Kuna mradi wa kukarabati Shule Kongwe nchi nzima. Je, fedha za kukarabati shule ya Ihungo na Nyakato zilizoathiriwa na tetemeko Kagera zinatoka huko?

Kuna mradi wa kukarabati Shule Kongwe nchi nzima. Je, fedha za kukarabati shule ya Ihungo na Nyakato zilizoathiriwa na tetemeko Kagera zinatoka huko?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nasikia kuna mradi mkubwa unaofadhiliwa na mataifa ya nje ili kukarabati Shule Kongwe hapa nchini. Mradi huu hutoa pesa kwa ajili ya shughuli hii.

Shule ya Sekondari Nyakato pamoja na Ihungo ni moja ya shule kongwe na hivi karibuni zimezua mjadala. Shule hizi zilipigwa na tetemeko lililoikumba mkoa wa Kagera.

Kuna hoja kwamba pesa za kukarabati shule hizi zilitokana na michango ya rambirambi na pole kwa waathirika, na wakati huohuo mradi wa kukarabati shule kongwe ulikuwa unaanza.

Swali fikirishi:
Je, pesa za kukarabati shule hizi zilitoka wapi? Kwenye mradi wa kukarabati shule kongwe au ni michango ya waathirika wa tetemeko? Kama ni pesa za mradi, za tetemeko zilipelekwa wapi?
 
Sio kweli kwamba pesa za rambi rambi zilijenga shule, hizo shule zilikarabatiwa na Serikali ya Japan kupitia shirika lao la JICA.

Baada ya tetemeko balozi wa japani alisema hadharani kwamba wao watazijenga upya, kwa gharama zao.

Pale CCM walikuwa wanatafuta sifa kwamba wao walitoa nguvu kazi.
 
Sio kweli kwamba pesa za rambi rambi zilijenga shule, hizo shule zilikarabatiwa na Serikali ya Japan kupitia shirika lao la JICA.

Baad ya tetemeko balozi wa japani alisema hadharani kwamba wao watazijenga upya, kwa gharama zao.

Pale ccm walikuwa wanatafuta sifa kwamba wao walitoa nguvu kazi.
Aisee, ukweli unafichwa kumbe.
 
Sio kweli kwamba pesa za rambi rambi zilijenga shule , hizo shule zilikarabatiwa na Serikali ya Japan kupitia shirika lao la JICA.

Baad ya tetemeko balozi wa japani alisema hadharani kwamba wao watazijenga upya, kwa gharama zao.

Pale ccm walikuwa wanatafuta sifa kwamba wao walitoa nguvu kazi.
Kutoa ahadi ni Jambo moja kutekeleza ni Jambo jingine inawezekana walitoa ahadi ila hawakuitekeleza, katika miradi ya JICA hio miradi haimo labda utuletee wewe vidhibitisho kua hizo shule zilikarabatiwa na JICA ipi? msiwe mnapenda ku spread rumours & lies.

You can lie to some people for sometime but not all the people all the time.
 
Mradi huo wa kurabati shule ni mradi gani?kutoka inchi gani?ufadhili wao ni kiasi gani? wanakarabati shule kiasi gani?

UKISHIndwa kuyajibu hayo wewe ni NYUMBU na inafaa tukutupe mto mara
 
Shule ya Ihungo sekondari Waingereza wametoa pesa 99% kujenga upya majengo ya shule.Serikali ya ccm isema ilichangia kiasi gani Ihungo.
 
Ukarabati hauna tija kubwa kwa shule husika. Ukarabati umehusisha majengo na mwonekano wa nje kwa ujumla. Ndani maabara hazina vifaa, maktaba hazina vitabu na walimu kimaslahi wako hoi na wanafanya kazi kwa muda mrefu kuziba mapengo ya walotimuliwa kwa vyeti fake na walio staafu au kufa.
 
Mradi huo wa kurabati shule ni mradi gani?kutoka inchi gani?ufadhili wao ni kiasi gani? wanakarabati shule kiasi gani?

UKISHIndwa kuyajibu hayo wewe ni NYUMBU na inafaa tukutupe mto mara
Mkuu,punguza povu
 
Nilishangaa shule 2 kukarabatiwa kwa Tsh. Bil 14?

Kwny ujenzi ndipo kwny chaka la kupigia dough ndio maana jamaa kila siku wako bize na ma-ujenzi.
 
Kutoa ahadi ni Jambo moja kutekeleza ni Jambo jingine inawezekana walitoa ahadi ila hawakuitekeleza, katika miradi ya JICA hio miradi haimo labda utuletee wewe vidhibitisho kua hizo shule zilikarabatiwa na JICA ipi? msiwe mnapenda ku spread rumours & lies.

