Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Ukute kajichanga kumtumia mama yake kalia njaa kijijini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good peopleUsifurahie pesa iliyotumwa kwako kimakosa, huwezi kujua ilikuwa na umuhimu gani kwa mhusika.
Mimi kuna mtu alikosea jana alituma kwenye lipa namba 166,000 kucheki namba haipo kwenye mzunguko wa kazi. Nikajua kabisa huyu kachochora ila ndio hivyo namba yangu hawezi kuwa nayo, nikawa nasubiri yeye ndio aripoti M-PESA nisijitie kiherehere kumpigia.
Nimesubiria simu toka jana patupu.
Leo mchana huu ndio voda wamenipigia kwamba kuna mtu ameripoti alituma pesa kimakosa, wanaomba ushirikiano kama ni kweli alikosea. Nikatoa go ahead pesa irudi kwa sababu mtumaji nimeichunguza namba simjui, na hata hivyo watu wangu wana namba zangu zote na sijaongea na mtu biashara ya kiasi hicho. Toka jana wangeshanambia.
Akil hunaKwa hali yako ingekua kweli ungezimia wala usingeweza kuandika uzi.
Kwanza mpaka mda huu tunaongea kama hujaitoa itakuwa ilisharudishwa tayariNIkiwa zangu ghetto nimetulia baada ya kazi nzito ya presentation ya individual assignment hapo majira ya saa 2 asubuhi katika harakati za kutafuta maksi 10 za course work katka module ya remote sensing kuisha.
Nikarud zang geto kunywa chai na mama umut(wife anakiband), sasa nikiwa namalizia kpande cha boga cha mwsho mara kiswaswadu changu kikaingia meseji lakin nikiwa sjaitilia sana maanani hiyo meseji lakni kutokana na wivu wa mama umut akaniambia utaki kusoma meseji kwasababu wanawake zako wa chuo wanakutafuta, nikaona isiwe tabu nikachukua simu nisome meseji ndo nakutana na meseji ya m pesa kwamba nmepokea 76500 kutoka kwa mtu X nikajiuliza mwenyw hii laini nmesajil juzi na hata vocha sjaweka na hakuna hata mtu mmoja anaeijua hii namba nikajisomea kmoyomoyo hili zali la mtende.
JE MNANISHAURI VIPI LIWE ZALI LA MTENDE AU UTU NIWEKE MBELE
Acha wivu"NIkiwa zangu ghetto nimetulia baada ya kazi nzito ya presentation ya individual assignment hapo majira ya saa 2 asubuhi katika harakati za kutafuta maksi 10 za course work katka module ya remote sensing kuisha"
Sasa hicho kitu hapo juu kinahusianaje na content ya mada? Si ungeanzisha tu uzi mwingine kujisifia ulivyopata hizo maksi 10
Mfano wa kuigaGood people
Wivu umetokeaje hapo?Acha wivu
Nishatoa tayr sema lain yangu ni ya lipa sna option ya kutuma pesa na sna uzoefu nayo wakifungia wafungie muda nataka niende kabwe kuchukua kipeto cha mcheleKwanza mpaka mda huu tunaongea kama hujaitoa itakuwa ilisharudishwa tayari
Kwan mm kuandka hvo we umeumia nnWivu umetokeaje hapo?
Lain yang n ya lipa sjuh ntakutana na kisanga ganKwanza mpaka mda huu tunaongea kama hujaitoa itakuwa ilisharudishwa tayari
Sijaeleza maumivu yangu popote but nimekuuliza tu hayo maelezo yanahusianaje na mada? na nikarecommend ungeweka uzi mwingi kuonesha ulivyopata hizo maksi 10Kwan mm kuandka hvo we umeumia nn
Hvo ni tabia za kike acha mara mojaSijaeleza maumivu yangu popote but nimekuuliza tu hayo maelezo yanahusianaje na mada? na nikarecommend ungeweka uzi mwingi kuonesha ulivyopata hizo maksi 10
Hela ya wizi unaeenda kununua mchele umlishe mkeo mjamzito?...stuka mkuu unatengeneza janga.Nishatoa tayr sema lain yangu ni ya lipa sna option ya kutuma pesa na sna uzoefu nayo wakifungia wafungie muda nataka niende kabwe kuchukua kipeto cha mchele
Taja digits tatu za mwishoMkuu nirudishie hiyo hela ni kweli niliituma kimakosa
Wizi gani hapo nimefanya nimesubr wanitafute hola wacha nilebata labda ndo rzik yangHela ya wizi unaeenda kununua mchele umlishe mkeo mjamzito?...stuka mkuu unatengeneza janga.
432Taja digits tatu za mwisho