Kuna 'misinformation' inaendelea kuhusu Uber/Bolt kufunga biashara Tanzania..

Kuna 'misinformation' inaendelea kuhusu Uber/Bolt kufunga biashara Tanzania..

Hao wanaondoka kumpisha mkulu mmoja anakuja na programu yake
 
Kuna watu wamezoea kila kitu atakachosikia anailaumu serikali, bila hata kujua kwa undani kinachoendelea
Tanzania kumejaa wapumbavu mkuu
Kama madodoki yasiyoweza kutenganisha maji machafu na safi
Ilimradi ana kipanguso cha kuandika
 
Sababu za tishio la kufunga biashara kwa makampuni haya sio sababu halisi kama wengi wanavyozipokea. Ukisoma statements zao, zimeandikwa kimkakati kwamba LATRA wameongeza new charges ya 15%. Seriously?!.

Sio kweli kwamba Serikali imeweka kodi mpya ya 15%. Uhalisia ni kuwa LATRA wamewataka Uber na Bolt wa-charge 15% commision kwa kila trip na sio 20 au 25% kama walivyokua wanafanya.

Kimsingi, madereva wa hizi huduma wamekuwa wakilalamika kukatwa hela nyingi kwa trip (20-25%) na hizi kampuni, hivyo LATRA imeingilia Kati kushusha hizo rates ili madereva wanufaike.

Labda niulize.. Kwani ni mara ngapi abiria ukitumia BOLT/UBER umekuwa ukimsikia dereva analalamika kuhusu malipo? Mara ngapi wamekuwa wakikataa kwenda baadhi ya trips kwa sababu hailipi? Mpaka imekuwa kawaida.

Zinachofanya hizi kampuni ni kuibua taharuki ili Serikali iufyate ziendelee kutengeneza faida kubwa na kuwabana madereva. Ujanja ujanja tu wa kibiashara.

Media zetu nazo..... Au basi!!
Kwani madereva wanalazimishwa? kama wanaona wanachopata ni kidogo sio waondoe magari yao? Kwanini LATRA waingilie biashara ya watu kuwapigia commission? Je, ndio kazi yao?
 
Kwani madereva wanalazimishwa? kama wanaona wanachopata ni kidogo sio waondoe magari yao? Kwanini LATRA waingilie biashara ya watu kuwapigia commission? Je, ndio kazi yao?
Mkuu unaaibisha ukoo
 
Na hii ndio ilikua fursa sasa kwa wazawa kuja na Uber ya kitanzania.
 
Nijibu tu maswali yangu nijifunze kwako nisiaibishe ukoo!

Kwa ufupi LATRA ni regulatory body ya hizi biashara za usafirishaji na ndio inatoa leseni kwa haya makampuni. So Ina wajibu wa kuratibu mwenenedo wake ikiwemo masuala ya bei. Biashara huria haina maana unaweza kujiamulia utakavyo, kuna governing rules lazima uzifuate. Muwe mnajisomea ili kujifunza vitu vidogo vidogo kabla ya kuja kujichoresha.
 
Ww umeongea tatzo moja tu kuna matatzo zaidi ya moja

Moja latra wanataka kuongeza kiasi kikubwa cha nauli sababu mafuta yamepanda wote tunajua mafuta yamepanda kwa tsh 300+ lakini wanatala kupandisha nauli zaid ya 1k

Pili Latra wanaka nauli zipande then commission ishuke

Tatu kuna swala la kodi ya serikali

Yoye kwa yote bado kuna meza ya mazaungumzo hopefully watayamaliza
 
Back
Top Bottom