Kuna 'misinformation' inaendelea kuhusu Uber/Bolt kufunga biashara Tanzania..

Kuna 'misinformation' inaendelea kuhusu Uber/Bolt kufunga biashara Tanzania..

Ww umeongea tatzo moja tu kuna matatzo zaidi ya moja

Moja latra wanataka kuongeza kiasi kikubwa cha nauli sababu mafuta yamepanda wote tunajua mafuta yamepanda kwa tsh 300+ lakini wanatala kupandisha nauli zaid ya 1k

Pili Latra wanaka nauli zipande then commission ishuke

Tatu kuna swala la kodi ya serikali

Yoye kwa yote bado kuna meza ya mazaungumzo hopefully watayamaliza

Lengo hapa ni kufafanua kuwa hiyo 15% sio tozo wala kodi mpya kama ilivyotaka kuaminishwa. Bali ni punguzo la kamisheni zinazotozwa na makampuni kuwabana madereva kwa muda mrefu sasa.
 
Mkuu, hawa jamaa hawawezi kufunga biashara, wanatishia tu. Kukata 25% kwa trip wakati gari, mafuta na labour hugharamii sio makato rafiki.

Pia concern ya msingi hapa ni huo upotoshaji tu ambao unaibebesha lawama LATRA wakati inatetea maslahi ya watu wake.
Tatizo serikali inawatoza kiasi gani hao bolt&uber? App yao wanatumia kiasi gani kuirun?
 
Kwa ufupi LATRA ni regulatory body ya hizi biashara za usafirishaji na ndio inatoa leseni kwa haya makampuni. So Ina wajibu wa kuratibu mwenenedo wake ikiwemo masuala ya bei. Biashara huria haina maana unaweza kujiamulia utakavyo, kuna governing rules lazima uzifuate. Muwe mnajisomea ili kujifunza vitu vidogo vidogo kabla ya kuja kujichoresha.
Nilijua tu, approach yako ni ya watu ambao mara nyingi hujifanya wajuaji wakati hawana lolote. Huokota kamstari kamoja na kuanza kubwatuka kana kwamba wanajua wakati ni watu wa kuriri! Kinachobishaniwa kulingana na maelezo ni makubaliano baina ya makampuni na wenye magari, sio bei (nauli). Kinachobishaniwa ni commission, ambayo ni suala la makampuni na wenye magari. LATRA inawezaje kupanga commission? Na kama inapanga ni sahihi kuingilia eneo hilo? Usijibu kwa kukariri, ujibu kama mtu mwenye akili timamu!
 
Ww umeongea tatzo moja tu kuna matatzo zaidi ya moja

Moja latra wanataka kuongeza kiasi kikubwa cha nauli sababu mafuta yamepanda wote tunajua mafuta yamepanda kwa tsh 300+ lakini wanatala kupandisha nauli zaid ya 1k

Pili Latra wanaka nauli zipande then commission ishuke

Tatu kuna swala la kodi ya serikali

Yoye kwa yote bado kuna meza ya mazaungumzo hopefully watayamaliza
Wewe ndio naona umeleta mambo ya msingi yanayoingia akili!
 
Nilijua tu, approach yako ni ya watu ambao mara nyingi hujifanya wajuaji wakati hawana lolote. Huokota kamstari kamoja na kuanza kubwatuka kana kwamba wanajua wakati ni watu wa kuriri! Kinachobishaniwa kulingana na maelezo ni makubaliano baina ya makampuni na wenye magari, sio bei (nauli). Kinachobishaniwa ni commission, ambayo ni suala la makampuni na wenye magari. LATRA inawezaje kupanga commission? Na kama inapanga ni sahihi kuingilia eneo hilo? Usijibu kwa kukariri, ujibu kama mtu mwenye akili timamu!

Hebu toka kwanza kwenye hiyo attack vs defense mode ili uweze kuelewa hata kinachojadiliwa.

Msingi wa thread ni hiyo misinformation kuhusu 15%. Soma tena ukiwa sober-minded, utaelewa, hakuna haja ya mabishano.

Sawa mtaalamu wa commission?
 
Hebu toka kwanza kwenye hiyo attack vs defense mode ili uweze kuelewa hata kinachojadiliwa.

Msingi wa thread ni hiyo misinformation kuhusu 15%. Soma tena ukiwa sober-minded, utaelewa, hakuna haja ya mabishano.

