Kuna 'misinformation' inaendelea kuhusu Uber/Bolt kufunga biashara Tanzania..

Kuna 'misinformation' inaendelea kuhusu Uber/Bolt kufunga biashara Tanzania..

Interest

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2015
Posts
3,434
Reaction score
7,072
Sababu za tishio la kufunga biashara kwa makampuni haya sio sababu halisi kama wengi wanavyozipokea. Ukisoma statements zao, zimeandikwa kimkakati kwamba LATRA wameongeza new charges ya 15%. Seriously?!.

Sio kweli kwamba Serikali imeweka kodi mpya ya 15%. Uhalisia ni kuwa LATRA wamewataka Uber na Bolt wa-charge 15% commision kwa kila trip na sio 20 au 25% kama walivyokua wanafanya.

Kimsingi, madereva wa hizi huduma wamekuwa wakilalamika kukatwa hela nyingi kwa trip (20-25%) na hizi kampuni, hivyo LATRA imeingilia Kati kushusha hizo rates ili madereva wanufaike.

Labda niulize.. Kwani ni mara ngapi abiria ukitumia BOLT/UBER umekuwa ukimsikia dereva analalamika kuhusu malipo? Mara ngapi wamekuwa wakikataa kwenda baadhi ya trips kwa sababu hailipi? Mpaka imekuwa kawaida.

Zinachofanya hizi kampuni ni kuibua taharuki ili Serikali iufyate ziendelee kutengeneza faida kubwa na kuwabana madereva. Ujanja ujanja tu wa kibiashara.

Media zetu nazo..... Au basi!!
 
Sio kweli kwamba Serikali imeweka kodi mpya ya 15%. Uhalisia ni kuwa LATRA wamewataka Uber na Bolt wa-charge 15% commision kwa kila trip na sio 20 au 25% kama walivyokua wanafanya.

Kimsingi, madereva wa hizi huduma wamekuwa wakilalamika kukatwa hela nyingi kwa trip (20-25%) na hizi kampuni, hivyo LATRA imeingilia Kati kushusha hizo rates ili madereva wanufaike.

Labda niulize.. Kwani ni mara ngapi abiria ukitumia BOLT/UBER umekuwa ukimsikia dereva analalamika kuhusu malipo? Mara ngapi wamekuwa wakikataa kwenda baadhi ya trips kwa sababu hailipi? Mpaka imekuwa kawaida.

Zinachofanya hizi kampuni ni kuibua taharuki ili Serikali iufyate ziendelee kutengeneza faida kubwa na kuwabana madereva. Ujanja ujanja tu wa kibiashara.

Media zetu nazo..... Au basi!!
Kumbe!!! Sasa Kule kulalamika na hicho kidogo walichokuwa wanapata kunasababisha wakose kabisa sasa. Yaani bora upate kidogo kuliko kukosa na hicho kidogo. Mawazo yangu tu. Watu wanatafuta kitu cha kufanya hawapati!!!!
 
Sababu za tishio la kufunga biashara kwa makampuni haya sio sababu halisi kama wengi wanavyozipokea. Ukisoma statements zao, zimeandikwa kimkakati kwamba LATRA wameongeza new charges ya 15%. Seriously?!.

Sio kweli kwamba Serikali imeweka kodi mpya ya 15%. Uhalisia ni kuwa LATRA wamewataka Uber na Bolt wa-charge 15% commision kwa kila trip na sio 20 au 25% kama walivyokua wanafanya.

Kimsingi, madereva wa hizi huduma wamekuwa wakilalamika kukatwa hela nyingi kwa trip (20-25%) na hizi kampuni, hivyo LATRA imeingilia Kati kushusha hizo rates ili madereva wanufaike.

Labda niulize.. Kwani ni mara ngapi abiria ukitumia BOLT/UBER umekuwa ukimsikia dereva analalamika kuhusu malipo? Mara ngapi wamekuwa wakikataa kwenda baadhi ya trips kwa sababu hailipi? Mpaka imekuwa kawaida.

Zinachofanya hizi kampuni ni kuibua taharuki ili Serikali iufyate ziendelee kutengeneza faida kubwa na kuwabana madereva. Ujanja ujanja tu wa kibiashara.

Media zetu nazo..... Au basi!!

Mwisho wa siku LATRA ndo wangeingia hewani kufanya clarification ya kilichotokea. Lakini kwa sasa kila mtu anaongea na kuamini kivyake. Baadhi ya hizi taasisi za serikali sijui zinaongozwa na watu gani! Yaani watu wamesinzia mnoooo!

Sad!
 
Kumbe!!! Sasa Kule kulalamika na hicho kidogo walichokuwa wanapata kunasababisha wakose kabisa sasa. Yaani bora upate kidogo kuliko kukosa na hicho kidogo. Mawazo yangu tu. Watu wanatafuta kitu cha kufanya hawapati!!!!

Mkuu, hawa jamaa hawawezi kufunga biashara, wanatishia tu. Kukata 25% kwa trip wakati gari, mafuta na labour hugharamii sio makato rafiki.

Pia concern ya msingi hapa ni huo upotoshaji tu ambao unaibebesha lawama LATRA wakati inatetea maslahi ya watu wake.
 
Mwisho wa siku LATRA ndo wangeingia hewani kufanya clarification ya kilichotokea. Lakini kwa sasa kila mtu anaongea na kuamini kivyake. Baadhi ya hizi taasisi za serikali sijui zinaongozwa na watu gani! Yaani watu wamesinzia mnoooo!

