Kuna mda wanawake kwa tamaa zao wanafanya watoto wanakosa haki kwa baba zao

Sasa ndugu yangu hapo si inabidi uoe kabisa, watoto wawili kwa mama mmoja
 
Huyo mtoto sio wako.. Anakupanga tuu
 
Ukizaa na mwanamke kutoka ukoo wa shetani kumbuka kigezo chake ni mtoto.
Ukijipendekeza kupeleka mahusiano kwa mtoto ndio kiingilio toka ccm mezani kwenye maliziano.
Fanya kupotezea mpaka mtoto ajekujua ukweli au yeye mwenyewe kuja kwa wazazi wako kumleta.

Kwa sasa radar zinazoma yupo kwa waganga akisubiri bluetooth yako kupair
 
Pima DNA kwanza kimya kimya ,uhakikishe baada ya hapo utakuwa huru kumsaidia mwanao ikiwezekana mchukue huyo mwanamke akili ishakuwa ovyo atamuharibu kabisa.
 
Ila nimekuja kugundua huwezi kuta feminist anatokea Tanga [emoji23][emoji23]wengi ni wachaga hawajui kupika. Sijui kwa nini
🤣🤣🤣🤣Nimeamini Tanga noma jamani,nimepata msaidizi wa nyumbani toka Tanga,ana miaka 22 jamani anapika chakula balaa,bites zote mpaka mabirian leo kaniagiza karanga anataka kupika karanga za mayai tunywe na sharubati Kama chombezo la weekend 🙄🙄.....muwekeni shemeji yenu kwenye maombi maana hizi tashtit za humu ndani🙉
 
 
Wanawake wengi siku hizi hampendi kupikia waume zenu sijui kwanini wakati hilo ni jukumu la jinsia yenu Joannah
 
Wanawake wengi siku hizi hampendi kupikia waume zenu sijui kwanini wakati hilo ni jukumu la jinsia yenu Joannah
Sasa mbona five stars hoteli ma chef ni wanaume?huoni Kama Hilo jukumu wanaume wanalimudu fresh?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…