Kuna mgombea uongozi wa CHADEMA ngazi ya Taifa anaweza kuenguliwa kabla ya Uchaguzi asipojirekebisha

Kuna mgombea uongozi wa CHADEMA ngazi ya Taifa anaweza kuenguliwa kabla ya Uchaguzi asipojirekebisha

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Kwakua tayari inasemekana amejiandaa kwa hali hiyo endapo hilo litatokea, na kwamba anayo destination mpya ya uhakika ya kufanikisha malengo yake.

Kwa makusudi,
mgombea huyo anasema na kutenda kinyume na katiba ya chadema ili tu achukuliwe hatua, halafu kisha afanye mass defections aloipanga na baadhi ya wafuasi wake kuelekea chama kipya alichokiandaa kumpokea.

My friends ladies and gentlemen, kwa yanaoyendelea chadema,
unadhani watafika salama kweli kwenye uchaguzi wao wa viongozi wa ngazi ya Kitaifa?

Maana kustahimiliana naona kama kumefikia mwisho vile?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
 
Kwakua tayari inasemekana amejiandaa kwa hali hiyo endapo hilo litatokea, na kwamba anayo destination mpya ya uhakika ya kufanikisha malengo yake.

Kwa makusudi,
mgombea huyo anasema na kutenda kinyume na katiba ya chadema ili tu achukuliwe hatua, halafu kisha afanye mass defections aloipanga na baadhi ya wafuasi wake kuelekea chama kipya alichokiandaa kumpokea.

My friends ladies and gentlemen, kwa yanaoyendelea chadema,
unadhani watafika salama kweli kwenye uchaguzi wao wa viongozi wa ngazi ya Kitaifa?

Maana kustahimiliana naona kama kumefikia mwisho vile?🐒

Mungu Ibarki Tanzania

Una maana mwamba bado kakomaa?

IMG_20250107_112313.jpg


Kwani kipi kisichokuwa wazi?
 
Nccr, cuf, chadema wanaelekea huko wasipokuwa makini. Demokrasia ichukue mkondo wake
 

Attachments

  • downloadfile-29.jpg
    downloadfile-29.jpg
    100 KB · Views: 4
Back
Top Bottom