Kuna mistari ya Biblia ukiisoma unakataa sio maneno ya Mungu

Kuna mistari ya Biblia ukiisoma unakataa sio maneno ya Mungu

biblia na quran vyote vina maneno ya ajabu ambayo hata kichaa anakataa sio maneno ya Mungu
Ni kweli kabisa.mungu ameshusha amri kumi tu mengine tume tengeneza ChatGPT japo huko nyuma zilibeba utamaduni na tabia za watu.
 
Shida zinatupata kwa sababu hatumtii mungu, tukizifuata Sheria zake na kutubu zambi tulizofanya, hayo mabaya hayatatupata
mkuu umeangalia hiko kisa huko NYUMA ilikuwaje mpaka kufikia hatuna ya kusema hivo
 
Jaribu kufafanua wewe umeelwaje mistari hiyoo
mfano kifo chake kuuwawa kwake na hayo maneno aliyoyasema yanaendana na yaliyotokea alikuja kuleta upanga kama ni amani wanadamu wasinge muuwa na kama asinge kufa kama sadaka ya mwanakondoo wanadamu wasinge okolewa.

Nakushauri namna nzuri ya kusoma biblia nenda kaanzie kitabu cha mwanzo soma mstari kwa mstari hadi ufunuo naamini utaelewa mawili matatu biblia ni kama series ndio maana tunaona kuna agano la kale na jipya lakini ukiwa unanyakua nyakua content za nyuma mbele huwezi kuelewa kamwe.
 
mfano kifo chake kuuwawa kwake na hayo maneno aliyoyasema yanaendana na yaliyotokea alikuja kuleta upanga kama ni amani wanadamu wasinge muuwa na kama asinge kufa kama sadaka ya mwanakondoo wanadamu wasinge okolewa.

Nakushauri namna nzuri ya kusoma biblia nenda kaanzie kitabu cha mwanzo soma mstari kwa mstari hadi ufunuo naamini utaelewa mawili matatu biblia ni kama series ndio maana tunaona kuna agano la kale na jipya lakini ukiwa unanyakua nyakua content za nyuma mbele huwezi kuelewa kamwe.
Me namfahamuu mkuu Sasa mtoa mada ndo shida
 
Kama yapi labda wew ndio kichaa
Wapi mungu kasema kuhukumu mwanadamu kwa kifo,wapi sehemu kwenye amri kumi ikisema kama amri kumi.
Zaidi ya kusikia katiba tu za watu kuliko sheria za mungu 10.
 
hekaya za mashariki ya kati.....
Tafuteni za kwenu watu weusi...
 
Mfano : Matthew ( Mathayo) 10:34 imeandika
"Msidhani ya kuwa nalikuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga."

Inashangaza Mungu mwenye upendo anasema hajaja kuleta amani bali chaos

Na Mathayo 10:35 imeandika

"Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na baba yake, na binti na mamaye, na mkwe na
mamamkwe yake."


Inashangaza Mungu mwenye upendo anasema amekuja kufitini watu. Kumbe ndio maana wakwe hawapatani na wakamwana wao.


Ezekieli 5:17 imeandika hivi​

Nitakupelekea njaa na wanyama wakali ambao watakupokonya watoto wako; maradhi mabaya, mauaji, na vita vitakuja kukuangamiza. Mimi, Mwenyezi-Mungu, nimesema.”


1 Wakorintho 7:27-28 imeandika hivi

Ikiwa hujaoa, usitafute mke. Lakini ukioa, hujatenda dhambi. Na msichana ambaye hajawahi
kuolewa akiamua kuolewa, hajafanya dhambi.

28 Lakini wale wanaooa au kuolewa watakutana na matatizo katika maisha haya, nami nataka
kuwaepusha na matatizo hayo.

Exodus 20 20-21 imeandika ni ruhusa kumpiga mtumwa wako , Mungu gani mwenye upendo anaruhusu kuwafanya binadamu mwenzako kuwa watumwa na anaruhusu kuwapiga.


View attachment 3243228
Biblia inasema pia "Mjue sana Mungu ili uwe na amani na ndipo mema yatakapokuuua" Sasa wewe unahoji vipi Neno la Mungu inhaling wewe humjui huyo Mungu? Kila Andiko lina mahali pake. Na Mungu ana sifa nyingi sio moja tu. Mfano: Mungu ni wa upendo lakini pia Mungu ni wa haki. Mungu ana wivu na tena ana hasira. Mungu anaokoa na pia Mungu anaangamiza! Kazi kwako mjue kwanza Mungu. Na huwezi kumjua Mungu bali kupitia Yesu Kristo!
 
