Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Nahisi hivyoKwamba ndo mzuri huyu, ama kuna mwingine ume mix picha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahisi hivyoKwamba ndo mzuri huyu, ama kuna mwingine ume mix picha
Hata mimi nilimjulia kule, ana mizuka hatarinaona amenenepa sasa hivi nilikuwa namkubali kwenye dk 10 za maangamizi EATV
Ukimfuata TikTok ndio utapagawa mkuu [emoji2][emoji2][emoji2]Toto lina tabasamu kali xn!! Alafu liko simple xn,,,,,,,Madam presdent
Sio mnyambo yule?Ivona ana dharau xn alafu kazeeka yule mnyamkole au Raymomd Nyamwihula anamtesa
Ni mnyambo ndio si unajua wanyambo wanafungamana sana na wanyankole!!!Sio mnyambo yule?
Tatzo kimo chake tu..Nakumbuka alipewa kipindi cha kutangaza hip hop clouds huwa ni siku gn na saa ngapi!?? Nampenda yule dada ni mzuri jamani,natural lkn hatari na nusu
Kweli mkuu??Ni mnyambo ndio si unajua wanyambo wanafungamana sana na wanyankole!!!
Na yule wa UTV anatangazaga habari na Charles Hilary
Ray ndo kamfanya apendeze aisee watu wangeleta before and after marriage ndo mngejua hamjui. Ivona alikua wa ajabu kipindi anaolewa.Ivona mzuri ila kazeeka au Raymond Nyamwihula anamtesa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] whats up niggaWanyankole au watutsi dharau ni kasehemu ka tabia zao sio wote lakini.
Kila mtu na macho yakeKwamba ndo mzuri huyu, ama kuna mwingine ume mix picha
View attachment 2041008
Nakumbuka alipewa kipindi cha kutangaza hip hop Clouds FM, huwa ni siku gani na saa ngapi!??
Nampenda huyu dada ni mzuri jamani, natural lakini hatari na nusu!
Hahahah, umenikumbusha axis of symmetryMbona macho yamekaa asymmetrical ?
Mbona mbovu tuView attachment 2041008
Nakumbuka alipewa kipindi cha kutangaza hip hop Clouds FM, huwa ni siku gani na saa ngapi!??
Nampenda huyu dada ni mzuri jamani, natural lakini hatari na nusu!