Sawa mtaalamu wa commission?
Ungekuwa na akili ya kukutosha usingenishambulia kwa kile nilichokiandika, na badala yake ungeelewa haraka kitu gani ninahitaji kufafanuliwa. Wakati mwingine usiwe unajaribu kujifanya Jack of traders.....
 
Ungekuwa na akili ya kukutosha usingenishambulia kwa kile nilichokiandika, na badala yake ungeelewa haraka kitu gani ninahitaji kufafanuliwa. Wakati mwingine usiwe unajaribu kujifanya Jack of traders.....
Jack of all traders...
 
Unajua mambo mengi ni upuuzi na kukosa shukrani.

Hao bolt na Uber ni makampuni binafsi ambayo waanzilishi wake walikuja na idea ya watu binafsi kutumia magari yao binafsi kujipatia passive income na sio kuajiri madereva tax na kuwapa mishahara. Hata ukisoma utambulisho wa wamiliki wa hizi apps utaona wanakuelezea idea yao ni very simple,haijakaa kimambi mengi. Ni simply a hobby thing na sio Career au fulltime job or occupation ingawa wewe ukitama iwe hivyo ni sawa but according to u personally sio according to them.

Haya mashirika si mashirika ya uma au ya serikali kusema hawa madereva wana haki ya kuwacontrol kwa lolote lile.

Its a free economy and tuna expect forces of Demand and Supply ndizo zitafanya kazi yake. Inasikitisha sana tena sana mamlaka ya kiserikali kama Latra kuamua kuyapangia haya mashirika ambayo kimsingi serikali nadhani walitakiwa kuyapa kila aina ya support sababu yamesaidia serikali kuwapatia raia kipato cha ziada katika uchumi huu wa ajira chache na mishahara finyu.

Hivi haya makampuni yakifunga biashara na kuondoka serikali na hawa madereva wa hizo gari watapata nini zaidi ya kurudi nyuma mara dufu maana hizo gari hazitakuwa na kazi tena kibiashara na mapato yaliyokuwa yakipatikana yatatoweka.

Kwann serikali huwa inaingilia mambo na kuyaharibu kisha wanajifanya wao ndio wanakuja kutoa msaada wakati wao ndio chanzo.

Sasa unalalamika bolt au uber kuchukua hiyo 20% hivi kubabako wewe na hiyo serikali yako ya CCM mlishawahi kuja na wazo gani ambalo linaweza kuwapatia kipato cha 80% kama hicho mnacholalamikia.

Shida hapa sio Uber na Bolt bali shida ni serikali na hawa madereva wasiojua mchawi ni nani.

Mtu anakupa deal halafu yeye katika kipato anachukua 20% anakuachia 80% then unasema anakunyonya. Aisee hivi mtu unatakiwa kuwa selfish kiasi gani. Hii 80% inatafunwa na serikali ndio maana haonekani kuwa ina faida. Hebu wazia bei za mafuta, gharama za vipuri, service za gari, vibali, tiketi za matrafiki, bima ya gari, hela ya m'miliki wa gari. Hivi vyote ndivyo vinakamua faida ya huyu dereva na si hawa makampuni.

Mbona watu ambao wanamiliki magari yao binafsi na wanafanya hizi vitu huwezi sikia wanalalamika sana sababu hawana mahesabu kama ya hawa madereva wanaopewa magari kimkataba na wamiliki.

Sasa leo watu wachache wasiokuwa na shukurani wala akili wanaona bora kampuni ifungwe kila mtu akose kulikoni wangeacha kampuni zifanye biashara kwa mujibu wa kanuni za soko huria.

Kama mtu hautaki au unaona unanyonywa simply futa tu hiyo app achana nayo weka app ya CCM wakupe abiria na wakukate hiyo 15% maana wao ndio wanajua sana biashara na si Uber na bolt[emoji34][emoji34][emoji34].

Kila kukicha mnalalamikia uwekezaji mzuri Tanzania ambao hauwagharimu rasilimali zenu , mnaupata kama huu mnaleta ufala. Ila wakija wawekezaji wanapiga madini, mawe mafuta gesi wala hatuoni kama hapo tunanyonywa. Ila huyu ambaye anakupa mchongo kwa kutumia technology mnamuona mnyonyaji.

