Kuna mrembo mmoja anautesa moyo wangu nimeamua kumwimbia huu wimbo na hii ndio picha yake yupo humuhumu

Kuna mrembo mmoja anautesa moyo wangu nimeamua kumwimbia huu wimbo na hii ndio picha yake yupo humuhumu

Si nkajua [mention]financial services [/mention] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki leo ningechukua gari yanguuuuu[emoji23][emoji23]
 
Si nkajua [mention]financial services [/mention] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haki leo ningechukua gari yanguuuuu[emoji23][emoji23]
Financial ukuje huku, kuna ujumbe wako. 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
 
Maisha ni safari ndefu sana, tunapitia vikwazo vingi.
Katika harakati zangu za utafutaji nimejikuta moyo wangu umenasa kwa mrembo ambaye mnamwona kwenye hii picha.

Nimeamua kumwimbia huu wimbo ili aweze kujua ni jinsi gani namjali na kumpenda.

Tafadhari popote ulipo mama najua unatembelea mitandao ya kijamii huu wimbo nimeimba special kwaajili yako.
Pengine ndugu rafiki unaweza ukawa unaishi jirani naye hapo mtaani tafadhari kama hatoina mwonyeshe huu wimbo ni kwaajili yake. Twende kazi.

View attachment 1999856
wewe endelea tu kuchora ramani huyu humpati
 
Maisha ni safari ndefu sana, tunapitia vikwazo vingi.
Katika harakati zangu za utafutaji nimejikuta moyo wangu umenasa kwa mrembo ambaye mnamwona kwenye hii picha.

Nimeamua kumwimbia huu wimbo ili aweze kujua ni jinsi gani namjali na kumpenda.

Tafadhari popote ulipo mama najua unatembelea mitandao ya kijamii huu wimbo nimeimba special kwaajili yako.
Pengine ndugu rafiki unaweza ukawa unaishi jirani naye hapo mtaani tafadhari kama hatoina mwonyeshe huu wimbo ni kwaajili yake. Twende kazi.

View attachment 1999856
Mkuu umekuja ku promote wimbo wako tu hapa, hakuna cha mrembo wala nini.

Lakini kama wewe si mwanamziki ni layman katika fani hiyo, niseme umejitahidi pakubwa na utafika mbali ukifuatilia kipaji chako hicho.

Unauwezo mkubwa wa kuchezea sauti na pia una pumzi. Fanya mazoezi zaidi.
 
Mkuu umekuja ku promote wimbo wako tu hapa, hakuna cha mrembo wala nini.

Lakini kama wewe si mwanamziki ni layman katika fani hiyo, niseme umejitahidi pakubwa na utafika mbali ukifuatilia kipaji chako hicho.

Unauwezo mkubwa wa kuchezea sauti na pia una pumzi. Fanya mazoezi zaidi.
💃💃💃💃💃💃💃💃💃💃🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
 
Maisha ni safari ndefu sana, tunapitia vikwazo vingi.
Katika harakati zangu za utafutaji nimejikuta moyo wangu umenasa kwa mrembo ambaye mnamwona kwenye hii picha.

Nimeamua kumwimbia huu wimbo ili aweze kujua ni jinsi gani namjali na kumpenda.

Tafadhari popote ulipo mama najua unatembelea mitandao ya kijamii huu wimbo nimeimba special kwaajili yako.
Pengine ndugu rafiki unaweza ukawa unaishi jirani naye hapo mtaani tafadhari kama hatoina mwonyeshe huu wimbo ni kwaajili yake. Twende kazi.

View attachment 1999856
Halafu ukute yeye hana muda wala mzuka na wewe,na ukute tayari kuna mjuba anamkaza.
 
Maisha ni safari ndefu sana, tunapitia vikwazo vingi.
Katika harakati zangu za utafutaji nimejikuta moyo wangu umenasa kwa mrembo ambaye mnamwona kwenye hii picha.

Nimeamua kumwimbia huu wimbo ili aweze kujua ni jinsi gani namjali na kumpenda.

Tafadhari popote ulipo mama najua unatembelea mitandao ya kijamii huu wimbo nimeimba special kwaajili yako.
Pengine ndugu rafiki unaweza ukawa unaishi jirani naye hapo mtaani tafadhari kama hatoina mwonyeshe huu wimbo ni kwaajili yake. Twende kazi.

View attachment 1999856
We Mnyakyusa umeanza lini mambo ya Msukuma Dj DON NALIMISON ?
 
Maisha ni safari ndefu sana, tunapitia vikwazo vingi.
Katika harakati zangu za utafutaji nimejikuta moyo wangu umenasa kwa mrembo ambaye mnamwona kwenye hii picha.

Nimeamua kumwimbia huu wimbo ili aweze kujua ni jinsi gani namjali na kumpenda.

Tafadhari popote ulipo mama najua unatembelea mitandao ya kijamii huu wimbo nimeimba special kwaajili yako.
Pengine ndugu rafiki unaweza ukawa unaishi jirani naye hapo mtaani tafadhari kama hatoina mwonyeshe huu wimbo ni kwaajili yake. Twende kazi.

View attachment 1999856
Hongera sana, fanyia kazi mazoezi ya sauti na pumzi, tungo nzuri pasipo mzaha au kupuuza umefanya poa sana.
 
Huo ni utongozaji wa 1990...

Zama hizi za mademu wa Kiepe dry, utaonekana muigizaji...
 
Komaaa mwanangu.....

Kipenyo kinatafutwa aisee😂😂😂😂...kwa nguvu hii uliotumia sitashaangaa ukija piga chini baada kutafuna kidude😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom