Kuna Mrembo kutoka Afrika Magharibi anataka kunitapeli huko mjini Gmail. Ngoja tuone

kuna mmoja alinijia kwa giayeye ni mwanajeshi anatakiwa kwenda ghana kuwafundisha wanajeshi wa ghana mafunzo kabla ya kwenda ghana anitumie mizigo ndani ameweka dola laki mbili tena na mipicha ya miboks mikubwa kubwa kama kweli mwisho ananambia anamwachia mchungaji ndio atatuma yeye anatakiwa kuondoka chap

nikasema huyu mbona nataka kuuona mwisho siku ya pili et mchungaji anani email kua amekwama gharama za kutuma mzigo nimtumie hela atume mzigo nikanwanbia search humo kwenye hio miboks mna hela za kumwaga akaanza kunitishia mara mwanajeshi feki akanijia et kapigiwa na mchungaji nimtumie hela mna viti vyake vya gharama nije nikae navyo nikamwambia uliko lala mwenzio nimeamkia tukaishia hivo
 
Kuwa makini na utaambiwa utume dollar kuna zawadi yako hela imepelea!
 
Umemkomesha 🙌🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…