Tetesi: Kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CHADEMA kuhusu kuacha kuhudhuria vikao vya Bunge. Kuna fukuto la chini kwa chini

Tetesi: Kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CHADEMA kuhusu kuacha kuhudhuria vikao vya Bunge. Kuna fukuto la chini kwa chini

kwa njaa waliyonayo wabunge wengi wa Ufipa mimi naamini ulichosema Bia Yetu! hata kwa logic tu mtu akichezea ugali wa wanao hawezi kuwa rafiki yako!! yani kwa ndani wabunge wote maskini wa roho wamechukia mno na wanamzomea DJ , ila usoni watamchekea sana DJ kinafki!

DJ hajawahi kuwa na akili siku zote huwa anakurupuka tu!! chama ni saccos yake binafsi na daima zidumu fikra zake tu, hataki mtu ampinge!! huyu ni dikteta na mchochezi mkubwa huyu hatakiwi kabisa kurudi bungeni ikibidi hata tumchukue ‘Mshamba’ wa Mtama aje afunge goli la mkono kwa maslahi mapana ya taifa!
Hii nihatari sana.mwanamke. asubuhi yote hii unadamkia umbea na uzushi wa kwenye mitandao badala ya kuangalia shughuli za nyumbani kwako.kama umeolewa mumeo ana hasara na Kama upo kwenu wazazi/walezi wako Wana hasara
 
Kuna fukuto kubwa Ndani ya chadema kuwa uamuzi wa chairman wa Chadema kuamua wabunge wote wa Chadema waingie karantini zimeleta sintofahamu kwa wabunge wengi wa chama hicho

Baadhi ya wabunge wa Chadema wamelalamika kutokushirikishwa katika maamuzi yaliyochukuliwa na chairman Mbowe
Kuna wabunge wa Chadema wanalalamika kuburuzwa kila mara, Wengi wanaona kutokuhudhuria vikao vya bajeti ni kama kuwasaliti wapiga kura wao

Kwa inavyoonekana Chadema ni km bomu linalosubiria kulipuka

My take :chairman kuwa mwanademokrasia acha maamuzi ya kibabe lasivyo chama kitasambaratika
Ccm mmesha anza kuona Chadema wame wazidi kete, kwamba hamjali maisha ya Watanzania, zaidi ya kudai maslahi binafsi.
Mnaona aibu badala ya kupambana na corona nyie kila kitu ni siasa.
Chadema wapo kwa ajilibya Watanzania.
Leteni porojo ila eleweni kabla ya maamuzi ya Chadema kujiweka karantini walikubaliana na kuona hii hali ni mbaya. Lumumba kubalini tuu mmezidiwa fikra na Chadema. Mawazo ya wabunge wenu hata mchango yao bungeni ni urojo mtupu. Utadhani wako kwenye nyimbo za mipasho..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaumia Chadema tuliwaamini ila wametusaliti Watanzania Lazima tuwanyooshe October
Unachoogopa wew ni nini?Si ndio furaha yako?Hivi viwanda kuzusha uongo haviwasaidii!
 
Mkuu pita mtaani Watu wanapiga kazi hawana muda na lockdown, mnaolilia lockdown ni Nyie wa mtandaoni wenye vihela vyenu
Ccm mmesha anza kuona Chadema wame wazidi kete, kwamba hamjali maisha ya Watanzania, zaidi ya kudai maslahi binafsi.
Mnaona aibu badala ya kupambana na corona nyie kila kitu ni siasa.
Chadema wapo kwa ajilibya Watanzania.
Leteni porojo ila eleweni kabla ya maamuzi ya Chadema kujiweka karantini walikubaliana na kuona hii hali ni mbaya. Lumumba kubalini tuu mmezidiwa fikra na Chadema. Mawazo ya wabunge wenu hata mchango yao bungeni ni urojo mtupu. Utadhani wako kwenye nyimbo za mipasho..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ni wasi wasi wako Mkuu, corona inaisha muda si mrefu
Sasa ndio imeshika kasi,imeingia hadi mikoa iliyokuwa bado haina maambukizi!Endelea kupiga domo ila subiri mpendwa wako afe na azikwe kama mbuzi ndio utaelewa!
Wiki ya kilele cha Coron ilikuwa lini?
 