Sad!

Uko sahihi mkuu, LATRA walipaswa kuiweka sawa hii ili kuepusha huu upotoshaji.
 
Sababu za tishio la kufunga biashara kwa makampuni haya sio sababu halisi kama wengi wanavyozipokea. Ukisoma statements zao, zimeandikwa kimkakati kwamba LATRA wameongeza new charges ya 15%. Seriously?!.

Sio kweli kwamba Serikali imeweka kodi mpya ya 15%. Uhalisia ni kuwa LATRA wamewataka Uber na Bolt wa-charge 15% commision kwa kila trip na sio 20 au 25% kama walivyokua wanafanya.

Kimsingi, madereva wa hizi huduma wamekuwa wakilalamika kukatwa hela nyingi kwa trip (20-25%) na hizi kampuni, hivyo LATRA imeingilia Kati kushusha hizo rates ili madereva wanufaike.

Labda niulize.. Kwani ni mara ngapi abiria ukitumia BOLT/UBER umekuwa ukimsikia dereva analalamika kuhusu malipo? Mara ngapi wamekuwa wakikataa kwenda baadhi ya trips kwa sababu hailipi? Mpaka imekuwa kawaida.

Zinachofanya hizi kampuni ni kuibua taharuki ili Serikali iufyate ziendelee kutengeneza faida kubwa na kuwabana madereva. Ujanja ujanja tu wa kibiashara.

Media zetu nazo..... Au basi!!
Uber haijaondoka ipo mkuu nadhani wameyazungumza na Latra wakaelewana
 
Lakini bado wapo ukiachana na boda it seems wanaendelea kama kawaida
Basi itakuwa wameyamaliza. Hizi taarifa zinapaswa kuwa wazi bila kupepesa.

Again, hata bolt wanatishia tu, hawawezi kuondoka. I hope wamerekebisha rates zao.
 
Basi itakuwa wameyamaliza. Hizi taarifa zinapaswa kuwa wazi bila kupepesa.

Again, hata bolt wanatishia tu, hawawezi kuondoka. I hope wamerekebisha rates zao.
Sijajua ila hiki nachokwambia ni uhakika
 
Embu chukulia mfano umelipwa 6,000/- kwa trip n then tutoe 25% ya uber pia toa 2,800/- ya lita moja ya mafuta unabak na Sh.1,700/- apo bado hujaweka kununua vocha ya kumpigia mteja,bando la kuwa hewan muda wte,uchakavu wa gari na mengineyo.
Kiufup hyo biashara ni kucheza pata potea. Inakuja kuwa kama biashara ya daladala.
 
Media aziandiki kwa undani ndio shida serikali inaonekana ndio mbaya kumbe hizo kampuni n za kinyonyaji Waondoke tuuh wote tutatumia hizo za hapa hapa
 
Embu chukulia mfano umelipwa 6,000/- kwa trip n then tutoe 25% ya uber pia toa 2,800/- ya lita moja ya mafuta unabak na Sh.1,700/- apo bado hujaweka kununua vocha ya kumpigia mteja,bando la kuwa hewan muda wte,uchakavu wa gari na mengineyo.
Kiufup hyo biashara ni kucheza pata potea. Inakuja kuwa kama biashara ya daladala.

Exactly, hapo ndio uone jamaa Wana haki ya kushusha Hadi 15% kwa kweli.

Angalau makampuni yangekuwa yanatoza hiyo 25% per day. Sio per trip. Ni biashara kichaa.
 
Media aziandiki kwa undani ndio shida serikali inaonekana ndio mbaya kumbe hizo kampuni n za kinyonyaji Waondoke tuuh wote tutatumia hizo za hapa hapa

Media zetu siku hizi kwa kiasi kikubwa ni hopeless. Sad to say so.

Regulatory bodies ziweke mazingira mazuri kwa pande zote kupata faida. Win win situation. Asionewe mwenye kampuni lakini pia asionewe dereva kwa kisingizio cha biashara huria.

Kwa mfumo uliopo sasa wa kutoza 25% kwa trip, unakandamiza upande mmoja.
 
Sababu za tishio la kufunga biashara kwa makampuni haya sio sababu halisi kama wengi wanavyozipokea. Ukisoma statements zao, zimeandikwa kimkakati kwamba LATRA wameongeza new charges ya 15%. Seriously?!.

Sio kweli kwamba Serikali imeweka kodi mpya ya 15%. Uhalisia ni kuwa LATRA wamewataka Uber na Bolt wa-charge 15% commision kwa kila trip na sio 20 au 25% kama walivyokua wanafanya.

Kimsingi, madereva wa hizi huduma wamekuwa wakilalamika kukatwa hela nyingi kwa trip (20-25%) na hizi kampuni, hivyo LATRA imeingilia Kati kushusha hizo rates ili madereva wanufaike.

Labda niulize.. Kwani ni mara ngapi abiria ukitumia BOLT/UBER umekuwa ukimsikia dereva analalamika kuhusu malipo? Mara ngapi wamekuwa wakikataa kwenda baadhi ya trips kwa sababu hailipi? Mpaka imekuwa kawaida.

Zinachofanya hizi kampuni ni kuibua taharuki ili Serikali iufyate ziendelee kutengeneza faida kubwa na kuwabana madereva. Ujanja ujanja tu wa kibiashara.

Media zetu nazo..... Au basi!!
sisi wa tarime hili halituhusu
 
Back
Top Bottom