Kuna mikutano ya siri kutuondoa watu weusi duniani

sasa wakituondoa watafaidika nini? sisi tukiwa hai ndio wanatufaidi kama haujui, maiti haina msaada wowote. wao wanatuhitaji sana kwakua sisi ndio soko la BIDHAA zao, hata kwa kufanya nao BIA$HARA kwa MKOPO wao wanafurahi tu ili, tushindwe kurejesha mkopo, kisha watunyang'anye RA$ILIMALI zetu kwa kalamu na karatasi.
HUZUNI ni kwamba baadhi ya WAZUNGU wenye AKILI kubwa kila uchwao wana_GUNDUA teknolojia mbali mbali za kurahisisha MAISHA yao hapa DUNIANI,
WAKATI huo WABONGO wengi wao wana_KUNDUA miili ya wapenzi wao.
 
Thread ya hovyo kuwahi kuisoma Toka nimejiunga jamii forum
Kwenye Maneno yote aliyoandika Mtoa Mada hamna note hata moja imekugusa.
Hakuna kitu cha ovyo, Wewe ni wa hovyo.
Kazungumza Kuhusu Future.
Future ya Afrika.
Afrika inaelekea Wapi?
Afrika imefikia wapi?
Historia Haisemi Vizuri kuhusu Afrika.
Je, leo inasema vipi kuhusu Afrika?
Kuna utofauti gani kati ya Historia na Leo ya Afrika with the comparison to Asia ,Europe na America?
Mababu walishindwa kujilinda Wakatawaliwa.
Mali zikaibiwa.
Kikazaliwa kizazi cha Wakombozi Wakakomboa Afrika.
Walikuwa na dhima na dhamira
Afrika iwe huru.
Je, kweli Afrika ipo huru?
Sawa, Afrika tayari imekombolewa kiasi.
Je, ukombozi kamili utapatikana lini?
Njaa imekusumbua takribani Miaka miwili ,miaka yote miwili ulaji wako wa shida, chakula kinapatikana kwa shida.
Sababu sababishi ulidhulumiwa mali ikiwemo mashamba na chakula, kwa sababu Mdhulumu alikuwa anakuzidi nguvu ,Nguvu yake ni Maarifa yake Akakutapeli.
Leo haki inapatikana siyo kamili.
Mtetezi kakutetea kaenda zake.
Kweli unashindwa kutafuta haki kamili,
Uwe huru?
Je, vipi akikurudi tena Mdhulumu, utamshinda ingawa bado kakuzidi Nguvu na Maarifa?
Afrika Amka.
 
Sikutaka kureply humu ila nimependa sana hii reply yako. Post yako ni fupi ila imebeba ujumbe mkubwa sana.
It's a time to wake up, tuachane na hii victim mentality ndo inatufelisha Waafrika! 🙏
 
Kuna swali la kujiuliza hapa; yule binadamu wa kwanza kuumbwa, alikuwa muarabu, mzungu, mhindi au mwafrika? Je, na hizi rangi zingine zilitokea wapi au zilibadilikaje badilikaje kutoka kwa binadamu wa kwanza?​
 
Wakitaka kumaliza waafrica hakuna wa kuzuia, mzungu hana haja ya kuumiza kichwa akiwapa watu weusi silaha watauwana wao wenyewe au akipewa pesa kiongozi mweusi hata bara zima atalimaliza

Africa ni shamba Lao lenye rutuba wanavuna watakavyo na huku ndio soko Lao kubwa la dawa,silaha na bidhaa nyingi.
 
Umelala?


Tumewastukia zamani, siku hizi utamuua asiye na pesa tu. Wenye pesa wote hatuna huo utambulisho wako wa "mtu mweusi". Bisha:



Rngi nyeupe tunakula vidonge au gtunajidunga sindano. Nywele za kipilipili tunakula vodoinge zisiote, tunanunuwa za maiti wa India na Brazil.

Hata mabaki ya kwenye magoti na vifundo siku hizi hatuna, tumeshapata Mwarubaiuni.

Kama unabisha katazame bunge letu wabunge wa kike, kama siyo wengi, wote wamekuwa Waarabu kama Azan Zungu.

Usitudharau wenye pesa zetu, kama kuna weusi waliobaki labda kijijini kwenue huko.
 
Sawa ISIS wakija hapa utawaonyesha huo weupe wako wa mkorogo watajua wewe ni muarabu uliyevaa kimini na ni mcha mungu watakupa heshima yako.
 
Huko ndiyo bado kutawaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…