Aiseeeeeee hii inchi ina ufala mwingi sana. Wacha jamaa wakimbilie nchi zingine wanazojielewa. Mtu anakupa lift unampangia ruti ya kupita [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
Hawa ni vibaka wakubwa afadhali tu waondoke. We can live without them.
Kwan kabla hawajaja mlikuwa mnakitu mnapata kwa mfumo kama huo waliotengeneza....?!
Eti wewe?! [emoji34][emoji34][emoji34]
 
Embu chukulia mfano umelipwa 6,000/- kwa trip n then tutoe 25% ya uber pia toa 2,800/- ya lita moja ya mafuta unabak na Sh.1,700/- apo bado hujaweka kununua vocha ya kumpigia mteja,bando la kuwa hewan muda wte,uchakavu wa gari na mengineyo.
Kiufup hyo biashara ni kucheza pata potea. Inakuja kuwa kama biashara ya daladala.
25% ya 6000 ni 1500

6000 kutoa 1500 unabakia na 4500.

Mzungu kakupa deal ya 6000 yeye kaomba umpatie buku jero tu wewe bakia na 4500.

Serikali yako ya kishirikina hii isiyojua vibaya kwanza wamekushindilia tozo za ajabu ajabu katika vocha, miamala ya pesa. Pili mafuta wamejaza matozo ya kipuuzi hadi yamepanda bei lita inauzwa 2800.

Wamakuwekea vibali ambavyo havina mbele wala nyuma. Pia hawajakutengenezea hata mfumo wa wewe kuweza kukopa gari yako ili uweze kununua yako na usihangaike na za watu za kupeleka hesabu.

Wewe huyo unamuona mzungu adui ila CCM mnafiki namba moja afrika ndie rafiki yako?!

Kama wewe upo vema katika kudai haki yako hebu jiulize kabla ya Uber na Bolt kuja hiyo 6000 ungewezaje kuwa na uhakika wa kuitengeneza kila lisaa tena bila kuhangaika simply kuwasha simu tu na unapata mteja tena hata hamjuani.

Unashindwa kweli kutambua nani ni adui hapa?!

Hii serikali nahisi ni ya kichawi na wameturoga vijana hadi tunashindwa kuona ubaya wao.

Hivi wapi utapata mtu ambaye anaweka miundo mbinu ya kiteknolojia, ana maserver ya kucontrol, wafanyakazi wa kuwalipa 24/7, analipa kodi chini kwao, analipa wataalamu wa IT wakubwa kudevelop na kusimamia Software yake ili kukuwekea wewe kabwela dili la kuingiza mpunga mzuri ambao serikali yako imefeli kwa miaka 60 kukitengenezea hata kibarua cha uhakika wa kukupa wewe 1000 kwa siku.

Then huyu mtu anakwambia kwa kila utachopata mimi naomba niachie tu 25% ya mapato ili niweze kulipia gharama za kuiendesha hii system, inayobakia utajua mwenyewe utapeleka wapi na maisha yako. Wewe unamwita huyu mtu eti mnyonyaji au mchoyo.

Dah K*m*nina waafrika aliyewalaani amewalaani vizuri. Ndio maana hamkomboki mbwa nyie. Na wacha hawa majizi watawanyoosha mbwa kabisa nyie. Magu alikuwa anawatetea kutwa mkasema kwa mabaya mzee wa watu MUNGU kamchukua akapumzike maana hamjui zuri sasa wacha hawa waliopo wawatendee ubaya mnaoutaka maana wajaalaana msiojua vibaya kazi kuwashambulia wanaowatetea na kuungana na wabaya wenu kwa unafiki wenu wa kupenda kutokusimamia haki.

[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34] Ptuuuuuuuuuuuh. Taifa la ajabu sijawahi kuona. Trump hakukosea. Africa inatakiwa tena kuwekwa chini ya ukoloni. Akina kwame nkuruma walijitoa bure tu masikini na kuishia kuwawa kutetea majitu yasiyo na akili.

MUNGU awarehemu wanaukombozi na wapigania haki wote huko walipo na kuwapa pumziko maana hawa mabwege waliyoyapigania hata hayajui yanastahili nini.
 
Naomba kujua namna ya kuwa report dereva wahuni wanaopokea request na kukaa kimya muda mrefu bila ku kufuata wakitegemea uta cancel trip.
Asanteni
 
25% ya 6000 ni 1500

6000 kutoa 1500 unabakia na 4500.

Mzungu kakupa deal ya 6000 yeye kaomba umpatie buku jero tu wewe bakia na 4500.

Serikali yako ya kishirikina hii isiyojua vibaya kwanza wamekushindilia tozo za ajabu ajabu katika vocha, miamala ya pesa. Pili mafuta wamejaza matozo ya kipuuzi hadi yamepanda bei lita inauzwa 2800.

