Kuna Mrembo kutoka Afrika Magharibi anataka kunitapeli huko mjini Gmail. Ngoja tuone

Kuna Mrembo kutoka Afrika Magharibi anataka kunitapeli huko mjini Gmail. Ngoja tuone

Kwamba unafungua emails za humu spams!? Mm nimeziignore side hiyo mpk siku hiz wameacha kutuma
20230412_213022.jpg
 
Kwanza sidhani hata kama ni mdada kweli
Mi nahisi ni kidume, tena chenye uchebe wake wa kutosha

Sasa ngoja tuone mchezo unavyoenda, hatoamini ambavyo nitamdandisha mtumbwi wa vibwengo

Nimetumiwa hii pichaView attachment 2585608hii picha kama naijua, sijui niliiona wapi [emoji1787]


Nimeomba mawasiliano zaidi whatsap nimejibiwa
Hope you are doing fine,i will really like to have
a good relationship with you, and i have a special reason why i
decided to write you because of the urgency of my situation here and
here in refugee camp can`t get access on whatsapp.

Sema huu utapeli wa mwaka 2000 mwanzon
 
Yalinikuta siku siyo nyingi. Mwisho utaambiwa utume pesa ya kusafirishia na kukomboa mabox ya zawadi zako. Wahuni hawa (midume) wengi ni kutoka Senegal. Wanalugha tamu sana na ahadi kibao za uaminifu na kutokuumizana ktk mahusiano.
 
Kwanza sidhani hata kama ni mdada kweli
Mi nahisi ni kidume, tena chenye uchebe wake wa kutosha

Sasa ngoja tuone mchezo unavyoenda, hatoamini ambavyo nitamdandisha mtumbwi wa vibwengo

Nimetumiwa hii pichaView attachment 2585608hii picha kama naijua, sijui niliiona wapi [emoji1787]


Nimeomba mawasiliano zaidi whatsap nimejibiwa
Hope you are doing fine,i will really like to have
a good relationship with you, and i have a special reason why i
decided to write you because of the urgency of my situation here and
here in refugee camp can`t get access on whatsapp.
Utapeli wa 2011 huu , zamani sana
 
Kuna tapeli flani alinifata telegram, bc nilikuwa nachat nae nahisi mpaka akachoka mwnyw akaona aniache tuu, akiongea mambo ya kumtumia pesa mm namjibu kdg afu naweka story nyingine.
 
Kwanza sidhani hata kama ni mdada kweli
Mi nahisi ni kidume, tena chenye uchebe wake wa kutosha

Sasa ngoja tuone mchezo unavyoenda, hatoamini ambavyo nitamdandisha mtumbwi wa vibwengo

Nimetumiwa hii pichaView attachment 2585608hii picha kama naijua, sijui niliiona wapi 🤣


Nimeomba mawasiliano zaidi whatsap nimejibiwa
Hope you are doing fine,i will really like to have
a good relationship with you, and i have a special reason why i
decided to write you because of the urgency of my situation here and
here in refugee camp can`t get access on whatsapp.
Sasa nawe umefikiwa na ugeni mkubwa hivyo bado unashindwa Kuwa na maamuzi huru🤔
 
Kwanza sidhani hata kama ni mdada kweli
Mi nahisi ni kidume, tena chenye uchebe wake wa kutosha

Sasa ngoja tuone mchezo unavyoenda, hatoamini ambavyo nitamdandisha mtumbwi wa vibwengo

Nimetumiwa hii pichaView attachment 2585608hii picha kama naijua, sijui niliiona wapi 🤣


Nimeomba mawasiliano zaidi whatsap nimejibiwa
Hope you are doing fine,i will really like to have
a good relationship with you, and i have a special reason why i
decided to write you because of the urgency of my situation here and
here in refugee camp can`t get access on whatsapp.
Picha ni photoshop
 
Hivi haya mambo bado yapo Tu!

Kuna kipindi nilikutana nayo mdada anasema yupo refugees camp,wazazi wake wameuwawa so anataka kuja tz na vitu kama hivyo,ana pesa mingi,Ila huyu alikuwa kajipanga kinoma akawa ananiunganisha Kwa phone na padri WA camp napiga naye mastory,akatuma na certificate ya bank, bla bla kibao lkn mwisho wa siku nikashtukia mchezo.

Ila bado kidogo niingie line Kwanza Mimi ni mtu mwenye huruma Sana kwahiyo niliguswa Sana na shida zake za camp hlf unajua mambo ya pesa bwana ni shetani Sana.

Nikajisemea hizo hela zilivyo mingi nikifanikiwa kumleta dar tunanunua mlima Kilimanjaro hahaha!
 
Kwanza sidhani hata kama ni mdada kweli
Mi nahisi ni kidume, tena chenye uchebe wake wa kutosha

Sasa ngoja tuone mchezo unavyoenda, hatoamini ambavyo nitamdandisha mtumbwi wa vibwengo

Nimetumiwa hii pichaView attachment 2585608hii picha kama naijua, sijui niliiona wapi [emoji1787]


Nimeomba mawasiliano zaidi whatsap nimejibiwa
Hope you are doing fine,i will really like to have
a good relationship with you, and i have a special reason why i
decided to write you because of the urgency of my situation here and
here in refugee camp can`t get access on whatsapp.
Huyo shenz achana nae
 
kuna mmoja alinijia kwa giayeye ni mwanajeshi anatakiwa kwenda ghana kuwafundisha wanajeshi wa ghana mafunzo kabla ya kwenda ghana anitumie mizigo ndani ameweka dola laki mbili tena na mipicha ya miboks mikubwa kubwa kama kweli mwisho ananambia anamwachia mchungaji ndio atatuma yeye anatakiwa kuondoka chap

nikasema huyu mbona nataka kuuona mwisho siku ya pili et mchungaji anani email kua amekwama gharama za kutuma mzigo nimtumie hela atume mzigo nikanwanbia search humo kwenye hio miboks mna hela za kumwaga akaanza kunitishia mara mwanajeshi feki akanijia et kapigiwa na mchungaji nimtumie hela mna viti vyake vya gharama nije nikae navyo nikamwambia uliko lala mwenzio nimeamkia tukaishia hivo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Matura Nchi hii mpo wengi sana ndio maana wakina Kalyinda huko walipo wanafikiri waje na mguu gani mpya...
 
Back
Top Bottom