let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Chinedu Augba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga wajinga tuKtk ubora wao
Kwanza sidhani hata kama ni mdada kweli
Mi nahisi ni kidume, tena chenye uchebe wake wa kutosha
Sasa ngoja tuone mchezo unavyoenda, hatoamini ambavyo nitamdandisha mtumbwi wa vibwengo
Nimetumiwa hii pichaView attachment 2585608hii picha kama naijua, sijui niliiona wapi [emoji1787]
Nimeomba mawasiliano zaidi whatsap nimejibiwa
Hope you are doing fine,i will really like to have
a good relationship with you, and i have a special reason why i
decided to write you because of the urgency of my situation here and
here in refugee camp can`t get access on whatsapp.
Utapeli wa 2011 huu , zamani sanaKwanza sidhani hata kama ni mdada kweli
Mi nahisi ni kidume, tena chenye uchebe wake wa kutosha
Sasa ngoja tuone mchezo unavyoenda, hatoamini ambavyo nitamdandisha mtumbwi wa vibwengo
Nimetumiwa hii pichaView attachment 2585608hii picha kama naijua, sijui niliiona wapi [emoji1787]
Nimeomba mawasiliano zaidi whatsap nimejibiwa
Hope you are doing fine,i will really like to have
a good relationship with you, and i have a special reason why i
decided to write you because of the urgency of my situation here and
here in refugee camp can`t get access on whatsapp.
Sasa nawe umefikiwa na ugeni mkubwa hivyo bado unashindwa Kuwa na maamuzi huru🤔Kwanza sidhani hata kama ni mdada kweli
Mi nahisi ni kidume, tena chenye uchebe wake wa kutosha
Sasa ngoja tuone mchezo unavyoenda, hatoamini ambavyo nitamdandisha mtumbwi wa vibwengo
Nimetumiwa hii pichaView attachment 2585608hii picha kama naijua, sijui niliiona wapi 🤣
Nimeomba mawasiliano zaidi whatsap nimejibiwa
Hope you are doing fine,i will really like to have
a good relationship with you, and i have a special reason why i
decided to write you because of the urgency of my situation here and
here in refugee camp can`t get access on whatsapp.
Picha ni photoshopKwanza sidhani hata kama ni mdada kweli
Mi nahisi ni kidume, tena chenye uchebe wake wa kutosha
Sasa ngoja tuone mchezo unavyoenda, hatoamini ambavyo nitamdandisha mtumbwi wa vibwengo
Nimetumiwa hii pichaView attachment 2585608hii picha kama naijua, sijui niliiona wapi 🤣
Nimeomba mawasiliano zaidi whatsap nimejibiwa
Hope you are doing fine,i will really like to have
a good relationship with you, and i have a special reason why i
decided to write you because of the urgency of my situation here and
here in refugee camp can`t get access on whatsapp.
Ni wajinga hawo hizo SMS ninazo kwenye e-mail zangu toka 2013 hadi sasa ndio kawaida yao uongo mwingi ukweli sufuri.Anasema kuwa
"my Late Father died he
told me everything about his money/properties since am the only child
he has."
Huyo ni tapeli la kiume anae taka kukutapeli kwa mbinu ya kizamani sanaAnasema kuwa
"my Late Father died he
told me everything about his money/properties since am the only child
he has."
Huyo shenz achana naeKwanza sidhani hata kama ni mdada kweli
Mi nahisi ni kidume, tena chenye uchebe wake wa kutosha
Sasa ngoja tuone mchezo unavyoenda, hatoamini ambavyo nitamdandisha mtumbwi wa vibwengo
Nimetumiwa hii pichaView attachment 2585608hii picha kama naijua, sijui niliiona wapi [emoji1787]
Nimeomba mawasiliano zaidi whatsap nimejibiwa
Hope you are doing fine,i will really like to have
a good relationship with you, and i have a special reason why i
decided to write you because of the urgency of my situation here and
here in refugee camp can`t get access on whatsapp.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kuna mmoja alinijia kwa giayeye ni mwanajeshi anatakiwa kwenda ghana kuwafundisha wanajeshi wa ghana mafunzo kabla ya kwenda ghana anitumie mizigo ndani ameweka dola laki mbili tena na mipicha ya miboks mikubwa kubwa kama kweli mwisho ananambia anamwachia mchungaji ndio atatuma yeye anatakiwa kuondoka chap
nikasema huyu mbona nataka kuuona mwisho siku ya pili et mchungaji anani email kua amekwama gharama za kutuma mzigo nimtumie hela atume mzigo nikanwanbia search humo kwenye hio miboks mna hela za kumwaga akaanza kunitishia mara mwanajeshi feki akanijia et kapigiwa na mchungaji nimtumie hela mna viti vyake vya gharama nije nikae navyo nikamwambia uliko lala mwenzio nimeamkia tukaishia hivo
Kwa kweliHuyo ni tapeli la kiume anae taka kukutapeli kwa mbinu ya kizamani sana
Sent from my SM-N986B using JamiiForums mobile app
Aisee...Picha ni photoshop
Huu ugeni wa mashaka 😂Sasa nawe umefikiwa na ugeni mkubwa hivyo bado unashindwa Kuwa na maamuzi huru🤔