Kuna mchawi kakamatwa kunakofanyika Bunge la Katiba akiwa

Kuna mchawi kakamatwa kunakofanyika Bunge la Katiba akiwa

Mwiba

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2007
Posts
7,607
Reaction score
1,750
Kuna habari imenifikia mida hii kuwa kuna mtu anaesadikiwa akiwanga kwenye eneo kunapofanyika mkutano wa bunge lakatiba ,mwenyewe anadai ameanguka akitokea Zaire Congo akielekea Msumbiji ,amedai kuwa katika eneo hilo kuna mzunguko mkubwa wa nguvu za giza ,nguvu hizo ndio zilizosababisha kuingia kwenye mkondo na kumvuta hadi kuangukia hapo.

Baadhi ya mashuhuda wamedai sio kweli kama alikuwa akikatiza anga ya Tanzania kuelekea Mozambiki kwani ameonekana na vikoba akiwa na nakala ya rasimu ya katiba waliokuja nayo jamaa wa ccm ,iliyozua tafrani kiasi ya kuwafadhaisha CCM wenyewe ,hivyo amekuja kuwekeza vitu ili kuwazidii wale wanaoipinga rasimu ya katiba hiyo ya ccm yenye muelekeo mwengine ambaoni tofauti kabisa na ile rasimu ya Warioba iliyotokana na wananchi walio wengi.

Mwanga huyo ameshikiliwa na kusaidiwa kupewa nguo za kujisetiri.
 
wakati aliyewanga si alikuwa Chenge wa CCM ehe.
 
Kuna habari imenifikia mida hii kuwa kuna mtu anaesadikiwa akiwanga kwenye eneo kunapofanyika mkutano wa bunge lakatiba ,mwenyewe anadai ameanguka akitokea Zaire Congo akielekea Msumbiji ,amedai kuwa katika eneo hilo kuna mzunguko mkubwa wa nguvu za giza ,nguvu hizo ndio zilizosababisha kuingia kwenye mkondo na kumvuta hadi kuangukia hapo.

Baadhi ya mashuhuda wamedai sio kweli kama alikuwa akikatiza anga ya Tanzania kuelekea Mozambiki kwani ameonekana na vikoba akiwa na nakala ya rasimu ya katiba waliokuja nayo jamaa wa ccm ,iliyozua tafrani kiasi ya kuwafadhaisha CCM wenyewe ,hivyo amekuja kuwekeza vitu ili kuwazidii wale wanaoipinga rasimu ya katiba hiyo ya ccm yenye muelekeo mwengine ambaoni tofauti kabisa na ile rasimu ya Warioba iliyotokana na wananchi walio wengi.

Mwanga huyo ameshikiliwa na kusaidiwa kupewa nguo za kujisetiri.

Great Thinker?????
 
Lakini hawa watu si nilisikia waliwakilishwa na mheshimiwa Kingunge?
 
Kazi ya ccm hiyo duuu hadi nguvu za gizaaa


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
Great Thinker?????

Kwenye chakula kunakuwa na vitoweleo kibao ,mboga ,samaki,maziwa (mtindi) ,na hapa JF haswa hapa kwenye jukwaaa la siasa refreshment ni lazima,bila ya hivyo unaweza kupata wazimu ,hivi unakumbuka pale bungeni palikamatwa unga ,ukaletwa hadi DSM kuchunguzwa ,wale waliouchunguza hawajulikani mpaka leo wapo wapi.
 
Lakini hawa watu si nilisikia waliwakilishwa na mheshimiwa Kingunge?

Ni kweli hata mimi nilihadithiwa na mtu aliepandisha madudu siku ile ya ufunguzi na kusema mambo ya ajabu ajabu huku akimtaja huyo kingunge .
 
kingunge abanwe aeleze ukweli yeye si ndio mwakilishi wao.
 
HAYA Nayo yamoohhh! hatari sana

Kama huamini uchawi pale bungeni ndio hatari ,tena ,yaani wewe ulikuwa wapi ,kuna mtu alikamatwa anamwagilia unga viti vya bungeni ,mbona ilikuwa habari kuu magezetini ,!
 
Hakuna ubishi, katumwa na Simiyu Yetu huyo kumpiga tafu Mzee Kingunge na Mzee wa Vijisenti. Si unajua Mzee wa Vijisenti anakitamani kile kiti cha Spika ila majukumu yakamzidi. Lazima amkoroge ubongo mzee 6 ashindwe kimazingira. CCM watatumia kila mbinu waiteke hii bunge.
 
Safari hii bunge lina watumishi wa mungu. Wameanza kuumbuka hawa vigagula
 
Back
Top Bottom