Na mimi nawaunga mkono DP world wawafukuze wote pale bandariniβ¦.Watanzania washenzi na wapumbavu sana! Zaidi ya ngono na mipira kwao hakuna mambo mengine ya msingi zaidi ya hayo. Huyo anayeomba asaidiwe kupiga kelele yeye hana mdomo? Au sauti yake imeumbwa kubishania mambo ya akina Pacome hadi wanachomana visu? STUPID!!!
Mambo Ya IGAππNimepitia mtandao wa X na kukuta mjadala kwenye kurasa wa Martin Maranja M asese almaarufu MMM kuhusu DP World kusitisha mikataba ya wafanyakazi ili kuleta wafanyakazi wao.
View attachment 2923488
View attachment 2923489
Serikali ambayo ni sehemu ya huu mkataba uliopigiwa kelele na wananchi, itoe maelezo kukanusha ama kufafanua kinachoendelea Bandarini kwa sasa.
Ningeshangaa na Nitashangaa kama DP world watakubali kufanya kazi na hawa watanzania!Kwa mtu aliye siriasi na kazi hawezi kufanya kazi na waTz.
Alikuwa na ID humu anaitwa Boss wa DPwKwani Boss la DP World linasemaje?
Sasa imeenda wapi?Alikuwa na ID humu anaitwa Boss wa DPw
Wanatabia za wizi na uvivu kama chama chao ccmKwa mtu aliye siriasi na kazi hawezi kufanya kazi na waTz.
Pascal Mayalla aje aseme ni IGA au HIGA imetumika kuwafukuza na ikiwezekana kuwachapa viboko wafanyakazi wa bandari ππππππππMambo Ya IGAππ
Atatoboa vizuri tu na hamna cha kumfanyaHuyo mama Kiukweli hata ndani ya CCM hatoboi saivi, haya mambo ya hovyo Ma askofu walikemea yeye akayaendekeza, tutakutana mwakani.
Ngona tuone itaishaje hiiPascal Mayalla aje aseme ni IGA au HIGA imetumika kuwafukuza na ikiwezekana kuwachapa viboko wafanyakazi wa bandari ππππππππ
Ndio faida ya ccm watu kuwa wajinga wajingaWatanzania washenzi na wapumbavu sana! Zaidi ya ngono na mipira kwao hakuna mambo mengine ya msingi zaidi ya hayo. Huyo anayeomba asaidiwe kupiga kelele yeye hana mdomo? Au sauti yake imeumbwa kubishania mambo ya akina Pacome hadi wanachomana visu? STUPID!!!
Hakuna wanacho jua zaidi ya kuendekeza ngono na majungu maofisini,kazi ya masaa 5 wanaifanya mwezi mzima.Ningeshangaa na Nitashangaa kama DP world watakubali kufanya kazi na hawa watanzania!
Ana muandaa mwijaku na Kitenge kuja kuwajibu πππππUtasikia mambo ni shwariiiiiiiiiiiiiiiiiii bandariniβ¦.Waziri Mbarawa analo la kutueleza kuhusu hili