Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama atakubali kuendelea na hawa wafanyakazi basi aweke adhabu ya viboko na kipengele cha kuwafukuza kazi….,,,,,Hakuna wanacho jua zaidi ya kuendekeza ngono na majungu maofisini,kazi ya masaa 5 wanaifanya mwezi mzima.
😂😂😂😂😂😂😂 kila mfanyakazi alambwe viboko tisaSio kufukuzwa tu, wachapwe fimbo wakati wa kutoka getini. Watu wanafiki sana. Mnaambiwa mkataba una shida mnakimbilia udini. Very stupid. Ngozi nyeusi isionekane hapo bandarini fukuza yote.
Mtafuteni Maulidi Kitenge na Hando wapanue midomo…Mama anaupiga mwingiiiiiiiiiiiii
HahahaaaaSio kufukuzwa tu, wachapwe fimbo wakati wa kutoka getini. Watu wanafiki sana. Mnaambiwa mkataba una shida mnakimbilia udini. Very stupid. Ngozi nyeusi isionekane hapo bandarini fukuza yote.
Sio ukweri ni ukweli, bwege ww,
Hata sio suala la mkataba kiufupi kama hawa jamaa kama wanahitaji kazi zao ziende kwa ufanisi wanao uitaji basi wafanye hicho tunacho kisikia tofauti na hapo wanatwanga maji kwenye kinu.Sio kufukuzwa tu, wachapwe fimbo wakati wa kutoka getini. Watu wanafiki sana. Mnaambiwa mkataba una shida mnakimbilia udini. Very stupid. Ngozi nyeusi isionekane hapo bandarini fukuza yote.
Ungekuwa unasubiri kuchapwa viboko na boss wa DP worlddddddddNamshukuru sana MUNGU Aalinionyesha njia baada ya kusoma chuo cha bandari nikakosa ajira nimemalza mwaka 2013, ila akanifungulia njia kwa kazi nyingine za kujiajiri najiliza ningengngnia hzo ajira sijui ningekuwa na hali gani mda huu
Wewe ungekuwa DP world ungekubali kubaki na hawa wafanyakazi wa kitanzania? Labda kama wataweka adhabu ya viboko kwa wafanyakazi…….,,,😂😂😂😂😂nadhani tunahitaji ufanisi katika hiyo bandari. ukivunja mkataba na mfanyakazi inajulikana, unatakiwa kufanya nini, unatakiwa kumpa haki zake zote na kwa wakati. pia wao walipokabidhiwa bandari walikugaliana watafanya nini na existing employees? mbona kama nakumbuka walisema watawabakisha waendelee kufanya kazi? tunachohitaji wao walete tu wataalamu wapya na mitambo mipya basi, vitu vingine vyote tunavyo na hatungewahitaji kama sio mitambo na utaalamu wa wachache ambao wanatakiwa kuwaleta. wameshaanza ili tuwatimue watupeleke mahakamani.
Kweli kama wanataka ufanisi kwenye hiyo bandari na wasipate hasara wanatakiwa wasikubali kufanya kazi na hawa watanzania wezi wezi na wavivuHata sio suala la mkataba kiufupi kama hawa jamaa kama wanahitaji kazi zao ziende kwa ufanisi wanao uitaji basi wafanye hicho tunacho kisikia tofauti na hapo wanatwanga maji kwenye kinu.
Hili tulijua litakuja , ukishamuuzia mtu mali yako huwezi tena kumpangia cha kufanya .Nimepitia mtandao wa X na kukuta mjadala kwenye kurasa wa Martin Maranja M asese almaarufu MMM kuhusu DP World kusitisha mikataba ya wafanyakazi ili kuleta wafanyakazi wao.
View attachment 2923488
View attachment 2923489
Serikali ambayo ni sehemu ya huu mkataba uliopigiwa kelele na wananchi, itoe maelezo kukanusha ama kufafanua kinachoendelea Bandarini kwa sasa.
Nasoma maoni ya wengi hapa ni kama wanafurahia hili suala.Hili tulijua litakuja , ukishamuuzia mtu mali yako huwezi tena kumpangia cha kufanya .
Tunachotaka ni ufanisiSio kufukuzwa tu, wachapwe fimbo wakati wa kutoka getini. Watu wanafiki sana. Mnaambiwa mkataba una shida mnakimbilia udini. Very stupid. Ngozi nyeusi isionekane hapo bandarini fukuza yote.
Bandari mmenipa wenyewe mnataka kunipangia chakufanya? Nataka niwalete viherehere wote wa humu JF wakafanye kazi za ukuli pale kwahiyo mje na cv zenu Jumatatu sa 2 asubuhi.Boss la DP World emu njoo utueleze nini kinaendelea kwenye bandari yako