Hivi ni kwa nini Propaganda za CCM ni dhaifu mno? Propaganda isiyofanana na ukweli ni upuuzi mtupu??
Propaganda za CCM huwa na maalum kwa watu wenye akili ndogo. Usitegemee kwa akili ndogo kama ya Bia Yetu anaweza kuandaa propaganda yenye kutumia akili kiasi hata wenye akili wakivutika. Unahitaji mtu mwenye akili sana kuweza kumshawishi mtu mwenye akili.

Ukiangalia humu JF, wapiga propaganda wote wa CCM, ukimwondoa Mwanakijiji, wengine wote ni low minds.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna fukuto kubwa Ndani ya chadema kuwa uamuzi wa chairman wa Chadema kuamua wabunge wote wa Chadema waingie karantini zimeleta sintofahamu kwa wabunge wengi wa chama hicho

Baadhi ya wabunge wa Chadema wamelalamika kutokushirikishwa katika maamuzi yaliyochukuliwa na chairman Mbowe
Kuna wabunge wa Chadema wanalalamika kuburuzwa kila mara, Wengi wanaona kutokuhudhuria vikao vya bajeti ni kama kuwasaliti wapiga kura wao

Kwa inavyoonekana Chadema ni km bomu linalosubiria kulipuka

My take :chairman kuwa mwanademokrasia acha maamuzi ya kibabe lasivyo chama kitasambaratika

Hata hivyo chadema wanatumia nguvu kubwa sana kufanya wanainchi kuona mchango wao bungeni

Juzi nilikuwa naangalia bunge live Chanel ten na start tv,

Mbunge wa chadema akiongea wanaweka matangazo

So inabid wajirecod wenyewe na warushe kwenye mitandao, so hata wasipokuwepo bungeni hakuna mtu atajua
 
Mkuu mda ni mwalimu mzuri, kuna fukuto kubwa

Wabunge wengi wa Chadema wanaweza kuitisha Press muda wowote

Bia yetu acha uongo bwana, au unataka tuseme mambo yenu hapa?

Walikaa kikao na wakakubali na point ni kukaa karantini sio kutokwenda bunge
 
Kuna fukuto kubwa Ndani ya chadema kuwa uamuzi wa chairman wa Chadema kuamua wabunge wote wa Chadema waingie karantini zimeleta sintofahamu kwa wabunge wengi wa chama hicho

Baadhi ya wabunge wa Chadema wamelalamika kutokushirikishwa katika maamuzi yaliyochukuliwa na chairman Mbowe
Kuna wabunge wa Chadema wanalalamika kuburuzwa kila mara, Wengi wanaona kutokuhudhuria vikao vya bajeti ni kama kuwasaliti wapiga kura wao

Kwa inavyoonekana Chadema ni km bomu linalosubiria kulipuka

My take :chairman kuwa mwanademokrasia acha maamuzi ya kibabe lasivyo chama kitasambaratika
Wataje hao wabunge walio lalamika!!! Sio unakua ka kizimuvungala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna fukuto kubwa Ndani ya chadema kuwa uamuzi wa chairman wa Chadema kuamua wabunge wote wa Chadema waingie karantini zimeleta sintofahamu kwa wabunge wengi wa chama hicho

Baadhi ya wabunge wa Chadema wamelalamika kutokushirikishwa katika maamuzi yaliyochukuliwa na chairman Mbowe
Kuna wabunge wa Chadema wanalalamika kuburuzwa kila mara, Wengi wanaona kutokuhudhuria vikao vya bajeti ni kama kuwasaliti wapiga kura wao