Wamakuwekea vibali ambavyo havina mbele wala nyuma. Pia hawajakutengenezea hata mfumo wa wewe kuweza kukopa gari yako ili uweze kununua yako na usihangaike na za watu za kupeleka hesabu.

Wewe huyo unamuona mzungu adui ila CCM mnafiki namba moja afrika ndie rafiki yako?!

Kama wewe upo vema katika kudai haki yako hebu jiulize kabla ya Uber na Bolt kuja hiyo 6000 ungewezaje kuwa na uhakika wa kuitengeneza kila lisaa tena bila kuhangaika simply kuwasha simu tu na unapata mteja tena hata hamjuani.

Unashindwa kweli kutambua nani ni adui hapa?!

Hii serikali nahisi ni ya kichawi na wameturoga vijana hadi tunashindwa kuona ubaya wao.

Hivi wapi utapata mtu ambaye anaweka miundo mbinu ya kiteknolojia, ana maserver ya kucontrol, wafanyakazi wa kuwalipa 24/7, analipa kodi chini kwao, analipa wataalamu wa IT wakubwa kudevelop na kusimamia Software yake ili kukuwekea wewe kabwela dili la kuingiza mpunga mzuri ambao serikali yako imefeli kwa miaka 60 kukitengenezea hata kibarua cha uhakika wa kukupa wewe 1000 kwa siku.

Then huyu mtu anakwambia kwa kila utachopata mimi naomba niachie tu 25% ya mapato ili niweze kulipia gharama za kuiendesha hii system, inayobakia utajua mwenyewe utapeleka wapi na maisha yako. Wewe unamwita huyu mtu eti mnyonyaji au mchoyo.

Dah K*m*nina waafrika aliyewalaani amewalaani vizuri. Ndio maana hamkomboki mbwa nyie. Na wacha hawa majizi watawanyoosha mbwa kabisa nyie. Magu alikuwa anawatetea kutwa mkasema kwa mabaya mzee wa watu MUNGU kamchukua akapumzike maana hamjui zuri sasa wacha hawa waliopo wawatendee ubaya mnaoutaka maana wajaalaana msiojua vibaya kazi kuwashambulia wanaowatetea na kuungana na wabaya wenu kwa unafiki wenu wa kupenda kutokusimamia haki.

[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34] Ptuuuuuuuuuuuh. Taifa la ajabu sijawahi kuona. Trump hakukosea. Africa inatakiwa tena kuwekwa chini ya ukoloni. Akina kwame nkuruma walijitoa bure tu masikini na kuishia kuwawa kutetea majitu yasiyo na akili.

MUNGU awarehemu wanaukombozi na wapigania haki wote huko walipo na kuwapa pumziko maana hawa mabwege waliyoyapigania hata hayajui yanastahili nini.

Mkuu umetiririka na kuserereka 😄
 
Unajua mambo mengi ni upuuzi na kukosa shukrani.

Hao bolt na Uber ni makampuni binafsi ambayo waanzilishi wake walikuja na idea ya watu binafsi kutumia magari yao binafsi kujipatia passive income na sio kuajiri madereva tax na kuwapa mishahara. Hata ukisoma utambulisho wa wamiliki wa hizi apps utaona wanakuelezea idea yao ni very simple,haijakaa kimambi mengi. Ni simply a hobby thing na sio Career au fulltime job or occupation ingawa wewe ukitama iwe hivyo ni sawa but according to u personally sio according to them.

Haya mashirika si mashirika ya uma au ya serikali kusema hawa madereva wana haki ya kuwacontrol kwa lolote lile.

Its a free economy and tuna expect forces of Demand and Supply ndizo zitafanya kazi yake. Inasikitisha sana tena sana mamlaka ya kiserikali kama Latra kuamua kuyapangia haya mashirika ambayo kimsingi serikali nadhani walitakiwa kuyapa kila aina ya support sababu yamesaidia serikali kuwapatia raia kipato cha ziada katika uchumi huu wa ajira chache na mishahara finyu.

Hivi haya makampuni yakifunga biashara na kuondoka serikali na hawa madereva wa hizo gari watapata nini zaidi ya kurudi nyuma mara dufu maana hizo gari hazitakuwa na kazi tena kibiashara na mapato yaliyokuwa yakipatikana yatatoweka.

Kwann serikali huwa inaingilia mambo na kuyaharibu kisha wanajifanya wao ndio wanakuja kutoa msaada wakati wao ndio chanzo.