Shida zinatupata kwa sababu hatumtii mungu, tukizifuata Sheria zake na kutubu zambi tulizofanya, hayo mabaya hayatatupata
IMG_0635.jpeg
IMG_0634.jpeg
 
Ngoja nitetee mada kwa namna ninavoelewa

Kuhusu kuleta upanga hapo alimaanisha kuleta neno ambalo watu wengi litawachoma kama upanga kutokana na matendo Yao yaani hawatalipenda na watawachukia wafuasi Wa kristo yesu

Na aliposema hakuja kuleta amani alimaanisha wale ambao wanglisikia neno Hilo na kulitafuta wangepingwa vikali na watu wasioamini na wanafiki.

Over
Safii
 
Mfano : Matthew ( Mathayo) 10:34 imeandika
"Msidhani ya kuwa nalikuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga."

Inashangaza Mungu mwenye upendo anasema hajaja kuleta amani bali chaos

Na Mathayo 10:35 imeandika

"Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na baba yake, na binti na mamaye, na mkwe na
mamamkwe yake."


Inashangaza Mungu mwenye upendo anasema amekuja kufitini watu. Kumbe ndio maana wakwe hawapatani na wakamwana wao.


Ezekieli 5:17 imeandika hivi​

Nitakupelekea njaa na wanyama wakali ambao watakupokonya watoto wako; maradhi mabaya, mauaji, na vita vitakuja kukuangamiza. Mimi, Mwenyezi-Mungu, nimesema.”


1 Wakorintho 7:27-28 imeandika hivi

Ikiwa hujaoa, usitafute mke. Lakini ukioa, hujatenda dhambi. Na msichana ambaye hajawahi
kuolewa akiamua kuolewa, hajafanya dhambi.

28 Lakini wale wanaooa au kuolewa watakutana na matatizo katika maisha haya, nami nataka
kuwaepusha na matatizo hayo.

Exodus 20 20-21 imeandika ni ruhusa kumpiga mtumwa wako , Mungu gani mwenye upendo anaruhusu kuwafanya binadamu mwenzako kuwa watumwa na anaruhusu kuwapiga.


View attachment 3243228
Hqpo wewe ulieandika ndio unatatizo.la kuelewa Biblia kama ungeuliza ungepewa jibu lkn kwa kuwa umekuja na hukumu basi unajihukumu mwenyewe Biblia iko sawa kabisa inahtaji uelewa kwa anayekuelewa akutafsiriwe wanafunzi wa Yesu kuna wkt waliuliza maswali na walikuwa na Yesu Biblia inahtani uelewa sio kusoma tu.
 
Biblia inasema pia "Mjue sana Mungu ili uwe na amani na ndipo mema yatakapokuuua" Sasa wewe unahoji vipi Neno la Mungu inhaling wewe humjui huyo Mungu? Kila Andiko lina mahali pake. Na Mungu ana sifa nyingi sio moja tu. Mfano: Mungu ni wa upendo lakini pia Mungu ni wa haki. Mungu ana wivu na tena ana hasira. Mungu anaokoa na pia Mungu anaangamiza! Kazi kwako mjue kwanza Mungu. Na huwezi kumjua Mungu bali kupitia Yesu Kristo!
Ndivyo mema yatakavokujia naona typing error "yatakopokuuua"
 
Biblia inasema pia "Mjue sana Mungu ili uwe na amani na ndipo mema yatakapokuuua" Sasa wewe unahoji vipi Neno la Mungu inhaling wewe humjui huyo Mungu? Kila Andiko lina mahali pake. Na Mungu ana sifa nyingi sio moja tu. Mfano: Mungu ni wa upendo lakini pia Mungu ni wa haki. Mungu ana wivu na tena ana hasira. Mungu anaokoa na pia Mungu anaangamiza! Kazi kwako mjue kwanza Mungu. Na huwezi kumjua Mungu bali kupitia Yesu Kristo!

Kama Mungu ana hasira na anaangamiza

Mbona mpaka leo hii ameshindwa kumuangamiza na kumuua shetani ?
 
Religion is the biggest scam eti juma na swaleh hawampendi wile na Charles wakati wanafanana rangi ya ngozi mpaka nywele.

Muslims wanawapenda waaarabu na wanaamini ndio wenzao halafu Christian wanaamini wazungu ndio wenzao.
Inafikirisha sana.
 
Back
Top Bottom