Tetesi: Kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CHADEMA kuhusu kuacha kuhudhuria vikao vya Bunge. Kuna fukuto la chini kwa chini

Mbowe akiunguruma pale ufipa wafuasi wa Chadema hujificha chini ya meza
 
Kweli Mkuu Chadema wasingekimbia bunge ila wangepiga nyungu
 
Tusubiri bomu kulipuka
Kama wabunge hawakushirikishwa hata mimi nakubaliana na wewe siyo sawa ila pamoja na hayo ushahidi ni muhimu kutuletea hapa ku validate HOJA yako
 
Umeona wabunge waliofariki ni watatu na hao wengine watakuwa kumi na tatu, ilà wabunge wametajwa kwa sababu ni wabunge. Hao kumi na tatu kiuhalisia wanaweza kuwa wengi zaidi, sina facts hivyo nasema HUENDA!!
Simple logic ni kuwa mkusanyiko wowote wa watu huwa ni kichocheo kwa covid 19 na hivyo huendea kwa haraka zaidi.

Hivyo hivyo kama vifo bungeni ni 3 kati ya wabunge 300 na nje ya bunge ni 13 kati ya watu 50,000,000 utaona hapo ratio iliopo. Uraiani kila watu wastani wa 4,000,000 kukpmetokea marehemu 1. Na bungeni kila kwenye wabunge 100 kumetokea marehemu 1
 
Kwa hili Chadema wametusaliti Watanzania Lazima tuwanyooshe October
Hata kama wangekuwa wengi kiasi gani Mbunge ni Mwakilishi wa Wananchi sasa kama yeye anakimbia vita sasa nani ataongoza mapigano kwa wapigakura wao??
 
Zingatia makosa ya kimtandao Tumechoka kuchangia watu na mnampa shida Melo kuitwa mahakamani Kwasababu ya uzushi wenu
Umeona wabunge waliofariki ni watatu na hao wengine watakuwa kumi na tatu, ilà wabunge wametajwa kwa sababu ni wabunge. Hao kumi na tatu kiuhalisia wanaweza kuwa wengi zaidi, sina facts hivyo nasema HUENDA!!
 
Hawa Chadema wanafikiria Rais wa Nchi ni sawa na kuwa meya wa ubungo
Wewe acha ukichaa Rais huwezi mlinganisha na Mbunge!! Rais ni nembo ya nchi analindwa sana tu kama kuna tatizo lolote nchini yeye anakuwa wa mwisho kuumizwa unafikiri Rais anatakiwa kuwa mbele? Haijawahi tokea duniani labda kwenye Saccos ya Chadema!
 
Kwanini Mbowe awalazimishe wabunge kujitenga ? Huu Sio udkteta ?
 
Wewe mpumbavu sio kila kitu ulete siasa.
Wabunge ni binadamu kama ulivyo wewe,wana haki ya kuishi na usalama wa afya zao.
Hivi Nkamia nae ni Chadema?Au hukusikia maoni yake?
Ndassa na Mahiga ni Chadema?Au hukusikia vifo vyao?
Bado huelewi?Au kwakuwa wewe kazi yako ni kujificha nyuma ya keyboard ukiwa na mumeo anakutomasatomasa hapo kitandani kwenu basi ile raha ya kuguswaguswa unapost chochote tu kulingana na mihemko unayopata hapo?
Binadamu wenzio wako hatarini pale bungeni,sio Chadema sio CCM,ni binadamu wale wote,so acha kuandika upumbavu humu,shenzy type!
 
Mbowe ni mtu hatari sana ukimpinga rejea sumaye alivyotishiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…