mwakosyajunior
New Member
- Sep 3, 2015
- 2
- 1
WIZARA YA UTUMISHISitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa
1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa
2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.
Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.
My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.
Stay tuned
Mengi sana tukiyasema mnatuita wachochezi.Nikuulize mleta mada, je ni mambo gani hayaendi sawa? Usipojibu swali hilo basi utakuwa umechanganyikiwa
Huyu kaka mkubwa wa hawa jamaa wanao ishi kwenye mabati atapona kweli ?
Sina namna ya kuliweka zaidi ya hivyo ,jaribu kufukiria huenda ukapata jibuN
Nani huyo tena?
Nasikia kuna figisu pale, alishataka kuachia ngazi jumlaNahisi Kama mwezi wa kwanza yupo
Tatizo si gari bali ni derevaSitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa
1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa
2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.
Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.
My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.
Stay tuned
kwisha habari yakoNikuulize mleta mada, je ni mambo gani hayaendi sawa? Usipojibu swali hilo basi utakuwa umechanganyikiwa
Naona ulikuwa kwenye ubongo wangu,unenicopy niyawazayo.Huyu kaka mkubwa wa hawa jamaa wanao ishi kwenye mabati atapona kweli ?
Hata mimi naona hayaendi kabisaa yani kama vile wamekaa wanamshaangaa badala ya kumsaidia kulisukuma gurudumu la mendeleo dah kweli uongozi Afrika ni kama kujitwisha gunia la misumari.Sitaki kutaja majina ila tetesi zilizopo ni kuwa
1 : Mkuu wa taasisi nyeti ya Serikali mmoja ataondolewa
2: Mawaziri wa baadhi ya wizara kupanguliwa.
Ni kutokana na mkuu analalamika mambo hayaendi kama anavyotaka yaende.
My take: pole yenu mtakaopatwa na mtikisiko.
Stay tuned