Sasa unalalamika bolt au uber kuchukua hiyo 20% hivi kubabako wewe na hiyo serikali yako ya CCM mlishawahi kuja na wazo gani ambalo linaweza kuwapatia kipato cha 80% kama hicho mnacholalamikia.

Shida hapa sio Uber na Bolt bali shida ni serikali na hawa madereva wasiojua mchawi ni nani.

Mtu anakupa deal halafu yeye katika kipato anachukua 20% anakuachia 80% then unasema anakunyonya. Aisee hivi mtu unatakiwa kuwa selfish kiasi gani. Hii 80% inatafunwa na serikali ndio maana haonekani kuwa ina faida. Hebu wazia bei za mafuta, gharama za vipuri, service za gari, vibali, tiketi za matrafiki, bima ya gari, hela ya m'miliki wa gari. Hivi vyote ndivyo vinakamua faida ya huyu dereva na si hawa makampuni.

Mbona watu ambao wanamiliki magari yao binafsi na wanafanya hizi vitu huwezi sikia wanalalamika sana sababu hawana mahesabu kama ya hawa madereva wanaopewa magari kimkataba na wamiliki.

Sasa leo watu wachache wasiokuwa na shukurani wala akili wanaona bora kampuni ifungwe kila mtu akose kulikoni wangeacha kampuni zifanye biashara kwa mujibu wa kanuni za soko huria.

Kama mtu hautaki au unaona unanyonywa simply futa tu hiyo app achana nayo weka app ya CCM wakupe abiria na wakukate hiyo 15% maana wao ndio wanajua sana biashara na si Uber na bolt[emoji34][emoji34][emoji34].

Kila kukicha mnalalamikia uwekezaji mzuri Tanzania ambao hauwagharimu rasilimali zenu , mnaupata kama huu mnaleta ufala. Ila wakija wawekezaji wanapiga madini, mawe mafuta gesi wala hatuoni kama hapo tunanyonywa. Ila huyu ambaye anakupa mchongo kwa kutumia technology mnamuona mnyonyaji.

Aiseeeeeee hii inchi ina ufala mwingi sana. Wacha jamaa wakimbilie nchi zingine wanazojielewa. Mtu anakupa lift unampangia ruti ya kupita [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Maelezo mazuri lakini kubabako mwenyewe!
 
Naomba kujua namna ya kuwa report dereva wahuni wanaopokea request na kukaa kimya muda mrefu bila ku kufuata wakitegemea uta cancel trip.
Asanteni

Ukienda kwenye support ndani ya app utaletewa sehemu ya kushusha povu lako mkuu! Ila madereva wanakausha Baada ya kusoma location wakaona haiwalipi
 
Exactly, hapo ndio uone jamaa Wana haki ya kushusha Hadi 15% kwa kweli.

Angalau makampuni yangekuwa yanatoza hiyo 25% per day. Sio per trip. Ni biashara kichaa.
Kwanza charges ni ndogo kuliko uhalisia,na wao ndio wanafaidika coz wameweka mfumo tu unawaingizia pesa ila magar sio yao.
 
Kwanza tuangalie wadau wote wa hii biashara.

Kuna wamiliki wa software kama Uber, Bolt watakuwa wananunua software toka kwa developer bei zake si kubwa. Wanataka above 15% kila trip.Uber ni 30% wamegoma kupunguza Bolt ni 20% wamepunguza toka 28% lakini wanagoma kuwa 15% kuna kampuni nyingine zimekubali 15%.

Kuna Regulator Latra Land transport Regulatory Authority wana tozo kwa mwenye gari 40,000 kwa mwaka.

Kuna Bima Premium Commercial insurance wanachaji 700,000 kwa mwaka.

TRA kodi 250,000 kwa mwaka.


Kuna mmiliki wa gari analipa
1.Petrol
2.Repair and maintenance ya gari.tires vipuli etc
3.Bima ya gari
4.TRA kodi
5.Latra tozo
6.Mshahara wa dereva
7.Fine za Traffics

Nauli kwa Uber na bolt ziko chini sana trip toka City centre to airport ni 7000 mpaka 9000 wakati taxi ya kawaida ni 20 000.

Wanaoumia sana ni wamiliki wa magari faida ndogo sana na wengi wanaachana na hii biashara magari yanachakaa sana na mapato kiduchu wakati gharama za uendashaji ni kubwa sana.

Hawa Uber Bolt wanapiga hela
sana cost za software ziko chini sana
 
Back
Top Bottom