You can lie to some people for sometime but not all the people all the time.
Hayo maneno ya mwisho nadhani ni ujumbe kwa jiwe.
Swali fikirishi. Kama serikali inayopokea grantsna mikopo nafuu na kutoza kodi na maduhuli inataka kujenga shule iliyoharibiwa na tetemeko kwa michango ya wananchi je wananchi walioharibikiwa na nyumba zao watapata wapi fedha za kujenga nyumba zao zilizokumbwa na janga hilo? Hapa Mwenyekiti wetu alichemka ukweli mchungu.
 
Mradi huo wa kurabati shule ni mradi gani?kutoka inchi gani?ufadhili wao ni kiasi gani? wanakarabati shule kiasi gani?

UKISHIndwa kuyajibu hayo wewe ni NYUMBU na inafaa tukutupe mto mara
JF siku hizi imeingiliwa na wanaharakati wa msimu.
 
Nilishangaa shule 2 kukarabatiwa kwa Tsh. Bil 14?

Kwny ujenzi ndipo kwny chaka la kupigia dough ndio maana jamaa kila siku wako bize na ma-ujenzi.

We kwa mawazo yako unafikiri Shule ya Ihungo ilijengwa kwa gharama gani? Kumbuka Majengo yote zamani yalibomolewa wakajenga mapya sio kuyarabati.
 
We kwa mawazo yako unafikiri Shule ya Ihungo ilijengwa kwa gharama gani? Kumbuka Majengo yote zamani yalibomolewa wakajenga mapya sio kuyarabati.
Hahah naona fix za kwny ujenzi zinaendelea tu kila sehemu From ujenzi Ma-shule to Ma-hostel.
Screenshot_2020-09-17-10-58-39-1.jpg
 
Kutoa ahadi ni Jambo moja kutekeleza ni Jambo jingine inawezekana walitoa ahadi ila hawakuitekeleza, katika miradi ya JICA hio miradi haimo labda utuletee wewe vidhibitisho kua hizo shule zilikarabatiwa na JICA ipi? msiwe mnapenda ku spread rumours & lies.

You can lie to some people for sometime but not all the people all the time.
Sengerema imekarabatiwa, Mara imekarabatiwa, Nganza imekarabatiwa, Tabora imekarabatiwa, sasa tatizo linabaki kwa Ihungo na Nyakato zilizokuwa zinasubiri tetemeko.
 
Nasikia kuna mradi mkubwa unaofadhiliwa na mataifa ya nje ili kukarabati Shule Kongwe hapa nchini. Mradi huu hutoa pesa kwa ajili ya shughuli hii.

Shule ya Sekondari Nyakato pamoja na Ihungo ni moja ya shule kongwe na hivi karibuni zimezua mjadala. Shule hizi zilipigwa na tetemeko lililoikumba mkoa wa Kagera.

Kuna hoja kwamba pesa za kukarabati shule hizi zilitokana na michango ya rambirambi na pole kwa waathirika, na wakati huohuo mradi wa kukarabati shule kongwe ulikuwa unaanza.

Swali fikirishi:
Je, pesa za kukarabati shule hizi zilitoka wapi? Kwenye mradi wa kukarabati shule kongwe au ni michango ya waathirika wa tetemeko? Kama ni pesa za mradi, za tetemeko zilipelekwa wapi?
IHUNGO ni shule ya wazazi CCM (TAPA) hivyo haistahili kufanyiwa ukarabati na fedha za umma.
 
Sio kweli kwamba pesa za rambi rambi zilijenga shule, hizo shule zilikarabatiwa na Serikali ya Japan kupitia shirika lao la JICA.

Baada ya tetemeko balozi wa japani alisema hadharani kwamba wao watazijenga upya, kwa gharama zao.

Pale CCM walikuwa wanatafuta sifa kwamba wao walitoa nguvu kazi.
Lissu akifika huko aweke hili wazi.
 
Kutoa ahadi ni Jambo moja kutekeleza ni Jambo jingine inawezekana walitoa ahadi ila hawakuitekeleza, katika miradi ya JICA hio miradi haimo labda utuletee wewe vidhibitisho kua hizo shule zilikarabatiwa na JICA ipi? msiwe mnapenda ku spread rumours & lies.

You can lie to some people for sometime but not all the people all the time.
Huo haukua mradi wao jica ni serikali ya Japan, jica wali facilitate project yote, serikali wakasema watatoa nguvu kazi ambayo ndio vijana wa JWTZ , pesa za mradi zote zimetoka serikali ya Japan.
Siwezi kukupa ushahidi wewe.

Hata ukiuliza ubalozi wa Japan Tanzania watakwambia ni wao wamekarabati shule zile.
 
Back
Top Bottom