Kwa inavyoonekana Chadema ni km bomu linalosubiria kulipuka

My take :chairman kuwa mwanademokrasia acha maamuzi ya kibabe lasivyo chama kitasambaratika
Naamini kuna tatizo katika vichwa/akili za viongozi wa juu wa CHADEMA. Wanachama na Wafuasi wao, ndani na nje ya chama. Siamini kama Mbowe tu ndiye anayewaburuza labda hata viongozi wenzake ni walemavu wa akili. Mifano iko mingi kutetea hoja hii.
1) Bunge la Katiba, walisusa vikao na kuunda UKAWA ambao umesaidia tu kukijenga CHADEMA.
2) Bunge la kwanza, kwenye utawala wa Rais Magufuli, walisusia kusikiliza hotuba yake. Kwa mtu mzima, makini, mwenye hekima na busara, kiongozi aliyechaguliwa na watu kuwawakilisha kwenye chombo kimojawapo cha juu katika Dola, na anaheshimu dhamana hiyo, asingefanya hivyo. Japo walitoka bungeni ni wazi waliendelea kusikiliza hotuba hiyo nje ya bunge na ndiyo maana wamekuwa wakirejea baadhi ya hotuba hiyo kwenye mijadala yao ya madai mbalimbali yenye msingi wa ubinafsi na siyo Taifa. Wanayaimba kila siku kama ndege kasuku.
3) Mara nyingi wamekuwa wakisusia vikao vya bunge vya bajeti ili hali wakidai majimbo yao yapate maendeleo. Pamoja na kususia vikao hivyo bado Serikali huwalipa mishahara, posho na pesa ya mfuko wa jimbo ambayo baadhi ya wabunge huitumia kwa maslahi binafsi.
4) Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Mtukufu Mbowe aliwaagiza wagombea wote kususia na wakatii bila kuuliza kulikoni na madhara yatokanayo na kufanya hivyo.
5) Jana, M/Kiti wao, Mtukufu Mbowe, tena kawaagiza kususia kikao cha bajeti wakajifungie kwenye makazi yao hapo Dodoma, na wala wasiende kwenye majimbo yao, ati kwa kuogopa kuambukizwa COVID-19 kana kwamba hao wabunge wana akili za kitoto zisizojua athari za kutojikinga dhidi ya magonjwa ya mlipuko na usalama wa maisha ukibaki mikononi mwa wazazi.
6) Bila kusahau wanaCHADEMA, wakati wa Uchaguzi Mkuu, 2015, walivyokuwa wanazungusha mikono (ati ndiyo mabadiliko) na kupiga deki barabara ili Mabwana zao wapite.

Ni wazi kabisa, pasipo na shaka Mbowe ni BABA LAO. Na viongozi wa CHADEMA na wafuasi wao wamebaki kulamba na kumeza kila linalosemwa na kutendwa na Mtukufu wao Mbowe.
 
Wamelazimishwa kufanya maamuzi ambayo hawajashirikishwa

Tusubiri bomu la linaenda kulipuka

Nyie wabunge wenu mbona wanakuja mpaka getin kupata network ya kusaini then wanasepa?
 
Hivi hujaacha tu kunywa banana na supu ya mapupu...
Kuna fukuto kubwa Ndani ya chadema kuwa uamuzi wa chairman wa Chadema kuamua wabunge wote wa Chadema waingie karantini zimeleta sintofahamu kwa wabunge wengi wa chama hicho

Baadhi ya wabunge wa Chadema wamelalamika kutokushirikishwa katika maamuzi yaliyochukuliwa na chairman Mbowe
Kuna wabunge wa Chadema wanalalamika kuburuzwa kila mara, Wengi wanaona kutokuhudhuria vikao vya bajeti ni kama kuwasaliti wapiga kura wao

Kwa inavyoonekana Chadema ni km bomu linalosubiria kulipuka

My take :chairman kuwa mwanademokrasia acha maamuzi ya kibabe lasivyo chama kitasambaratika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom