Thebroker
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 3,334
- 5,829
Na zembelaMtafuteni Maulidi Kitenge na Hando wapanue midomo…Mama anaupiga mwingiiiiiiiiiiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na zembelaMtafuteni Maulidi Kitenge na Hando wapanue midomo…Mama anaupiga mwingiiiiiiiiiiiii
Unazingua. Mada kalikali ndiyo unachangia tu. Nyingine una-like.Hii kampuni ya Dii Piii Weedi - King Msukuma
Ndio maana jana niliona meli zimekuwa nyingi sana zinazosubiri kuingia bandarini, samia na genge lake ni wahujumu uchumi wa Tanganyika, tuamke usingiziniNimepitia mtandao wa X na kukuta mjadala kwenye kurasa wa Martin Maranja M asese almaarufu MMM kuhusu DP World kusitisha mikataba ya wafanyakazi ili kuleta wafanyakazi wao.
View attachment 2923488
View attachment 2923489
Serikali ambayo ni sehemu ya huu mkataba uliopigiwa kelele na wananchi, itoe maelezo kukanusha ama kufafanua kinachoendelea Bandarini kwa sasa.
Ni *wahu...Ndio maana jana niliona meli zimekuwa nyingi sana zinazosubiri kuingia bandarini, samia na genge lake ni wahudumu uchumi wa Tanganyika, tuamke usingizini
Wewe unafaa kuwa mratibu mkuu wa makuli uje na cv yako bandarini, ulizia ofisi ya Boss la DP WorldUnazingua. Mada kalikali ndiyo unachangia tu. Nyingine una-like.
Humu kuna Boss la DP World limesema tuwe watulivu
Bebeni kichwani npige nayo mbizi toka japan mpaka bongo, wakati mnanipa bandari mlifikiria nini?Alafu mizigoyetu tupitishie wapi boss tuonee huruma.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Zipo wapi ofisi zako mkuu?Wewe unafaa kuwa mratibu mkuu wa makuli uje na cv yako bandarini, ulizia ofisi ya Boss la DP World
16 December 2023
RC Albert Chalamila - Changamoto Meli zimekuwa nyingi
View: https://m.youtube.com/watch?v=nnbxpsEM69o
Sasa Boss la DP World hii ndiyo shukrani yako?Bebeni kichwani npige nayo mbizi toka japan mpaka bongo, wakati mnanipa bandari mlifikiria nini?
Hata jk alisema mgao utakua historia baada ya gesi kupatikana.Duuu! Walisema wafanyakazi hawataondolewa, na wataendelea na kazi, hivyo HAKI zao kulindwa. Sasa vipi tena? [emoji134][emoji54][emoji134][emoji54][emoji134][emoji54]
Hata kama ni ww ungekuwa tiyari kufanya kazi na watu ambao asilimia 80 ya muda wa kazi wanautumia kwenye chai,lunch, na kutongozana?Kwa hiyo wenzio wakikosa kazi wewe fresh tu
Sasa kama akili zenu zimewatuma kunizawadia bandari mnaanzaje kunipangia cha kufanya, kwanza pale sijui nijenge mabanda ya mbwa nianze ufugaji.Sasa Boss la DP World hii ndiyo shukrani yako?
😄😄 Wewe bwana na hiyo adhabu ya viboko, unaniacha hoi...huwataki kabisa wafanyakazi wa bandari!!!!Duuu kwa hiyo ni kweli wafukuzwe ikiwezekana na wachapwe viboko kabisa
Akili za viongozi wa Africa zimeishia kwenye rushwa pekeeSasa kama akili zenu zimewatuma kunizawadia bandari mnaanzaje kunipangia cha kufanya, kwanza pale sijui nijenge mabanda ya mbwa nianze ufugaji.
Safari hii ntawakomesha.Akili za viongozi wa Africa zimeishia kwenye rushwa pekee