajira tu wanataka wafilipino ili washlirikiane kutuibia bila sisi kupata faida yoyote. Tuungane umma jamani tutimue DP maana ni mpango wakutunyonya huku tumewekeza sana kama taifa. Tusikubali wizi huu unaoshirikisha viongozi wakubwa kabisa wa nchi.
 
Watanzania washenzi na wapumbavu sana! Zaidi ya ngono na mipira kwao hakuna mambo mengine ya msingi zaidi ya hayo. Huyo anayeomba asaidiwe kupiga kelele yeye hana mdomo? Au sauti yake imeumbwa kubishania mambo ya akina Pacome hadi wanachomana visu? STUPID!!!
Uzuri na Wewe ni Mtanzania Mshenzi na Mpumbavu unless utuambie unatoka Kongo
 
Hawa DP ni mpango wa kibeberu tu. Hawataki watanzania kwa kazi saa faida gani kama hata ajira tu wanataka wafilipino ili washlirikiane kutuibia bila sisi kupata faida yoyote. Tuungane umma jamani tutimue DP maana ni mpango wakutunyonya huku tumewekeza sana kama taifa. Tusikubali wizi huu unaoshirikisha viongozi wakubwa kabisa wa nchi.
tutashitakiwa MIGA mkuu
 
Vyama Huru vya wafanyakazi Makuli Bandarini waanzishe maandamano, au wafanyakazi wa TPA hawafundishiki kama yalivyokuwa matumaini ya awali ktk makubaliano ya IGA hapa chini yalivyokuwa yanasema neno kwa neno kutoa mafunzo stahiki .....


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI

MAELEZO YA AWALI KUHUSU MAPENDEKEZO YA KURIDHIA
MKATABA BAINA YA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA
TANZANIA NA SERIKALI YA DUBAI KUHUSU USHIRIKIANO WA
KIUCHUMI NA KIJAMII KWA AJILI YA UENDELEZAJI NA UBORESHAJI WA UTENDAJI KAZI WA BANDARI TANZANIA (INTER-GOVERNMENTAL AGREEMENT - IGA BETWEEN THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA AND THE EMIRATE OF DUBAI
CONCERNING ECONOMIC AND SOCIAL PARTNERSHIP FOR THE
DEVELOPMENT AND IMPROVING PERFORMANCE OF PORTS IN
TANZANIA)JUNI 2023

Page 1

MAELEZO YA AWALI KUHUSU MAPENDEKEZO YA KURIDHIA
MKATABA BAINA YA SERIKALI YA JAMHURI YA MUUNGANO WA
TANZANIA NA SERIKALI YA DUBAI KUHUSU USHIRIKIANO WA
KIUCHUMI NA KIJAMII KWA AJILI YA UENDELEZAJI NA UBORESHAJI WA UTENDAJI KAZI WA BANDARI TANZANIA

A: UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) ilianzishwa kupitia Sheria Na. 17 ya mwaka 2004. Mamlaka hii ilirithi na kuchukua majukumu ya iliyokuwa Mamlaka ya Bandari
Tanzania (Tanzania Harbors Authority-THA) iliyoanzishwa kupitia Sheria ya Mamlaka ya Bandari Na. 12 ya mwaka 1977 baada ya kuvunjika kwa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki na kupewa
majukumu zaidi ya kumiliki, kuendesha na kuendeleza bandari zilizopo pwani ya Bahari ya Hindi na Maziwa Makuu.

2. Mheshimiwa Spika, Sheria hiyo ya Bandari Na. 17 ya Mwaka 2004
inaipa TPA majukumu ya kumiliki, kusimamia, kuendesha na
kuendeleza maeneo yote ya bandari Tanzania Bara. Madhumuni makuu ya kuanzishwa kwa TPA yameainishwa katika Kifungu cha (5) cha Sheria hiyo ambayo ni kuhakikisha Tanzania inaendelea kunufaika na faida ya kijiografia ikiwemo: kuchagiza usimamizi bora na
ufungamanishaji wa tija wa bandari zilizopo pwani ya Bahari ya Hindi na Maziwa Makuu; kuhakikisha kunakuwa na tija katika huduma zinazotolewa za upakiaji na ushushaji wa mizigo pamoja na abiria; kuendeleza, kuboresha na kusimamia miundombinu ya kibandari;
kusimamia usalama wa bandari; na kuingia mikataba au makubaliano na mtu au taasisi yoyote kwa ajili ya utoaji wa huduma za bandari.
Page 2

zitakazo ongeza idadi ya Watalii nchini na kuongeza pato la
Taifa;

xi. Kusimika Mifumo ya TEHAMA kwa ajili ya shughuli za bandari
na kuwaunganisha wadau wake;
xii. Mafunzo ya kuwajengea uwezo wafanyakazi wa TPA katika Bandari zote (knowledge and skills transfer);

xiii. Uanzishwaji wa Maeneo Maalum ya Kiuchumi/Viwanda; na

xiv. Kuchochea ukuaji wa sekta zingine za kiuchumi zikiwemo
Sekta ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi; kuchagiza shughuli za Viwanda na Biashara; kuchagiza ukuaji wa sekta ndogo za
usafirishaji kwa njia ya reli (SGR, TAZARA na MGR) na...

Page 12
 
Watanzania washenzi na wapumbavu sana! Zaidi ya ngono na mipira kwao hakuna mambo mengine ya msingi zaidi ya hayo. Huyo anayeomba asaidiwe kupiga kelele yeye hana mdomo? Au sauti yake imeumbwa kubishania mambo ya akina Pacome hadi wanachomana visu? STUPID!!!

Exactly! Ungekuwa ndo mwekezaji ungeajiri watu wa namna hii? Ataajiri watu anaoamini wataleta tija then baadaye wa kuridhisha utawala! Tuwe wavumilivu! Hawajawaleta tija tangu uhuru leo wakipigwa chini tunalialia, ndo mana Trump alituita jina lile tumprove wrong basi kwa kufanya vitu differently badala ya kukazana kila siku kuprove alikuwa right wandugu
 
Nimepitia mtandao wa X na kukuta mjadala kwenye kurasa wa Martin Maranja M asese almaarufu MMM kuhusu DP World kusitisha mikataba ya wafanyakazi ili kuleta wafanyakazi wao.

View attachment 2923488

View attachment 2923489

Serikali ambayo ni sehemu ya huu mkataba uliopigiwa kelele na wananchi, itoe maelezo kukanusha ama kufafanua kinachoendelea Bandarini kwa sasa.
Walishasemaga ridhiwani kikwete kakamatwa china ili achiwe kikwete katoa eneo la ardhi bagamoyo sio watu wa kuwaamini!
 
Nimepitia mtandao wa X na kukuta mjadala kwenye kurasa wa Martin Maranja M asese almaarufu MMM kuhusu DP World kusitisha mikataba ya wafanyakazi ili kuleta wafanyakazi wao.

View attachment 2923488

View attachment 2923489

Serikali ambayo ni sehemu ya huu mkataba uliopigiwa kelele na wananchi, itoe maelezo kukanusha ama kufafanua kinachoendelea Bandarini kwa sasa.
Mzigo unachukua mpaka wiki5 kutoka bandarini
 
Dp weldi wameona kufanya kazi na mtanzania kwenye management ni mzigo, watz tunajua uwezo wetu na ufanisi wetu...UKO CHINI, yoyote anayetaka maximum output ni ngumu sana kuvumilia kufanya kazi na sisi. RAZIMA TUSEME UKWERI!!
Razima, ukweri, shikamoo kiswahili,
 
Back
Top Bottom