16 December 2023
RC Albert Chalamila - Changamoto Meli zimekuwa nyingi
View: https://m.youtube.com/watch?v=nnbxpsEM69o
RC Albert Chalamila - Changamoto Meli zimekuwa nyingi
View: https://m.youtube.com/watch?v=nnbxpsEM69o
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo wenzio wakikosa kazi wewe fresh tuTunachotaka cc watanzania ni ufanisi wa bandari. Hayo mengine hayatuhusu
Alafu mizigoyetu tupitishie wapi boss tuonee huruma.Bandari yangu mwenyewe mnanipangia chakufanya? Nafikiria kuifunga mwaka mzima ili kuwakomoa tu hadi mpate akili.
HAKIKADp weldi wameona kufanya kazi na mtanzania kwenye management ni mzigo, watz tunajua uwezo wetu na ufanisi wetu...UKO CHINI, yoyote anayetaka maximum output ni ngumu sana kuvumilia kufanya kazi na sisi. RAZIMA TUSEME UKWERI!!
Ni kampuni mpya transition na mabadiriko ya wafanyakazi ni kawaidaTulijua tu!! Swala mpaka viongozi wa dini wamelikataa! CCm wakalazimisha dp world itawatokea puani
Wazee si ndio hao mnasema wanawatilia kiwingu kwenye mambo yenu waache wakacheze na wajukuu zao😀😀Siku UZALENDO ukiingia DAMUNI kama ambayo wawekezaji ni wazalendo wa nchi yao...nakuamua kuadhirili wenyeji..JUA TATIZO LITAAMBATANA na GARIKA. tabia ya mtu kusababisha tatizo alafu akistaafu au kupumzika tunashau mabaya yake kwa JAMII. Basi tuwachukie Sana WATU WANAFAIKI wanao Sifia UNAFIKI ..Hivi TAIFA halina wazee? .
Kwanza wengi ni wezi na wavivuDp weldi wameona kufanya kazi na mtanzania kwenye management ni mzigo, watz tunajua uwezo wetu na ufanisi wetu...UKO CHINI, yoyote anayetaka maximum output ni ngumu sana kuvumilia kufanya kazi na sisi. RAZIMA TUSEME UKWERI!!
Acha upotishaji wewe poyoyo,sema Gati alizobinafsishiwa DP World ziko 3 Sasa ukisema zote unakuwa hazikutoshi.Nimepitia mtandao wa X na kukuta mjadala kwenye kurasa wa Martin Maranja M asese almaarufu MMM kuhusu DP World kusitisha mikataba ya wafanyakazi ili kuleta wafanyakazi wao.
View attachment 2923488
View attachment 2923489
Serikali ambayo ni sehemu ya huu mkataba uliopigiwa kelele na wananchi, itoe maelezo kukanusha ama kufafanua kinachoendelea Bandarini kwa sasa.
Acha kunukuu taarifa za wahuni wenzako wa Chadema.Yaani Mayanja Masele ndio source Yako? Harafu jf Huwa wanapiga ban kuweka taarifa za account binafsi kama main source Sasa inakuaje wewe wamekuachia unapotosha?Soma vizuri heafing na pia ni busara kuja na taarifa sahihi.
Bahati nzuri huwezi na hauna mamlaka ya kuniagiza chochote.Acha kunukuu taarifa za wahuni wenzako wa Chadema.Yaani Mayanja Masele ndio source Yako? Harafu jf Huwa wanapiga ban kuweka taarifa za account binafsi kama main source Sasa inakuaje wewe wamekuachia unapotosha?